KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Wadau embu anagalieni hapa tarehe 22, 24 na 25 ya mwezi mmoja na mwaka mmoja lakini kila siku akiamka Signature mpya!
3 Reactions
45 Replies
6K Views
Nilipokuwa nasikiliza michango mbalimbali ya wabunge wa Bunge Maalum la Katiba, nilisikitishwa na baadhi ya michango ya wabunge kutoka Zanzibar. Sehemu ya michango iliyonisikitisha ni kauli...
0 Reactions
0 Replies
840 Views
Mjumbe wa Bunge la Katiba, Dk. Abdalah Kigwangalla, jana alimtuhumu waziwazi Mwenyekiti Samuel Sitta kuwa anapendelea kundi la walio wachache. Dk. Kigwangalla, alitoa tuhuma hizo jana wakati...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Hayapa chini ni maoni ya Mzee Mwanakiji kuhusu Uhalali wa Muungano alioutoa 25/4/2010 ila inaonekana mawazo yake yamebadilika kwa sasa.... Jasusi.. unajua wakati mwingine fikra fulani zinaachwa...
0 Reactions
1 Replies
943 Views
Jana wakati Mh. Tundu Lissu anawasilisha maoni ya wachache Bungeni, alichambua vizuri sana maoni ya wasomi maarufu nchini, wakiwemo Mh. Mwakyembe, Prof. Issa Shivji, na wengine ambao hakuwataja...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kwa kuwa makundi mawili ya kutoa hoja bungeni yameundwa kutokana na maoni yao na sio idadi yao, napendekeza majina hayo yanayoakisi idadi yabadilishwe na makundi hayo yatambulike kwa maudhui...
4 Reactions
6 Replies
981 Views
Hii ishu ya Muungano naifananisha na mtu (Serikali/CCM) mwenye mgonjwa wake. Sasa huyu mgonjwa ana maradhi ya muda mrefu (kero za muungano). Mwenye mgonjwa amekuwa anatafuta tiba katika hospitali...
3 Reactions
4 Replies
1K Views
Nahitaji msaada kufahamu vizuri, baada ya majadiliano kwenye kamati zote 12 juu ya sura ya 1 na 6, kwa rasimu iliyokuja na mapendekezo ya mundo wa serikali 3. Je Theluthi mbili au zaidi...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
si siri kuwa hawa wahadhri ndio wamefundisha wanafunzi wengi wa sheria vyuo vikuu na mikataba mingi imekuwa ya hovyo,uendeshaji wa kesi wa hovyo,kubambikia kesi,ni wazi ni matokeo ya uhadhiri wa...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Wakati wa kumsaka mgombea nafasi ya uwenyekiti bunge maalum la katiba wapinzani hawahawa walioungana kwa jina la UKAWA walionyesha hisia zao chanya dhidi ya Mh. Sitta, Walisahau kuwa ni waziri...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
wana jamvi napenda kujua wapi ndugu zitto kabwe mbona haonekani katika mjadala wa katiba bungeni?naomba mwenye data zake atuwekee humu
0 Reactions
47 Replies
5K Views
"Miaka Hamsini ya uhuru,watu mbalimbali wamekuwa wakikosoa namna muungano wetu ulivyokuwa na mapungufu mengi ya kisheria na kikatiba. Lkn kwa bahati mbaya kila aliekuwa akihoji uhalali wa...
3 Reactions
18 Replies
4K Views
CCM mbona mnapenda kuchezea akili za watanzania, kama Zanzibar zaidi ya asilimia 60 walitaka muungano wa mkataba, mnafikiri hapo tena kuna muungano ? Kuweni na shukurani kwa kazi iliyotukuka ya...
0 Reactions
6 Replies
844 Views
Hii Ni Aibu, upumbavu Na wendawazimu usiotukukika Daima huko Dodoma. Sijui wajumbe wamelewa mvinyo wa Namna gani . Watu mnajadili Muungano kipumbavu at real sence not!!!muungano Ni kitu, kitu...
2 Reactions
4 Replies
1K Views
Nauliza hili swali kwa maana wakati nasoma somo la HIstoria shule ya msingi na secondary niliwahi kuona kwamba eneo la Sultan(ZANZIBAR) lilikuwa pia linajumuisha kilometer kadhaa ndani ya eneo la...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kwa sasa bungeni kuna vijana ambao wamekuwa na mchango mkubwa sana kwetu huku wengine wakiwa wameshindwa kujenga hoja za kushawishi wajumbe; Pamela ni moja ya vijana ambao kwa siku ya leo...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
....Sasa tumeambiwa hati ipo... ni wakati wa wale wajumbe wachache kujenga na kutetea hoja kuu iliyopelekea tume kupendekeza serikali 3 na si mbili zilizopo sasa... ...Nimemsikiliza Jaji Warioba...
0 Reactions
2 Replies
906 Views
Nimefuatilia kwa makini chanzo cha upinzani kuunga mkono kuvunjika kwa muungano wa Tanzania! Nimekuja kupata majibu ya fuatayo:- 1. Chadema haikubaliki Zanzibar tofauti na chama cha mapinduzi...
2 Reactions
34 Replies
3K Views
Bunge la katiba linaendelea hapa Dodoma ambapo wajumbe wake mbalimbali wameindeleza ishu ya uwepo wa Serikali tatu na wengine serikali mbili ambapo yafuatayo kwenye post hii ni aliyoyasema Mh...
1 Reactions
2 Replies
850 Views
Sasa hivi TBC yupo Straika wa wachumia Tumbo, Mwigulu Lameki Nchemba anajihukumu
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Back
Top Bottom