Ndugu zanguni,
Jana mbunge wa Uvinza, Mheshimiwa David Kafulila, aliwasha moto kwenye bunge la katiba na kushangiliwa na wabunge karibu wote waliokuwemo ndani, wa upinzani, wa ccm na wale wa...
Kama mtu ulishindwa kuelewa maana ya neno NGUVU YA HOJA na HOJA YA NGUVU, Sasa nafikiri huu ndio muda wa kulijua hilo. Ukiangalia jinsi mawakala wa ccm wanavyotumia nguvu sana kulazimisha hoja zao...
Je ni sahihi katiba ya jamhuri ya muungano kueleza kuwa moja ya sifa ya kugombea uongozi ni cheti cha taaluma?
Hiyo ndio mada wanayo jadili sijaweza kupata majina ya wageni walioalikwa...
Kikwete alisema serikali ya shirikisho kwa kfumo uliopendekezwa na tume haikopesheki na wenje jana kamjibu ikope fedha za nini wakati shuhuli zote za maendeleo ziko chini ya nchi washirika.nani...
Amewaanbia wajumbe wa Bunge la katiba wa ccm wasichague hotuba za J .K. Kambarage Nyerere,,zile zinazowabeba
watumie zote ! hakika ametoa hoja thabiti .. barikiwa sana
Dodoma. Wabunge walio wengi wamekosa hoja na badala yake wamebaki wakimkosoa warioba na kungangania mfumo wa serekali mbili bila kutoa hoja nzito ni kwa nini wanakataa mfumo wa serekali tatu,mmoja...
Ndani ya bunge maalum la katiba kuna watu ambao CCM imewaandaa kuhakikisha ajenda nzito ambazo CCM wameziwekea msimamo wanazisimamia kama vile Muundo wa serikali,rais kupunguziwa mamlaka na tume...
Katika kuwasilisha ripoti ya walio wengi chini ya Anne Kilango mwana siasa huyo maarufu amesema kuwa msingi wa muungano ni lazima nchi moja kutegemea nyengine. Kwa kuruhusu mfumo wa serikali tatu...
Wadau sote tunafahamu kuwa unguja na pemba ni visiwa ambavyo havikuwa pamoja hapo awali lakini viliungana na kuwa kitu kimoja,sasa tunaomba tuoneshwe hati ya muungano baina ya unguja na pemba...
Ukiangalia uwasilishaji wa kamati za bunge maalumu la katiba unagundua kuwa Tanganyika inakuja.ukiangalia kamati ya Anna kilango Malechela na Duni Haji unaweza kuoma mwelekeo wa ujio wa serikali...
wakati tuliendelea kujadili rasimu ya katiba yetu na hatima ya muungano wetu, baadhi ya wabunge la katiba walihoji uhalali wa mkataba wa muungano yaani articles of union.
walitilia shaka saini za...
Upande wa muungano inanyonywa rasilimali zake na serikali ya muungano na bunge la muungano na sherehe za kitaifa. Hao ndiyo wanyonyaji wakubwa wanaoitafuna Tanganyika yetu. Kwa upande wa...
Bahati njema napata access ya kuingia ndani ya vikao vya kamati za Bunge maalum la katiba na hivyo kunusa kile kinachotokea ndani ya vikao hivyo. Nami nitaendelea kuwapatieni kila kinachotokea ili...
Bila shaka kwa namna majadiliano yanavyoendelea katika bunge la katiba CCM itafanikiwa kutetea hoja yake ya kuendelea na serikali mbili!
Hivyo nashauri wapinzani kutoendelea na hoja ya kuwa na...
Kitendo cha huyu Gamba Sugu OLE SENDEKA wa Simanjiro kulia ovyo ovyo kama Toto dogo ni Upumbavu ili hali ni Mtu mzima mwenye familia!... Kwanza anawadharirisha Wananchi anaowawakilisha ndani ya...
Great thinkers Salaam!
Nimekuwa nikifuatilia Bunge Maalum la katiba ila nimechoshwa na Malumbano ya mfumo wa Serikali Mbili au Tatu etc.Baada ya kufuatilia hoja ya Pande mbili hizi nnachokiona ni...
Rais wa JMT ikiwa unaupenda uhai wa Muungano huu uuache kama ulivyokabidhiwa na usiingie kwenye historia ya kuvunjikiwa Muungano vunja bunge hili la katiba!!
Siku nyingi sana wazanzibar...
KAMATI za Bunge Maalumu la Katiba zimeanza kuwasilisha bungeni maoni yake, kuhusu mijadala ya sura ya kwanza na ya sita ya rasimu ya Katiba mpya, huku wengi wakikataa muundo wa serikali tatu, kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.