KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Ni hulka tu ya kibinadamu kupenda mambo mazuri na kiukweli ukiacha mwonekano wa bunge la katiba miongoni mwa wananchi bado wajumbe wa bunge la katiba wanakula goodtime sana kwa kuzingatia ukubwa...
0 Reactions
0 Replies
811 Views
Nawapa kwanza pongezi kwa kuchaguliwa kuwa wajumbe wa bumge maalumu la katiba,hakika mimi naamini mnastahili lakini kila mmoja wenu anao uwezo wa kunichunguza na kunipima katika mzani na kuona...
0 Reactions
0 Replies
714 Views
Mjumbe wa Bunge la Katiba Kangi Lugola, ametaja msimamo wake wa kuunga mkono serikali tatu kwamba ni kukwepa unafiki. Lugola, ambaye alisema kwenye kikao cha Bunge...
1 Reactions
26 Replies
3K Views
Kanuni za Bunge Maalum zinakataza wanahabari kuwepo wakati wa majadiliano ndani ya Kamti mbalimbali za Kibunge zilizoundwa.Kwasasa Kamati zote zinajadili kuhusu Sura za Kwanza na Sita za Rasimu ya...
0 Reactions
2 Replies
682 Views
Kwa hivi sasa waandishi wanalalamika kupewa habari zilizochujwa na wenyeiti wa kamati za bunge maalumu na pia usumbufu wanaopata ikiwa ni pamoja na kuitwa na wenyeviti wa kamati hizo na...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
WAS/IS SHIVJI&HIS BOOK(S) PRO-CCM & 3 GOVERNMENTS? "Whether such a new union structure will be based on one, two or three governments; whether the model of union would be Canadian, US, Indian...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Watanzania imefika wakati sasa tuseme basi; utawala wa kisanii, kiujanja ujanja na kinafiki lazima sasa upigwe vita na Mtanzania yeyote yule aliye na uchungu na anayelitakia mema hili taifa...
6 Reactions
5 Replies
2K Views
Ni kweli kabisa kutokana na kanuni kuwazuia waandishi kuingia kwenye vikao vya kamati kule dodoma haya ndio matokeo yake waandishi wanaandika matangazo wanayotangaziwa na wenyeviti wa kamati na...
0 Reactions
0 Replies
696 Views
Awashangaa Lissu, Jussa kujilinganisha naye Wasomi wawaita wanasiasa wapiga kelele MWANAZUONI Mwandamizi nchini, Profesa Issa Shivji, amesema hafanyi uchambuzi kwa ajili ya matakwa ya...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
KWA mujibu wa gazeti la Fahamu, toleo Na. 288 la Jumanne Machi 25 – 31, 2014 katika ukurasa wa nane, Profesa Ibrahim Lipumba, kupitia makala yake ya ‘Jicho la mwanachuoni' amedai...
0 Reactions
35 Replies
3K Views
Napenda kuamini kuwa serikali mbili ndo suruhisho la matatizo ya muungano.Hapatakuwa na mshikamano madhubuti katka masuala ya uchumi na maendeleo ya jamii na gharama ya kuziendesha serikali3...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Tumeambiwa mara kadhaa kama habari nyepesi hivi kwamba Kikwete ni mtu wa visasi nasi hatukujali sana, fuatilia kisa hiki hapa! Kikwete na Warioba walipambana katika kuwania Urais mwaka 1995...
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Nasema hivyo kutokana na ziara yake ya hivi karibuni nchini uingereza kwenda kuwatafuta wawekezaji.Ziara ambayo iliambatana na na mawaziri saba pamoja na wakuu wa mikoa. kwangu mimi tatizo sio...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Hadidu za rejea zilimtaka Warioba ma team yake wafanye nini? Watengeneze muundo wa nchi au namna ya kwendesha vizuri Nchi hii ya Tanzania. Mimi kwa upande wangu nadhani walikosea kutoa hadidu...
0 Reactions
0 Replies
643 Views
Huwa nafuatilia kipindiki cha Je, tutafika, lakini siku hizi napata ukakasi. Huyu jamaa siku hizi anapiga debe serikali 2 tu. Anaalika wageni wenye kazi ya kuponda rasimu ya katiba tu. My take...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
MWENYEKITI wa Bunge Maalum la Katiba, Samuel Sitta, amewateua Wajumbe Watano (5) wa Bunge hilo, watakao ungana na Wenyeviti wa Kamati za Bunge kuunda Kamati ya Uongozi. Akitangaza Majina ya...
2 Reactions
59 Replies
7K Views
Tume imevunja lakini huyo mjumbe ye bado anahangaika na makabrasha kwenye vyombo vya habari,mikutano.semina .huku akiendelea na msisitizo wa serikali tatu.kwa mwavuli wa tume. Ushauri kwa...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Mjumbe wa Bunge la Katiba na Mbunge wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mh Ezekiel Wenje amedai kwamba Wajumbe wa Bunge la Katiba wanaoiwakilisha CCM kwa uwingi wao wameamua kuleta...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Mimi nina swali Je Watanzania bara tunafaidika vipi na muungano? kama ni swala la undugu basi si swala la upande mmoja. Badala ya kutumia serikali tatu kuvunja muungano kwanini tusiwe wa wazi na...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Ndugu zangu ukikaa kimya kuna vitu viwili, kwanza unafikiria nini cha kusema au hauna upande wowote unaousapoti. Mwaka uliopita nchi yetu iliingia katika mchakato wa katiba mpya. Vikao vikapita...
0 Reactions
1 Replies
838 Views
Back
Top Bottom