KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Kwa nini CCM wanawafanya Watanzania woote ni wajinga, kwa nini wanajadili serikali mbili badala ya serikali tatu kama ilivyopendekezwa na tume ya mabadiko ya katiba? Hiyo rasimu yenye serikali...
0 Reactions
1 Replies
750 Views
Nimepitia katika wikipedia kuhusu historia ya Zanzibar kwa mshangao mkubwa kumbe kumetokea genocide Zanzibar wakati wa mapinduzi na watu 20,000.wenye asili ya kiarabu.kwa hio nadharia ya...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Tumeambiwa kuna "Rasimu ya CCM" ambayo wajumbe wa kutoka CCM wanayo. Nani mwenye copy ya hiyo Rasimu ya katiba? Ni vizuri ikawekwa hapa tukaona CCM wanaelekea wapi baada ya kusisitiza serikali...
0 Reactions
0 Replies
854 Views
sasa hivi bungeni wajumbe wote wa upinzani wametoka nnje ya Bunge kwaajili ya malumbano ya serikali mbili na tatu........
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Kwa sintofahamu juu ya Hati ya Muungano,UN wanapaswa kushtakiwa. Watanzania tuamke na tuipinge UN kwa kushindwa kusimamia sheria na taratibu zake. Au watueleze ukweli sasa
0 Reactions
1 Replies
816 Views
Mh Samwel Siita napenda kukupongeza maana umejitahidi kuwa rational and fair kwenye mchakato huu wa bunge maalum la katiba kwa kutopendelea upande wa chama chako ila kaza buti hasa hasa kwenye...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
  • Poll Poll
Kwa tunayoyaona yakiendelea bungeni kama mwananchi mzalendo tunaomba maoni yako juu ya bunge hill
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wabunge Wa upinzani nasikia wametoka bungeni. Nani ana taarifa atujuze?
0 Reactions
0 Replies
701 Views
Wabunge Wa upinzani nasikia wametoka bungeni. Nani ana taarifa atujuze?
0 Reactions
0 Replies
618 Views
Chimbuko la kuibuka hoja ya kuifufua Tanganyika limeletwa kwa kiasi kikubwa na malalamiko na mabadiliko ya katiba ya ZnZ. Hivyo, wanaotaka serikali mbili wasiishie hapo tu, bali wajadili pia namna...
0 Reactions
1 Replies
831 Views
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Wanzibar wanataka makamu wa rais awe ni rais wa Zanzibar. Je ikitokea rais wa Tanzania akifa, watanganyika wapo tayari kutawaliwa na rais wa Zanzibar ambaye hawakumchagua? hii haiwezi kuhatarisha...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Ndugu wanajamvi naomba tuangalie hili jambo vizuri. Kwa mfano Muungano ungalikuwa kama vile TANU NA ASP walivyoungana tusingekuwa na matatizo tuliyonayo leo kwenye muungano. Walipounganisha vyama...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mhe JF Awali ya yote naomba kusema kwamba mie ni MUUMIN WA RAIS MTANGANYIKA ORIGINAL. Kwa namna mjadala unavyoendelea na kwa jinsi CCM na wafuasi wao walivyojipanga uwezekano wa kuendelea kwa...
1 Reactions
1 Replies
735 Views
Wana jamvi, salamu sana na poleni kwa kuchoshwa na propaganda za ccm zinazoendelea katika Bunge maalumu la katiba. Wahenga walisema "ukitaka kumuuwa mbwa mbatize jina baya" Kwa kipindi cha wiki...
5 Reactions
19 Replies
2K Views
Kikao cha bunge maalum la katiba kinaendelea leo hii, kinachojadiliwa hasa ni sura ya kwanza na sita ya kwenye rasimu ya katiba. Mh. Mbarouk anaunga muundo wa serikali mbili maana ndo anaamini...
13 Reactions
830 Replies
65K Views
Nimekuwa nafuatilia mjadala unaoendelea ktk Bunge la Katiba. Michango mingi inayotolewa na Wajumbe wa CCM, hasa kung'ang'ania mfumo wa Serikali mbili, imejengwa ktk misingi ya uoga. Woga huo wa...
0 Reactions
0 Replies
730 Views
Alokua Muasi Katibu mkuu wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar Mh Salum Rashid Na Mussa Juma, Mwananchi Jumapili,Aprili13 2014...
7 Reactions
34 Replies
5K Views
hapa jf ni kiboko kwa wabishi na waongo tumalize ubishi hapa ni saini ya mzee karume hii au ni changa la macho? Karibuni
1 Reactions
21 Replies
3K Views
Back
Top Bottom