Salamu wana Bodi
Naona giza kuu lililotanda kwenye hili bunge.
Muda walioketi huko mjengoni hakuna kilichotendeka zaidi ya kuchagua mwenyekiti na kuamua kura ya mseto.
Wameomba muda wa...
Wadau,
Inasikitisha, lakini ndiyo ukweli wenyewe kwamba tangu awali mchakato wa Katiba ulikosewa. Ulikosewa tangu pale Rais Kikwete alipotangaza rasmi kuanza kwa shughuli hiyo kwa shinikizo tu...
Kwa kuwa Samweli Sita amewatenga viongozi wa Dini wanaotaka serikali tatu nawashauri UKAWA fanya jitihada za kuwa kusanya viongozi wa dini wote pamoja na hao aliokutana nao sitta fanya...
Wana jamvi muungano wa serikali 2 kuutetea kunahitaji moyo wa mgumu na uvivu wa kufikiri,maana mfumo wa serikali 2 una bakiza mawaziri na manaibu zaidi ya 50,wabunge zaidi ya 350 ambapo...
Rais Jakaya Kikwete
Jumuiya ya Wazanzibari Waishio Tanganyika imekuja juu ikipinga vikali mikakati ya kuwabagua inayolenga kuwatisha ili kuwarudisha nyuma wasiendelee kudai mamlaka kamili ya...
Lembeli baada ya kuweka bayana kuwa yeye ni Mtanganyika na anaheshimu kuwepo kwa serikali ya Tanganyika, Chama chake Mkoani shinyanga wanataka kumtia kitanzi eti kavunja maadili ya chama.
CHADEMAna wanachadema wengi wana amini mfumo wa Serikali 3 utawanufaisha kisiasa. Wengine wamefika hata hatu ya kusema Serikali 3 zikipita ndo utakuwa mwisho wa CCM.
Najaribu kutafakari ni kwa...
Nimetafakari sana na kupitia hoja za warioba,hoja za kamati ya maridhiano zanzibar,maoni tume ya nyalali,tume ya mark bomani na maoni ya wananchi nimegundua kuwa mfumo wa serikali 3 uliopendekeza...
Nawakilisha tu:-
Mtu yeyote atakayehusika kupindisha au kushiriki uingizwaji wa katiba itakayoenda tofauti na UKWELI ikigandamiza wananchi kwa maslahi ya wachache yafuatayo yatatokea:-
1...
Wanakwetu...
Ngumu sana kukataa mawazo unayowaza lakini usiogope mawazo yangu hata wewe una uhuru wa kuwaza, taifa hili bado tunajilazimisha kuamini-amini kwamba ni letu sote ingawa wenyenalo...
Ufuatao ni utabiri wangu kwa zanzibar iwapo Muungano ukivunjika. Machafuko makubwa yatatokea Zanzibar.
1. Vita ya kwanza itakuwa ni Pemba kujitenga na Unguja. Hiyo inajulikana tangu zamani...
Nimesikia sikia kuwa eti ubunge sasa utahitaji mtu mwenye shahada, ikiwa hivyo nadhani mbunge wangu Mnyika na wengi wa chama nishabikiacho, bila kuwa mwanachama, wanaweza poteza ubunge.
Kumbe sio...
Hodi hodi jamani!
Nimekuwa nikitafakari na kujiuliza swali ila nakosa majibu sasa naomba msaada.
Tukiwa na serikali ya Zanzibar ofisi zake zitakuwa zanzbar na tukiwa tanganyika ofisi zake ztakuwa...
#NaTanzaniaKwanza
Taifa letu lina idadi kubwa ya vijana kuliko kundi lingine lolote. Sensa ya mwaka 2002, vijana walikuwa ni 35% ya watanzania wote na Sera ya Taifa ya Maendeleo ya Vijana ya...
Imekuwa tabia ya muda mrefu sasa kwa wanasiasa kutusemea,utasikia ooh watanzania wanataka hivi mara vile bila hata ya kutuuliza wala kufanyana utafiti.Na mfano mzuri ni sasa ktk mchakato wa katiba...
:A S 465:WASOMI MBONA MMEMWACHIA ISSA SHIVJI PEKE YAKE KULIOKOA TAIFA?:A S 465:
Ni dhariri kwamba Wasomi wanatambua wazi kuwa Serikali mbili ndiyo muundo pekee wa serikali unaoweza kudumisha...
Mwl Nyerere alipigania uhuru wetu tukaupata kutoka kwa wakoloni, then akaifuta Tanganyika kwa kivuli cha muungano feki ambao hata rais wa Zanzibar kwa wakati huo hakusaini hati ya muungano. Mwl...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.