KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Hati ya muungano yachakachuliwa kukidhi mahitaji ya CCM katika mchakato wa katiba, mambo ambayo tayari yanafanyiwa kazi na wajumbe ni kutaka hati hiyo kuachwa katika majadala na kwenda mahakamani...
2 Reactions
165 Replies
18K Views
Wana jamvi nipo muheza mjini,gari kubwa la matangazo limepita mitaani huku wakitangaza kuwa kesho saa 3 asubuh mkutano wa hadhara utakao hutubiwa na dr slaa,mketo na katibu mkuu wa nccr mageuzi...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Inaeleweka raisi Kikwete ndie aliependekeza mabadiliko ya katiba, na kwa mawazo yake alidhani ingekuwa issue ndogo licha ya kukutana na baadhi ya vikwazo! But kwa mtazamo wangu nahisi amefanya...
2 Reactions
27 Replies
3K Views
Wanajamvi, Kiukweli kabla ya Sitta kulichukua Bunge la katiba alikuwa akiheshimika sana hasa kwa namna alivyoliendesha Bunge la tisa huku Mama akidharaulika sana kwa namna Bunge la kumi...
4 Reactions
30 Replies
4K Views
Inasikitisha sana kuona wanachama wa ccm ndani ya bunge la katiba wapo kwa ajili ya kupinga maoni ya wananchi. Sasa kama walijua kama maoni yao ndio sahihi na sio ya wananchi kwanini walikuwa...
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Wakati mmoja katika maisha ya familia mmoja wa wanandoa anaweza kuwa na matatizo na/au akaamua kuanzisha mgogoro bila sababu ya msingi. Yote yanaweza kuashiria kwamba mmojawapo hapendi kuendelea...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Mara nyingi katika mijadala mbalimbali, Watanganyika wamekuwa wakiwabeza Wazanzibari. Lakini kwa mtazamo sahihi Wazanzibari wameonesha wana ukomavu na uzalendo kuliko sisi Watanganyika...
8 Reactions
40 Replies
4K Views
Hati halali ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar haiko UN, kuna ya Tanganyika tu,ambayo Nyerere aligushi mambo mengi. Hati ya Zanzibar ni ile ya Muungano wa Muda wa miaka 10 tu , lakini kwa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Muda huu maandamano ya amani yana anzia pongwe city hadi uwanja wa tangamano ambako mkutano mkubwa utafanyika leo,amakweli kila mtu ana hamu Tanganyika irudi,nipo eneo la tukio wana tanga...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Kamati ya Maridhiano Zanzibar inayowaunganisha wazanzibari wote bila ya kujali tofauti zao wanafanya kongamano la wazi asubuhi hii ya Jumapili tarehe 06/04/2014 katika ukumbi wa Salama wa hoteli...
2 Reactions
23 Replies
3K Views
Wadau naombeni faida za muundo wa tatu au mbili kwa wananchi wetu wa znz au pemba na hasara zake
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Hivi karibuni Profesa Issa Shivji aliwasilisha mada kwenye kongamano la vijana, mjini Dar es Salaam, kuhusu Muungano yenye kichwa kinachosomeka: UCHAMBUZI WA MABADILIKO YA 10 YA KATIBA YA...
3 Reactions
23 Replies
5K Views
TANGAZO! Haya haya wazanzibari! Kumekucha! La mgambo likilia kuna jambo! Kamati ya Maridhiano Zanzibar inayowaunganisha wazanzibari wote bila ya kujali tofauti zao zote walizonazo inawatangazia...
3 Reactions
29 Replies
3K Views
Mjumbe wa CCM Amwaga Machozi baada ya Kuzomewa na kuitwa Msaliti….Chanzo ni kukataa kura ya Wazi. Written by Gumzo | April 5, 2014 | Amwaga machozi baada ya kuzomewa, kuitwa msaliti...
1 Reactions
17 Replies
4K Views
WanaJF, Kwa kipindi hiki kifupi ambacho mjadala wa katiba mpya umeanza na kifungu cha 1 na 6 kwa kweli mm nimeanza kukwazika. Sikujua kwa nn kura iwe ya wazi. Mwanzoni nilihisi kuwa kura ya wazi...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Nayatamka na kuyaandika haya nikijua fika kuwa BMK lipo Dodoma na linaendelea kuvutana juu ya serikali 2 au 3. Majuto ni mjukuu wahenga walisema; Mtakuja kunieleza Desemba mwaka 2015 kwa haya...
1 Reactions
4 Replies
945 Views
Wanachama wote wa CUF,NCCR Mageuzi na CHADEMA pamoja na wakazi wote wa Dar es salaam kwa heshima na taadhima mnaombwa kufika Landmark Hotel Ubungo leo jumamosi tarehe 05/04/2014 saa 03:00 asubuhi...
0 Reactions
59 Replies
5K Views
Kikwete pours cold water on Warioba draft, law process at stake By JENERALI ULIMWENGU posted Saturday, March 29 2014 at 14:49 President Jakaya Kikwete has effectively poured cold water on...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Katika mchakato wa katiba unaoendelea hivi sasa mjini Dodoma kumekuwa na kupigana vikumbo kimawazo na kihoja-za msingi na zisizo za msingi-kila mmoja akitaka wazo lake lipewe kipaumbele katika...
0 Reactions
8 Replies
959 Views
Bunge la maalum linaloendelea dodoma kwa takriban miezi miwili sasa limekua kizungumkuti cha aina yake. Baadhi ya watu wa zanzibar wameanza kudhani bunge hilo ni kama mchezo wa mpira. Baada ya...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom