Jukwaa la Ujenzi na Makazi

An opportunity for everyone involved with the construction industry including designers, contractors, clients, suppliers and site workers

JF Prefixes:

Ukipiga mitungi ni kheri ulale kwenye sofa hapo chini. Ukipanda juu kitandani na choo hakuna unaweza kuwahishwa Mloganzila baada ya kukosea ngazi.
10 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari..! Naomba kujifunza taratibu za uzabuni. Kwa mujibu sheria za manuzuzi katika miradi ya serikali mfano vifaa vya ujenzi kutoka kwa wazabuni kwa mfumo wa force account. Malipo ya nauli ya...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
TAMKO LA WAZIRI WA NCHI NA KATIBU MKUU OFISI YA RAIS -TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA Walengwa wa Mwongozo huu ni Mamlaka za Serikali za Mitaa, Taasisi mbalimbali za Serikali...
1 Reactions
27 Replies
8K Views
Kama tunavyojua, mwaka una majira tofauti, na hivyo iwe kiangazi, kipupwe, vuli au masika, watu huwa tunaendelea kuchapa kazi ili mkono ufike kinywani. Sasa swali langu ni kama hivyo...
1 Reactions
4 Replies
4K Views
Habar ya wakat huu ndugu wadau wa JF na jukwaa la ujenzi. Nipo kwnye mchakato wa kujenga nyumba/ viappartments vya kupangisha hvyo nimeonelea nije hapa jukwaani kwa kuwa naamini kuna fursa ya...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Ninaomba ushauri. Nimechunguza nyumba zetu nyingi zina shida sana ya harufu toka msalani mtu akipiga tukio kubwa. Bora huko vyumbani mtapambana na hali zenu, hiki cha wote jirani na sebule ni...
10 Reactions
84 Replies
12K Views
Waungwana naombeni mnisaidie, je ni ipi njia bora ya kuanza ujenzi wa nyumba endapo tayari una kiwanja kati ya hzi zifuatazo: 1. Kumtafta surveyor wa ku survey eneo la kiwanja na ku design...
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Wakulungwa habari ya leo Baada ya kunyaka 4M juzi kati, Leo nikaamua nijisalimishe ofisi ya serikali ya mtaa kujua taratibu za ujenzi. Nilichoambiwa ni kuwa, kabla ya ujenzi natakiwa kuwasilisha...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Hello wakuu mambo vip. Tafadhali wale wazoefu, naomba kujua makadirio ya haraka haraka kwa msingi tuu, wa ramani hii maana pesa ni za kudunduliza. Makadirio ya tofali Makadirio ya mifuko ya...
3 Reactions
13 Replies
6K Views
Habari ya wakati huu mdau wa JF?? *Sasa namiliki nyumba ya kisasa ndogo iliyonigharimu muda mrefu sana kufikia hatua hii ilipo na nimehamia nimeacha kuumia kila mara kwa kulipa kodi ktk nyumba ya...
12 Reactions
8 Replies
2K Views
wenzetu wanazidi kupiga hatua kwa teknolojia ambazo kwa sasa zina kuja kasi. Teknolojia ya 3d print imeanza miaka michache iliyopita. ilianza na kuprint vitu vya plastic na fibre baadae ikaja...
2 Reactions
17 Replies
2K Views
Habari kwa wote. Ni imani yangu JF ni sehemu halisi kwa kila aina maswali yanayosumbua katika jamii. Leo naomba tupeane mbinu za kudhibiti wizi hasa wa mafundi tunaowakabidhi dhamana ya...
3 Reactions
30 Replies
5K Views
Habarini ..... Natafuta wale watu wa makampuni ya ujenzi wanijengee nyumba yenye sifa zifuatavyo kwa budget ya Tsh 7M. Chumba na choo chake (Master) Sebule (Living room) Public toilet...
3 Reactions
39 Replies
8K Views
Hello Fam Natafuta kiwanja Songea, kwa Makazi tu. Kisiwe nje ya mjini sana
1 Reactions
4 Replies
868 Views
Nawasalimu kwa Jina la Jamuhuri ya Muungano. Kuna jamaa nilikuwa namdai kanilipa 4m juzi, Sasa nafikiria kujenga nyumba ya biashara (chumba na choo chake) vyumba 3 pamoja na fremu 2 kwenye eneo...
2 Reactions
11 Replies
6K Views
Board wanazoweka kwenye magorofa juu zile za drafit huwa zinaitwaje wakuu msaada.
3 Reactions
21 Replies
4K Views
Wadau Habari za asubuhi? Nikiwa site nilitembelewa na sales team wa haya mabati ya Sun Bank. Wakajinadi sana wakidai bati zao ni bora sana mithili ya ALAF Wakasema izo bati ni popular Arusha ...
1 Reactions
7 Replies
4K Views
Wengi tunapenda kujenga nyumba kubwa ikiwa na vyumba vingi mara maktaba, vyumba vya wageni n.k lakini kiuhalisia ni vyumba vichache vinavyotumika, utakuta labda nyumba ina vyumba vitano, na...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Unapojenga nyumba unakuwa na kusudio la ujenzi huo. Hii inakusaidia kupata ramani na budget ya jengo. Wengi wetu baada ya kujenga nyumba ya kukupatia vijusent kwakua nyumba ni asset inayodumu...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Habarini za asubui Wana JF, Kutokana na ukuaji wa teknolojia katika suala zima la makazi , nimeona katika nchi nyingi uwepo wa park homes au Prefabricated homes (detached bungalows) nikimaanisha...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Back
Top Bottom