KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Hicho kimemo kwa Mwanaidi Othman Twaha, Mjumbe aliyerukwa na M'kiti wa BMK Sitta kupiga kura siku ya Jumanne. Habari nilizopata zasema alirukwa jina lake kimakusudi, ili upatikane muda wa...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Wanabodi, Kuhusu kura za ndio kwenye BMK, nimekuwa nikisema zisipo timia, zitatimilizwa!, Mwenyekiti wa BMK, Mhe. Samwuel Sitta ameanza siku ya pili ya upigaji kura kwa hakikisho kuwa...
11 Reactions
70 Replies
11K Views
Wakati wa kipindi cha bunge leo,kama ambayo wengi wenu humu mlimsikia, mwenyekiti wa Bunge la Katiba Mh. Samwel Sitta alisema ameunda kamati ya maridhiano kwa lengo la kukutana na kujadiliana na...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Hvi inawezekana kweli waliopiga kura za siri kutoka zanzibar wote kabisa walisema NDIOOO? Kama ni hivyo watu watakaokuwa wameiuza zanzibar watakuwa wamejulikana pamoja na kupiga kura ya siri...
1 Reactions
7 Replies
3K Views
Wadau mimi niko porini, siwezi kufuatilia habari kwa urahisi kuhusu Bunge la katiba ingawa nasikia uwepo wa kura za hapana 9. Naomba mnifahamishe; Hivi tayari wajumbe wote wamepiga kura au bado...
0 Reactions
6 Replies
993 Views
Usanii wa Ukawa ulianzia kwa Lipumba na Mbowe, ukaja kwa Viongozi wa Cdm na Cuf, akaachiwa Tundu Lisu, ukarudi tena kwa Mbowe, sasa upo kwa Mnyika but hakuna lolote wanaficha aibu zao wakijidai na...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Alianza kutoka Waziri wa sheria na katiba Zanzibar, watu wakasema ni kwa vile anatokana na chama cha CUF. Lakini walipaswa kujua hakuwa amejiuzuru uwaziri wake na hivyo aliwakilisha serikali kama...
5 Reactions
11 Replies
3K Views
Wazanzibari 7 waliotishiwa maisha baada ya kupiga Kura ya Hapana wamerejea DSM. Bado wanazongwa na kushaiwishiwa sana ili wakodiwe ndege kurejea Dodoma ili wakati wa KURA ya azimio la jumla la...
5 Reactions
34 Replies
6K Views
Katika hali ya kawaida mtu akiwapigia kura watu wawili au akipiga kura katikati ya mabox mawili ya wagombea, kura yake huhesabika imeharibika! Hivyo katika kupigia kura rasimu ya katiba (BMK)...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ahsante Mungu leo ni siku nyingine.. ahsante kwa uhai, afya na mambo mengine.. baada ya hayo baba nina jambo jingine.. pengine ni wazo au swali pengine... Hivi mioyo ya watanzania ni sawa na ya...
1 Reactions
0 Replies
866 Views
Napenda kujua mamlaka na majukumu ya mwanasheria mkuu wa nchi. anayejua atujuze. maana kama mwanasheria mkuu wa zanzibar haitaki katiba hata ikipitishwa sijui nani ataitafsiri.
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Jamani, hivi nini kinacho chelewesha utangazwaji wa kura za Siri Bunge Maalum la Katiba?. Kura za Nchi nyingi sana katika uchaguzi wa Kitaifa hutangazwa ndani ya Masaa 24. Hivi leo kinashindikana...
3 Reactions
22 Replies
3K Views
Dodoma/Dar. Baadhi ya wajumbe wa Bunge la Katiba waliopiga kura za hapana wamelazimika kuondoka Dodoma na kurudi Zanzibar kwa madai ya vitisho walivyopata kutoka kwa wenzao. Mmoja wa wajumbe hao...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Ok, I'll say it naona watu wanasita kulisema but to hell... Because thats what we are good at. Mfano Tazama Anti- Terrorism laws zetu.Prof Issa Shivji alisema kuwa what we did ni COPY & PASTE...
2 Reactions
44 Replies
6K Views
Hii nimeipata kutoka kwa wana UKAWA Zanzibar kwamba kuna uwezekano wa e~mail feki na majina yao kutumika kupiga kura. Hofu hii imezidi hasa kwa kuwa nchi nzima haina mawakala wa bunge la Katiba...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Awasubiri wabunge mitaani, Prof. Maina aonya nguvu ya FFU Jaji Joseph WariobaMWENYEKITI wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba amesema hali ya mambo yanayoendelea bungeni mjini...
14 Reactions
65 Replies
9K Views
Katika hali ya kuonekana kuanza kukwama kwa katiba, M/kiti wa bunge la Katiba nduguSamuel Sitta ameunda kamati ya maridhiano kwa ajili ya kujadiliana na wale waliosema HAPANA. Hii ni njia ya...
9 Reactions
357 Replies
34K Views
Wajumbe wa bunge maalum la katiba walioisusia mbali rasimu ya Samuel Sitta, sasa wanaondoka rasmi Dodoma kurejea Zanzibar ambapo watafanyiwa mapokezi ya kihistoria kuwahi kutokea. Wajumbe hao...
8 Reactions
41 Replies
6K Views
Wahudumu wa Bunge Maalumu la Katiba wakiwa wamebeba masanduku ya kura za wajumbe waliopiga kura za siri kwa Sura ya 11 hadi 19 ya Rasimu ya Katiba inayopendekezwa, mjini Dodoma jana. Makamu...
5 Reactions
50 Replies
9K Views
Back
Top Bottom