#pazaSAUTI Usikike
Saidia kukusanya Maoni yako Kuhusu Swali hili linalogonga vyichwa kwa sasa.
Unapenda Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Iwe Na Selikari Ngapi? Mbili au Tatu?
Maoni yako ni...
Leo asubuhi nilipata bahati yakuzungumza na mwanasiasa mkongwe Tanzania Mhe. Stephen Wasira nikamuuliza kuhusu ule Ubashiri wake kuwa hawa ndg zetu watapotea lini kwenye ulingo wa siasa za nchi...
Kwa kauli zilizotolewa na baadhi ya viongozi wa ccm kuwa ccm inamaslahi na serikali mbili hi ni kweli na usifikiri maslahi hayo ni kwamaendeleo ya taifa la hasha nali ni kwamaendeleo ya familia...
Prof Lipumba akitoa maoni yanayoaitwa ya wachache ambayo kimsingi ndiyo maoni ya wananchi ametoa hoja nyingi nzito miongoni mwake ni kuwa rasimu ya katiba ina misingi na kuikataa misingi ni sawa...
Naona ccm wanafikiri kuweka kura ya wazi bungeni na kukandamiza serikali tatu ndani ya bunge pengine hawajui kwamba kuna kura za maoni,i wonder what will happen when znz votes kinyume na serikali...
leo nimeshtushwa na uwezo wa Mh Ole Sendeka kama kiongozi! bAADA YA KUONA pROF lIPUMBA ANA TIRIRKA HOJA ZA ZA KISOMI ! Huyu Mh aliamua kuomba mwongozo kuwa eti kwa sababu Mh Lipumba anatoa...
Nimefuatilia uwasilishaji wa maoni ya mijadala ya kamati za bunge maalumu la katiba juzi na jana. Jumla ya kamati nane zimetoa taarifa za mijadala yao. Maoni ya waliowengi katika kamati zote...
Katika mchakato wa kuandika katiba mpya. Bunge la katiba lipo katika hatua ya kamati kuwasilisha maoni yake juu ya sura ya kwanza na sura ya sita ya rasimu. Sura ya kwanza ina tambulisha...
Ni vitu vya kushangaza kwelikweli kwa wanasiasa wa Tanganyika wanavyotoa maoni yao kuhusu muundo wa Muungano.
Wanasiasa hawa wametawaliwa na ujinga tofauti na wenzao wa Zanzibar ambao wao...
Wadau naomba tuijadili hii hoja kwa umakini. Katika muundo wa serikali mbili, kuna serikali mbili zenye majukumu matatu. Serikali ya Zanziba yenye majukumu Zanzibar, serikali ya Muungano yenye...
Kutoka kwa Mdau Assenga Abubakar:
"...Nimekusikia na kukuona jana ukijenga hoja,eti kwanini wanaosema kuwa waliotoa maoni watu elfu kumi na saba ni wa chache, je watu mia ambao ni wajumbe wa...
Kwanini wapinzani wamenga'nga'na sana na swala la serikali tatu? Ni kweli ni kwa ajili ya maslahi ya watanzania au maslahi ya kisiasa?
Wapinzania hawajawahi kuwa pamoja kwenye maswala ya msingi...
Sasa katiba mpya ije na majibu issue itakuweje CCM wakiwa nje ya box...CDM na CUF watapata serikali 3,au moja.CCM si mdau tena..CUF watashinda Zenj,CDM watashinda Bara..sioni sababu ya CCM...
Kwa kinachoendelea sasa ndani ya bunge la katiba ni moto uliowasha na Jaji Warioba na Rais Kikwete.
Kwa maoni yangu nadhani hawa waheshimiwa wawili wangetoa hotuba fupi tu za kukabidhi hii rasimu...
Wassira anasema hakuna mahali imeandikwa kuwa serikali mbili imechokwa.Eti kuna mapungufu kweli ila watayachukua marekebisho ktk serikali mbili.
Mzee huyu kwa unyonge na fuaraha ya kulazimisha...
SHutuma , vijembe na hata matusi vinaelekezwa kwa tume ya katiba na CCM. Kama kweli tume ilikiuka na kupika taarifa kwa nini WARIOBA na tume nzima hawashtakiwi. CCM Ina all powers to do...
Kwa kuwa kuna mvutano mkali kati ya wabunge wa CCM wanaopigania katiba ya CCM (uka-CCM) na wale wa upinzani, wanaopigania katiba ya wananchi (UKAWA), ni vema kura ya kuamua aina ya muungano (wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.