Wana jamvi mbona mh mtikila hasikiki wakati ni mtu muhimu sana wakati huu wa harakati moto moto za kuidai tanganyika?amepotelea wapi au amejificha anataka kuibukia mahakama ya kimataifa kudai...
Wana jamvi wapambanaji wa kutetea katiba ya wananchi kupitia rasimu ya pili ya katiba kesho jumapili wana washa moto uwanja wa tangamano jijini tanga na jumatatu wapo muheza uwanja wa ng'ombe...
Wakati Rais Jakaya Kikwete anaanzisha mchakato wa kupata Katiba mpya, wewe Mzee na wenzio wapinga maendeleo ndio mlikuwa wa Kwanza kupinga uteuzi wa JAJI WARIOBA kama mwenyekiti wa tume hiyo. Na...
Nchi mbili zinapoungana na kuwa Nchi moja mifumo ya kawaida ya miundo ya Katiba ni miwili: Muungano wa Serikali Moja, au Shirikisho la serikali Tatu. Kwa mfumo wa kwanza kila nchi itafuta serikali...
Naamini nitapata majibu mengi juu ya hili, lkn cna imani kwamba nitawapata walio sahihi na majibu yao kwa asilimia 100. Kwani binadamu tumeumbwa kwa utashi wa pekee ambao huyachambua mambo...
Kutokana na ugumu wa kupata habari, waandishi wataka kanuni za Bunge Maalum zirekebishwe ili waripoti moja kwa moja habari za kamati za Bunge,mimi mpaka leo najiuliza ni kwa nini KATIBA ni ya...
Al- Shymaa Kweigyir
Amwaga machozi baada ya kuzomewa, kuitwa msaliti
by Edson Kamukara 04/04/2014
Mjumbe Al- Shymaa Kweigyir alazimishwa kupiga kura ya waziWAKATI Chama Cha Mapinduzi (CCM)...
wana jamvi hapo tanga mjini matangazo yana tolewa kuwa uwanja wa tangamano kesho watetezi wa katiba ya wananchi wata washa moto,na jumatatu wapo muheza..dr slaa ataongoza jahazi
HAPA WASISI WA NCHI MBILI HIZI WANAONEKANA WAKIWEKA SAHIHI ZAO NA SIO DOLE GUMBA je HATI HIZI ZIKO WAPI? tunataka tuzione hati halisi ili tujuwe walikubaliana nini? na ni muundo upi wa muungano...
Kwa maoni yangu; Tuahirishe hili la Muungano for the next 5-10 years! Tuendeleee na vdi fungu vingine!!! Asante. Tukubaliane kutokukubaliana tusonge mbele!
Najaribu kuepuka kukosa katiba kabisa...
Dr slaa awaambia wananchi waliohudhuria ktk mkutano wa ukawa pale landmark rais nubkama kinyonga wa katiba ukiachilia ukweli ccm yake ktk rasmu haikuwa ajenda ya kutubfa katiba ktk raesmu...
MWENYEKITI wa Kamati namba Sita ya Bunge Maalum la Katiba, Stephen Wassira amesema kamati yake imependekeza Tanzania Bara kuvua koti la Muungano, linalodaiwa kuvaliwa ili koti hilo sasa livaliwe...
Tumesikia mara kwa mara kwamba nje ya Muungano Zanzibar itakuwa "Dubai ya Afrika!"
Sitaki kubisha kuhusu hili maana sijajua dhana hii imejengwa katika msingi gani!
Hata hivyo, nina maswali...
Wadau wakati tunajadili suala la katiba mpya ni vizuri tukajiuliza kama rasimu hii inatokana na maoni ya wanainchi ambayo warioba na wajumbe wa tume walikusanya maoni nchi nzima na sasa...
Dodoma. Kura za awali katika Kamati 10 kati ya 12 za Bunge Maalumu la Katiba, zinakipa wakati mgumu Chama Cha Mapinduzi,(CCM) kutekeleza azma yake inayotajwa kuwa ni kufumua Rasimu ya Katiba, ili...
Dr Bana akiwa anahojiwa kwenye kipindi cha Hot Mix EATV amesema twakimu za tume ya jaji warioba sio za kisayansi na zisitumike kuafanya majumhisho ni kama za kipima joto cha ITV pia ameendelea...
Ni jambo la aibu mambo aliyofanyiwa warioba baada ya ccm kutangaza msimamo wao,kiasi cha kuamka asubuhi na kuambiwa tume imeshavunja ni udhalilishjaji uliopitiliza.kama warioba ambaye ni waziri...
Wadau, amani iwe kwenu.
Kwa mujibu wa Ratiba ya vikao vya Bunge Maalum ambapo nimepata nakala yake, ni kwamba kuanzia jana tarehe 31 Machi 2014, Bunge Maalum limeanza vikao vya kujadili vifungu...
Mwanasheria mkuu wa Zanzibar anasema hati ziko UN
Katibu wa bunge maalumu anasema hati ipo mahkama kuu Dar
Ina maan kila mmoja anasema bila ya kuwa na uhakika. Kila kinachokuja mdomoni tu ni...
TABIA ya wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, hasa kutoka vyama vya upinzani waliounda kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), kutafuta kasoro ndogo ndogo za kutaka Bunge liahirishwe mara kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.