Kama kweli TBC 1 walizima mitambo makusudi basi ndo wameharibu kabisa. Maana sasa watu wengi tunataka kujua Lissu alisema ukweli kiasi gani kiasi kwamba CCM wakashindwa kunywa hiyo shubiri na...
Nimekuwa nikijiuliza kuhusu uwezekano wa kuwa na serikali tatu na bado ukawa 'Huru' kwa maana halisi ya kuwa huru. 'Marais watatu mizinga 63? Bendera ngapi? Misafara si ndo tutalala barabarani...
"Waliowengi" wakiongozwa na CCM wamejikuta wamejifunga na msimamo wa serikali 2 na kushindwa kujibu hoja na maswali ya msingi yalioibuliwa na walio "wachache"....
Nidhahiri kabisa CCM na...
Lukuvi alisema Wazanzibari wanaotaka kuwa na nchi yao hawawezi kujitegemea, bali wanataka Serikali ili wapate nafasi ya kujitangaza kuwa ni nchi ya Kiislamu. (MWANANCHI 14/04)
Hii sasa naiona kama mbinu ya walio wengi kutupotezea mtiririko wa maoni ya wachache. Jussa hadi sasa kapewa taarifa mbili toka kwa 'walio wengi' kitendo ambacho kimepelekea mweneyekiti kutoa...
Ni baada ya kusema kwamba kuna watu ndani ya CCM wanakuwa wanafki ndani ya bunge lakini wakiwa nje ya kikao wanakuwa na misimamo tofauti!!
Baada ya kuruhusiwa kumtaja mmojawapo Kamtaja Paul...
Friends & Enemies,
With all of my due respect and kwa kuweka Utanganyika wangu mbele i want to take this opportunity to congratulate Mr Tundu Lisu.,
I am congratulating him for his true heart of...
Serikali yetu ni hodari sana kwa kuunda tume kuchunguza mambo mbali mbali na sasa ni wakati muafaka pia kwa serikali kuunda tume kuchunguza upotevu wa nyaraka hiyo muhimu(hati ya muungano)...
Nimemsikia tundulisu akiongea pumba zake bungeni nikacheka sana kwa msomi kama yule kufikiri kichekechea eti muungano haukupata ridhaa ya wananchi hivyo ni batili. Lakini amesahau siyo kila...
Kama hukubaatika kumsikia lissu jana kabla tbc hawajakata matangazo fuata link hii Kandili Yetu Leo: VIDEO..KAMA ULIMISS...HIVI NDIVYO TUNDU LISSU ALIVYONGURUMA MPAKA TBC WAKASANDA...!
Baada ya TBC kufanya kazi yao kwa weledi uliotukuka kwa kukatisha matangazo mara tu Lisu alipoanza kushusha nondo zake, kesho ni zamu ya Tanesco.
Tanesco hawana mkataba na Bunge kwamba umeme...
Wana jamvi tangu bunge la katiba limeanza ndugu zitto sija msikia hata mara moja kama tulivyo mzoea makeke yake miaka ile 2008-12 bungeni,amepotelea wapi?je ni mwana ukawa?
Katika kujenga hoja wanasiasa katika bunge maalum la katiba imekuwa ni viroja tupu kwa wachambuzi waelevu. Kweli siasa ni si-hasa! Kwa wasikilizaji wasio makini wamekuwa wakidhani viroja hivyo vya...
Waacheni waende, wapeni wanachodai kuwa wanataka uhuru na dola kamili......!!!
Sababu iliyofichika ya wanaodai zibaki serikali mbili ndio zinazosababisha waogope kusema hadharani dhana ya...
HAIWEZEKANI!
1 Tanganyika iwe nchi nyingine
2 Zanzibar iwe nchi pia
3 Tanganyika au Zanzibar ziwe wanachama wa jumuia au umoja wa nchi na taasisi mbali mbali duniani.Ikifanyika hivyo...
Tumewasikia wanasheria nguli vijana kwa wazee mpaka leo bado hakujaonekana sababu hasa ya kuunda serikati tatu ya tanzania.wanaotaka serikali tatu wametoa hoja zao ambazo ni 1.muungano hakuwa wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.