Jukwaa la Ujenzi na Makazi

An opportunity for everyone involved with the construction industry including designers, contractors, clients, suppliers and site workers

JF Prefixes:

Fundi wangu nilimuamin ila naona ameamua kunizidishia bei ya vifaa, na hakuzidisha elfu mbili au tatu, vipo alivyozidisha hadi asilimia nyingi. Mfano kifaa cha 15,000 ameandika 35,000 huu ni...
2 Reactions
18 Replies
3K Views
Nimeuna mlango huu je ni mzuri kuwepo mbele?
2 Reactions
10 Replies
1K Views
Habari wana JF! Uzi.... Mwaka 2017 nilikuwa na rafiki yangu akaniambia kuna mahali panauzwa Viwanja akashauri twende kuangalia, Mimi sikuwa na pesa kwa wakati ule ila nilienda, tulipofika kweli...
17 Reactions
69 Replies
8K Views
kwa wale wapenzi wa kungfu movies watakuwa wameona sana hizi nyumba. Hili neno Siheyuan maana yake nyumba iliyojengwa pande nne, ikiwa na courtyard katikati. Nyumba kubwa inakuwa ya baba mwenye...
2 Reactions
2 Replies
950 Views
Mimi ni kijana mwenye miak 32 nimeitimu chuo ngaz ya stashahada ya manunuzi na ugavi (procurement) 2012 nimesotea ajira toka 2010 adi leo patupu mara usajiliwe na board wanataka pesa mara ufanye...
6 Reactions
25 Replies
4K Views
Wakuu, naomba mnisaidie jinsi ya kumaliza tatizo la mchwa kwenye nyumba, nitumie njia gani kutatuta tatizo hila. Wanatafuna kweli kweli, na kujua alipo kiini Chao ni ngumu, anaejua dawa ya...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Ndugu wanajamii naombeni mnitumie picha za jipsam za sebure ili niweze kuchagua nami nimtafute fundi atengeneze.
1 Reactions
6 Replies
4K Views
Habari ndugu, Baada ya kukuru kakara za kupanga nyumba mbalimbali hapa jijini Dar es Salaam kwa miaka 5 hatimae nikafanikiwa kujenga nyumba yangu. Nilikuwa nasikia tu watu wakisema mjini kuna...
108 Reactions
145 Replies
28K Views
Saruji isiyo na maji ni jina lililopewa saruji ya portland ambayo chembe za kuzuia maji zimeongezwa. Saruji isiyo na maji (pia huitwa simiti muhimu) kwa ujumla ni bora zaidi kutumika kwenye...
3 Reactions
5 Replies
4K Views
[emoji117]Tumezoea unaoga uchafu unatoka mwilini, sasa ile unaoga afu uchafu unarudi Kwenye maji Yale Yale Ni KERO Sana kiukweli. [emoji117]Unaharaka zako unahitaji uoge chap chap uende zako afu...
5 Reactions
50 Replies
7K Views
Nafikiri watu wengi huchanganya choo na bafu kwasababu ya bajeti. Lakini huyu kweli alikuwa na shida ya budget? Ni mafundi mmekremisha? Ukosefu wa ubunifu? Au wenye nyumba wenyewe wanapenda...
4 Reactions
33 Replies
6K Views
Wakuu,Heshima kwenu nyote. Kwanza kabisa nishukuru kwa namna mnatoa madini katika jukwaa hili la ujenzi Kila siku.Hii inatia hamasa kwa mtu anaetamani kujenga. Leo nilienda kutembelea sehemu...
1 Reactions
11 Replies
17K Views
Wakuu nyumba yangu ina changamoto ya cracks za mara kwa mara nyingine zinakuwa perpendicular nyingi diagonal. Udongo wa hapa ni clay (mfinyanzi). Nataka kushusha ukuta wote naomba ushauri wenu...
1 Reactions
22 Replies
4K Views
Habarini wakuu Naombeni msaada wa makadirio ya tofali na material za ujenzi kwa ramani
3 Reactions
2 Replies
1K Views
Aisee hivi mnapataje vibali vya ujenzi? Nimefuatilia sasa mwezi wa pili mpaka nakata tamaa. Mbona kuna urasimu sana? Hiyo Ubungo.
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Naomba kujua ubora wa materials ya scheming aina ya BLUE EDGE au water proof scheming
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kwa kurejelea mchoro huu, nimeshajenga msingi kamili. Ila naona nyumba itakuwa kubwa sana kuimudu kujenga yote kwa sasa. Nafikiria kuigawa katika sehemu mbili, niikamilishe hiyo sehemu ya upande...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Natumai mu wazima. Nina site yangu ambayo nilishajenga msingi tangu mwaka juzi, Sasa gharama za pango na mikiki ya Januari imenifanya nipakumbuke leo. Msingi uliopo ni wa vyumba 3 (kimoja ni...
1 Reactions
23 Replies
4K Views
Nimejichanga miaka kadhaa hatimae nikapata kakiwanja kangu huko ndanindani Zingiziwa Nikajichanga tena wazo ni angalau niwe na kakibanda hata kamgongo wa ng'ombe nisahau adha za kodi. Juzi...
3 Reactions
25 Replies
5K Views
Mimehamia nyumba yangu mpya ambayo umeme haujafiaka. Nimeplani ninunue solar ya kawaida tu lakini si hizi za makampuni. Ninachohitaji kujua, tv na sub woofer yangu vyote vina njia mbili ya umeme...
1 Reactions
13 Replies
4K Views
Back
Top Bottom