KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Rasimu ya 3 ya katiba inayopendekezwa BMK ina mambo ya Tanganyika na Muungono humo humo. Hii inamaanisha rasimu ya 3 katiba ya muungano pia ndiyo katiba ya Tanganyika. katika rasimu ya 3 hiyo...
3 Reactions
8 Replies
1K Views
Haya yamejidhihirisha bada ya 2/3 ya kura za kupitisha katiba ya muundo wa serikali mbili kushindikana zanzibar. Ilionekana kama kina Warioba hawakufanya homework yao vizuri lakini kitendo cha BMK...
2 Reactions
12 Replies
2K Views
Akitoa ufafanuzi wake dhidi ya 2/3 ya zanzibar,alisema watu wamesahau kuna wajumbe nane wa zanzibar wako hijja. Hivyo wasipotoshe kwamba 2/3 haitopatikana. source: Tbc1
1 Reactions
24 Replies
4K Views
Umeamkaje ndugu yangu katika Jf napenda kujua itachukuwa siku ngapi kuhesabu kura za bunge kuhusu katiba inayopendekezwa, na lini matokeo yatakuwa wazi? NAOMBA SANA KUJULISHWA
0 Reactions
13 Replies
4K Views
Mzee John Cheyo amesimama akiomba muongozo wa spika baada ya mbunge mmoja (jina sijalipata) kutamka bungeni kuwa kesho saa saba kutakuwa na kikao cha kujadiliana waislamu wote kususia katiba kama...
6 Reactions
323 Replies
27K Views
Ushindi unanukia je kura za Medina kubadilisha mwelekeo?
0 Reactions
2 Replies
982 Views
Wanajamvi,habari zenu. Mimi nadhani nimechanganya au nimechanganywa.Hivi idadi kamili ya wajumbe wa BMK kutoka zanzbar ni wangap?? Hapa nazungumzia wajumbe wote waliokuwa bungeni wakati bunge...
0 Reactions
1 Replies
875 Views
Mwanzoni wakati BMK linaanza watu wengi sanawalipinga utaratibu mbovu wakupigia kura rasimu ya mwisho. weledi wakasema tupige kura ya siri kwa sababu ndio utaratibu uliozoeleka kidemocrasia LAKINI...
6 Reactions
16 Replies
3K Views
Nyie wajumbe wa BMK fanyeni fasta fasta muondoke Dodoma mrudi majumbani kwenu maana hakuna cha maana mtakachokileta huku kwetu. Toka Bunge lianze Watumishi wengi serikalini madeni yao...
0 Reactions
1 Replies
750 Views
Wakiamini kuwa kila mtu ni mwoga na hata thubutu kukataa hadhrani katiba inayopendekezwa, CCM walikuja na hoja ya kura ya wazi kinyume na mazoa kuwa kura huwa siri. Kumbe Mungu aijua akawaongoza...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Ilianzakukataliwa na UKAWA wakadai wapinzani kazi yao kupinga kila kitu. Waislamwaliakataa wakawapoza kwa change la macho la Pinda, Eti sheria itatambua hukumuza mahakama za kadhi, (Wamefunika...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Kama waliopiga kura za HAPANA za Wazi wametishwa mpaka kuondoka dodoma wengine inakuaje zile zinazohesabiwa mafichoni? Nani anazilinda zisichakachuliwe! Nani jasiri kuzilinda?
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wadau, katika hali ambayo inaashiria kuwa Katiba mpya inapatikana kiulaini, akidi imepatikana ndani ya Ukumbi wa Bunge bila ya kuwahusisha wabunge waliopo ndani ya ukumbi huo na UKAWA waliosusa...
13 Reactions
409 Replies
50K Views
Nimepata kujiuliza maswali mengi sipati majibu, Tangia mwanzo Bunge limeanza nasikia Serikali mbili zinasemwa sana na kila nikitafuta kwenye Rasimu hazipo, naona Serilali Tatu (3) na maoni...
0 Reactions
2 Replies
993 Views
WanaJF Kwa mda mrefu sasa kumekuwa na malalamiko mengi sana kutoka pande zinazopingana juu ya bunge la katiba huku wengine wakitala liendee na wengine wakiomba lisitishwe. Napendekeza tuwe na...
3 Reactions
58 Replies
4K Views
Hatimaye rasimu ya Samwel Sitta ambayo inaitwa 'rasimu ya tatu' imeleta maumivu makubwa kwa wanaotaka mamlaka kamili ya Zanzibar, nimethibitisha. Kwa mujibu wa rasimu hiyo ambayo kesho...
5 Reactions
140 Replies
13K Views
Mwanasheria mkuu wa Zanzibar ameonyesha msimamo thabiti wa kusimamia kile anachokiamini kwa kukataa sura kadhaa na ibara kadhaa kwa kusema "Hapana" katika katiba inayopendekezwa. Mwanasheria...
0 Reactions
3 Replies
937 Views
Kwa kuwa kura ni za wazi basi nilijua kuwa baada ya upigaji, zingehesabiwa hazarani na kutoa matokeo. Sasa zimeanza kuhesabiwa siku bila matokea kutolewa. Pia nasikia kuwa zilipelekwa kwenye...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Kiukweli aliyeona na kusikiliza kebehi, dharau na matusi ya Sitta leo kwa viongozi wa dini, ataanza kukubaliana na wanaosema mzee huyu ana mradi wa kuiangamiza CCM. Amekiri kwamba kwa waraka ule...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Mimi namshangaa Mhe. Warioba aliyewahi kushika wadhifa wa uwaziri mkuu Katika nchi hii huko kwenye katiba anafuata Nini tena kila siku kuropoka. Yeye Fundi keshakabidhi Nyumba kwa mwenyewe kwenye...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Back
Top Bottom