Katika rasimu ukurasa wa 42 uchaguzi wa rais kifungu cha 79c "wazazi wake wote wawili wawe ni raia wa Tanzania wa kuzaliwa" hivi tume ilitaka kutubana tusioe nje au dada zetu wasije nyumbani na...
wakuu kinachoendelea bungen inasikitisha sana kuona watu wanafanya maigizo kwenye katiba ya watanzania.
ni nini hasa kinachowafanya hawa wabunge kutokusikilizana?mimi kinachonikela hasa kwenye...
Kitabu kinaitwa "Zanzibar And The Union Question" kina namba ya usajili ISBN: 9789987697045. Ni kitabu ambacho kimekusanya lecturers mbalimbali za kuhusu Muungano zilizoandikwa na akina Prof...
Wengi wanaotetea Serikali mbili hawajatuambia majina ya hizo serikali na namna ya huo muungano wa serikali 2.
Mwenye majina azitaje na aseme ipi inaungana na ipi kisha muungano unaitwaje?
Lowasa, Malecela na Sumaye ni watu maarufu sana katika siasa za Tanzania hasa zile za urais ujao. Kuna aliyesikia mawazo yao kuhusu muundo wa Muungano? Sita naye yumo ila kwa vile ni mwenyekiti wa...
KWA muhtasari, nimezungumza na Mzee Njelu Kasaka kuhusu kilichojiri kati ya kundi la wabunge maarufu kama G55 na Mwalimu Julius Nyerere. Kasaka (akiwa Mbunge wa Lupa-Mbeya) ndiye aliyeibua hoja...
Zilizopo ni Serikali-Tatu
-
-
Na Ali Nabwa
"Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ni mrithi halali wa Serikali ya Jamhuri ya Zanzibar, ambayo mwaka 1964 ilitia saini Mkataba, yaani, Makubaliano ya...
Naona kama kamati za bungee maalumu 12 zilizowekwa na mwenyekiti wa BMK ili kujadili vipengele vya rasimu ya katiba iliyowasilishwa na Jaji Joseph Warioba kimsingi zinanipa mawazo tofauti:
-kwanza...
Habari ndio hio .upumbavu unaofanywa na BMK kulazimisha watz waone Kuwa huko UN uthibitisho uliosainiwa na Nyerere na Karume kuhusu muungano upo huko.ukweli UN hakuna kitu kama hicho. Na...
Baadhi ya vikundi vya bunge malumu la katiba vilivyofilisika kwa hoja wameanza kueneza propaganga kuwa watu wanataka serekali tatu wanataka madaraka sasa ndugu zangu naomba kuuliza hivi serekali...
Mbunge wa zamani wa Chunya (CCM) na aliyekuwa Kiongozi wa Kundi la G55 lililowahi kuidai Tanganyika huru Mhe.Njelu Kasaka, anasema "CCM ni Chama kikubwa, kina Wanachama wengi, Wajumbe ni wengi...
Hello wana JF,
Baada ya Jaji Joseph Sinde Warioba kuwasilisha Rasimu ya Katiba Mpya kwa BMT na kufuatiwa na Hotuba ya Rais kuzindua BMT kumeibua mijadala mikali nchi nzima kuanzia Bungeni...
Katika makubalino ya serikali na bakwata walikubaliana waanzishe mahakama ya kadhi ambayo itaendeshwa na waislam wenyewe kwa anufaa yao binafsi maana serikali haina dini.Na baada ya muda tukasikia...
Sasa nimeamini kabla ya kulaumu chunguza kwanza, Prof Issa Shvji sikutegemea wala sikufikiria kwa msomi kama Shvji kutokutoa maoni yake katika tume ya jaji Warioba.
Akizungumza na kipindi cha...
Naomba kujua wanasema tusipiganie Tanganyika eti ni kuuzika muungano mbona wazanzibar ukimuuliza yeye ni nani anasema ni mzanzibar na hili tunalitambua kwa wema bila ubaguzi wowote,je mimi kusema...
Habari zenu Wadau, hii ni sehemu ya andiko la Professor Haroub Othman kuhusu hati ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.
WHERE IS ZANZIBAR'S DEATH CERTIFICATE?
As the debate on the status of...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.