Kwanza nianze kwa kumshukuru rais Kikwete kukubali maombi ya watanzania ya kutaka kuboresha katba yetu kwani amedhihirisha wazi kuwa serikali ya ccm ni serikali sikivu na yenye watu makini...
Kati ya mambo ambayo yamewashtua sana CCM ni CHADEMA kubadili mikakati yake ya kampeni, hasa kwa kufanya kampeni za nyumba kwa nyumba, mtu kwa mtu, kitanda kwa kitanda, kwa kuanzia na Igunga...
umoja wa katiba ya wananchi (ukawa) unawatangazia watanzania wote kuwa kesho tarehe 5 april 2014 kutakuwa na kongamano katika ukumbi wa Landmark hotel- Ubungo, kituo cha Riverside kuanzia saa tatu...
TANZANIA SIKU YA WAJINGA NI 09 DEC KILA MWAKA.
REJEO: Babu aliwahi kunambia "Ukiwa ni mzima ni lazima usherehekee siku yako ya kuzaliwa, ukifa watakaobaki waadhimishe siku ya kufa kwako.
Ni...
Hatimaye mwenyekiti wa bunge la Katiba kakiri kuwa saini zilizopo katika hati ya muungano ni za kughushi kwani sahihi za Msekwa na hayati Nyerere zimeongezwa na baadhi ya herufi kwa komputa na...
Mkoa wa dar unatarajiwa kulipuka tena kesho ambapo
chama chademokrasia na maendeleo (chadema)
kwakushirikiana na nccr-mageuzi na cuf
kesho saa tatu asubuhh
wana waalika pale landmark hotel...
Nimesikitishwa na kauli za wabunge aina ya mwigulu nchemba ati wanaotaka kura ya siri ni wale wanaounga mkono ushoga!maswali hapa ya kujiuliza ni
1.watanzania wanapiga kure ya siri...
Mimi kama muumini mzuri wa baba yetu j.k nyerere napenda kuwaeleza wanakatiba ccm kuwa licha ya kuharibu mchakato wa katiba kuanzia kwenye mabaraza ya katiba ya wilaya ambapo hata mimi nilipigiwa...
Kwa watu wenye mapenzi mema na hii nchi naomba tumweke jaji Warioba kwenye maombi yetu kila siku tusije kusikia naye kavamiwa na majambazi wakamwibia laptop na kumkata mapanga.
Mungu mlinde...
Posted by-khelef
Hivi karibuni tulisikiaya kuwa Rais Mstaafu Amani Karume kuwa alimwambiya Mmwenyekiti wa Tume ya Katiba Jaji Warioba, Mkataba wa Muungano wa Tanganyika na Zanzibar haupo, Jaji...
- Well, hatimaye ile siku waliyokuwa wanaitafuta kwa muda mrefu wale wote wasaliti wasiotaka Mungano imetimia, sio siri the damage was done today sas wale wote tunaoamini in Serikali 2 huu ni...
Kwanza napenda kuwapa heshima tele na shikamoo Vibabu na Vibibi vya nchi ya Tanganyika, najua mna kila haki ya kudai nchi yenu ya Tanganyika ambayo ilikuwepo wakati mnazaliwa. Nina uhakika bado...
Dodoma. Utata umezidi kuibuka katika Bunge Maalumu la Katiba kutokana na kutopatikana kwa hati ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar na ile ya Sheria ya Baraza la Mapinduzi ya kuridhia Mkataba wa...
HISTORIA INANYESHA TUMEPIGA HATUA KWA KUANZISHA TANZANIA NA NI TENDO LAKUONYESHA TUPO HURU KIMAWAZO NA KIFIKRA!
Kurudisha Tanganyika yenye historia hii ni kuonyesha kizazi cha vilaza
Maeneo...
Wadau, habari za asubuhi. Naamini kuwa hamjambo na mmeamka salama. Wale ambao kwa bahati mbaya hali zao za kiafya si nzuri basi tuwaombee kwa Mwenyezi Mungu ili wapone haraka. Na wale wwliofikwa...
MH JOHN MNYIKA ALIWASILISHA RUFAA DHIDI YA UVUNJAJI WA KANUNI ULIOFANYWA NA MWENYEKITI WA BUNGE MAALUM KATIKA UENDESHAJI WA VIKAO VYA BUNGE MAALUM, PAMOJA NA KAMATI KUCHELEWA KUTOA UAMUZI KWA...
Mimi nimejaribu kusikiliza wale wote wanaotetea muungano na wanaopinga kakini napenda kujua mbali na muungano wa urafiki na kuwa na urafiki na wazanziba ni ipi faida nyingine kwa mtu wa kawaida...
by Edson Kamukara 03/04/2014
Jaji Joseph Warioba, Prof. Palamagamba Kabudi na Prof. Issa ShivjiMVUTANO mkali umeibuka kwa wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba wakishindana kupendekeza mtaalamu...
Kama Jk alivyoonya rasimu hii ina mambo mengi. Ingawa mijadala mingi imekua juu ya muundo wa serikali. Hili la mawaziri kutokutokana na bunge na kutokuwa wajumbe limekaaje. Nini faida ya mfumo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.