KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Katika kufuatilia uwasilishaji wa ripoti za kamati katika Bunge leo nimeshangaa kuona kuwa mbali ya majilabu ya kuwa wengi walipendekeza mfumo wa serikali mbili lakini hoja za wachache...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Nimevutiwa na jinsi Mbuge Huyu alivyo weza kujieleza na kutetea Serikali Tatu kwenye Bunge Maaluma La Katiba,ameeleza kwa ufasaha na nguvu za hoja kiasi kwa waliosikiliza/kuangalia live. Ametetea...
18 Reactions
156 Replies
15K Views
Nimesoma kuhusu mkutano wa maalim Seif alioufanya Pemba na kuwaambia jamaa zake kuwa wasiwe na hofu hata muungano ukivunjika watabaki huko bara kwani kuna...
6 Reactions
34 Replies
3K Views
Napenda kupata cv ya mh olesendeka ili tujue profile zake
0 Reactions
7 Replies
4K Views
BONYEZA VIDIO Kamati ya Maridhiano Six: MAALIM SEIF NA TUME YA WARIOBA PART 1/5 - YouTube Kamati ya Maridhiano Six: MAALIM SEIF NA TUME YA WARIOBA PART 2/5 - YouTube Kamati ya Maridhiano...
0 Reactions
0 Replies
999 Views
Ukweli ndio huo CCM ni Dicteta wakiwa katika wingi wao ,wamejikusanya na kuwa kitu kimoja ,ni lazima washitakiwe la si hivyo watarithishana utawala na kama ukiangalia kuna Husein Mwinyi kuna...
0 Reactions
8 Replies
924 Views
Mkoa wa Vyuo vya Elimu ya Juu umeeleza rasmi msimamo wake wa kuunga mkono muundo wa serikali mbili ambao unataja kuonekana kuwa ndio mkombozi wa wananchi wa Tanzania. Zaidi fuatilia hapa...
0 Reactions
34 Replies
2K Views
Nimefuatilia tangu asubuhi kamati zilivyo anza kuwasilisha maoni yake, nimejifunza yafuatayo; 1, maoni ya waliowengi kwa kamati zote tatu zilizowasirisha ni kopy and paste ya maoni yao hao...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Chadema ni chama ambacho tayari kimepoteza mvuto na watanzania wamepata mashaka na wasiwasi juu ya uwezo wa chama hiki kuchukua dola. Chama kina akina mbowe, slaa&Co. ambao hawana mvuto tena...
0 Reactions
46 Replies
4K Views
Serikali ni tatu ,sasa kama hizi hazitawezekana itabidi Tanganyika watangaze mgogoro wa Katiba ,je ni nani ataisimamia Tanganyika ? Serikali ya Zanzibar ipo tokea ulipoasisiwa mkataba wa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kushoto kwenda kulia: Abdulrahman Babu, Ali Muhsin, Mohamed Shamte Nyuma kushoto kwenda kulia Maulid Mshangama na Salim Ahmed Salim NA MAALIM BASSALEH LEO ni Ni siku ya kumbukumbu ya muungano wa...
6 Reactions
33 Replies
5K Views
April 09th 2014 Na Karoli Vincent, Siku Moja kupita Tangu Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Samweli Sitta kumuangukia Rais Jakaya Kikwete kumuomba aongeze Muda, Naye Mwanasheria wa...
0 Reactions
58 Replies
7K Views
Hotuba ya JK imejibiwa kwa dk 30 tu: hakika amejenga hoja, labda tu kwa wale ambao hawakupata nafasi ya kufuatilia niwape baadhi ya hoja alizojenga 1: kama kuna watu (ccm) ambao wanadai maoni ya...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
"Wanaodhani kuwa hati ya muungano uliizika Tanganyika ni mbumbumbu wa sheria" Haya yamesemwa na Mh Ezekiel Wenje jioni hii wakati akiwasilisha maoni ya waliowachache kwenye bunge maalum la katiba.
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Ndugu zangu, Naziona ishara za kuendelea kwa mvumo mbaya wa upepo wa kisiasa na hususan inapohusu hoja ya Muungano na muundo wa Serikali. Mjadala unaoendelea sasa ni kama vile umefunikwa...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Ndugu zangu; tukiwa kwenye mchakato wa kupata katiba mpya lazima tujiulize, kwa nini kumekuwa na mwangwi wa kuidai na kuirudisha nchi inayo itwa Tanganyika? Nimesoma ripoti ya tume iliyo...
4 Reactions
7 Replies
1K Views
Sasa ni dhahiri kuwa muungano wa Tanganyika na Zanzibar upo katika wakati mgumu zaidi baada ya aliyekuwa katibu mkuu wa baraza la mapinduzi la Zanzibar enzi za muungano mzee Salum Rashidi kudai...
5 Reactions
54 Replies
6K Views
Nimekuwa natafuta kujua nani mnafikii kati ya Kikwete na Warioba na nimegundua mnafiki ni Kikwete kutokana na kauli za Kafulila leo alipokuwa anatoa maoni ya kamati nanukuu "Ofisi ya Rais wa...
1 Reactions
17 Replies
2K Views
Maprofessa wa Tanzania ambao ndio wasomi wetu wameamua kupinga maoni ya wananchi na kuja na rasimu yao. Je hii inaweza kidhihirisha ukweli kwamba wasomi wengi wa Tanzania hawawezi kuisadia nchi...
0 Reactions
27 Replies
3K Views
Wadau; Katika pekuapekua yangu nimekutana na hii Makala; Endapo kama ilishaajadiliwa hapa samahani sana, lakini ningependa kuwashirikisha maoni yake mwandishi kuhusu Muungano:- Ni ndefu lakini...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Back
Top Bottom