Hii rasimu ya katiba inayojadiliwa huko dodoma ni ya nchi zetu mbili, Tanganyika na Znz. Wengine tuna jiuliza kulikoni mbona Rais wa upande wa pili wa Muungano hatujasikia maudhui yake kuhusu...
Mheshimiwa Mwigulu Nchemba ambaye pia ni naibu waziri wa fedha aliyasema hayo leo akichangia katika bunge la katiba. Mheshimiwa huyu pamoja na kukiri kuwa tatizo la ajira ni kubwa katika mfumo wa...
Niipongeze ikulu kwa ujasili kusikia kilio cha umma juu ya madai ya hati, hapa inafuatia ile hati feki iliyopelekwa bungeni na ikagundulika kuwa ni ya Kariakoo mtaa wa gerezani. Huu ni ujasiri wa...
Mi najiuliza ukawa walifikiria nin hadi kumpa mbowe uenyekiti!
Mbowe ameonyesha mapungufu katika kuongoza taasisi.
Ameongoza cdm wadadisi wa duru za siasa za tz wote tunajua inakoeleke hata...
Wana JF;
Tangu Bunge Maalum la Katiba (BMK) lianze vikao vyake Dodoma nimekuwa miongoni mwa watu ambao wanafuatilia mjadala huo kwa karibu sana. Nimejifunza kitu kimoja ambacho kiukweli naamini...
Muungano wetu umezunguukwa na vichaka vingi mno ambavyo bila ya watu kuanza kuvifyeka na kuvisafisha kwanza muungano wetu hautasalia kamwe. Wale wenye miungano iliyovunjika hawakuwa wajinga kuliko...
najiuliza pia kiakili atakuwa ktk hali gani? binafsi ningependa kuonana naye. naomba nielekezwe nyumban kwake .je maalim seif amewah kwenda mwomba msamaha kwa aliyomkosea? je kwa sasa baada ya...
Walipodai hati ya muungano sikuwaelewa.
Wameiona hati ya muungano sijawaelewa
wanataka kufanya nayo nini ?
nitawaelewa zaidi wakija na hoja za kudai-
1-ule mchanga wa tanganyika na zanzibar...
ukisikiliza audio ya mh.Mbowe juu ya ufafanuzi wa maoni ya walio wachache alisema Makonda na wenzake wanahofia CCM itawashughulikia kwa kuwa hawaungi mkono serikali 2! Vijana wawe majasiri wasiwe...
Wadau ukifuatilia kwa karibu mjadala unaoendelea ndani ya BMLK na kwingineko nje ya bunge hasa katika mjadala juu ya muundo wa muungano kuna suala moja linajidhirisha wazi,nalo ni kuwa hakuna...
Kijijini kwangu mwaka 1984 kuna jiwe la msingi kwenye kituo cha afya kinachoendeshwa na kanisa katoliki likisaidiana na serikali kama kuwezesha kitua hiki kutoa huduma kwa bei rahisi sana ama...
Kama kuna Wajumbe wanawake wa Bunge Maalum la Katiba ambao nimetokea kuwakubali sana hivi sasa basi Maria Sarungi ni mmoja wao.
Sio siri leo ndiyo mara yangu ya kwanza kumsikia dada huyu...
Wakati kanuni zinatungwa hata mimi niliamini kwamba kura ya siri ndiyo sahihi ili kulinda wanaotarajiwa kusakamwa kwenye vyama vyao. Kila mmoja wetu aliamini hivyo.
Tulipima mazingira na bila...
Nimeangalia bunge nilichokiona ni wajumbe wa kundi linalojiita la wengi hawachambui rasmu Bali wanawachambua wajumbe wa tume binafsi hasa Mzee Warioba.Nilitegemea kama bunge letu lingekuwa na...
Hadi dakika hii wajumbe wa Bunge la katiba wanajua kwamba wanaweza kukwamisha process hii y akatiba halafu kwa kiingereza tunasema "they get away with it", yaani wanaondoka bila kuwajibika...
Ndugu wana jamvi kwakua kanuni za bunge la katiba zina ruhusu kumuita bunge m/kiti wa iliyo kuwa tume ya katiba mpya,mimi nashauri aje atoe ufafanuzi wa hoja kuu mbili;moja kwanini tume...
Ndugu wana jamvi toka zanzibar tunaomba mtupatie mwelekeo na hali ipo je huko zanzibar mpaka sasa kuhusiana na mjadala unao endelea dodoma wa katiba mpya,je wanapokeaje hoja na mijadala mbali...
katika wabunge wote wa bunge maalum naona mchango wa Dr. Bernadetha Kiliani ni mchango bora zaidi. umejengeka katika misingi ya busara na ukweli. NAKUPONGEZA MAMA. Au unasemaje mdau
hajawahi fanya shughuli yoyote ya kitaifa Zanzibar , Hana ofisi hata moja Zanzibar , hajawahi fanya ziara hata ya kujipendekeza Zanzibar. anaitwaje WAZIRI mkuu wa jamhuri ya muungano wa Tanzania...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.