KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Ndugu zangu, Watanganyika, Wazanzibari na Watanzania. Mara baada ya hotuba ya Mh Jaji Warioba kwa Bunge Maalumu La Katiba, kumekuwepo na malalamiko, mashaka au tuseme manung'uniko kutoka kwa watu...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari zenu wakuu! Leo katika kutafakari mchakato wa Katiba mpya na haswa suala mgawanyo wa madaraka nikapata swali ambalo lilikosa majibu yake! (nadhani ni kwa sababu ya umri wangu kuwa mdogo)...
0 Reactions
21 Replies
2K Views
Fact 1: makusanyo ya kodi bara ni trilioni 33.2 tsh, zanzibar ni trilioni 1.2 tsh. Quote ya Mhe. D. Haji (28.3.2014 star tv). Anaendelea katika uchambuzi kwamba kwa mantiki ya hesabu za haraka...
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Ni wazi swala la kutaka katiba mpya lilitoka kwa walio wengine inawezekana sio wote sababu nina imani kwamba kuna watu hawana habari kama kuna katiba au kama wanayo basi hawajui hata kilichomo...
0 Reactions
1 Replies
825 Views
MASHARTI YA KATIBA YA ZANZIBAR YANAYOVUNJA KATIBA YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA 1. Katiba ya Zanzibar ya Mwaka 1984 inatamka kwamba Zanzibar ni Nchi na inatamka mipaka ya eneo lake katika...
0 Reactions
19 Replies
5K Views
Ndugu zangu inauma saana kuona watu wazima wasomi , maprofesa, wanasheria , waalimu, wanataaluma karibu nyanja zote zipo ndani ya bunge la katiba lakini tunachoshuhudia sasa wananchi sicho...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Kitendo cha kuwepo katiba hai Zanzibar Wimbo wao wa taifa.baraza la wawakilishi.bendera ya taifa,na rais mwenye mamlaka kamili ni udhihirisho kuwa wazanzibari walimuenzi mama yao Zanzibar huku...
0 Reactions
0 Replies
616 Views
Baada ya malumbano makali na ya muda mrefu kuhusu aina, uhalali na manufaa wa muungano wa Tanganyika na Unguja kwa Watanzania umefika wadau wote tujiulize maswali yafuatayo kabla ya kuamua aina ya...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Pengine acha nikubaliane na wale "maadui" wa muungano wanaodai kuwa Aboud Jumbe alifanya kosa kubwa la kihistoria kumkubalia Nyerere kuunganisha TANU na ASP, hawa wako wengi , ikiwa kweli...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Swali hili zuri nimelikuta katika makala ya Mwalimu Mkuu wa Watu,na nikaona si vibaya tukilitumia kama kichokoo cha udadisi. Msingi na uzito wa swali unatokana na ukweli kwamba Wazanzibari wana...
1 Reactions
24 Replies
3K Views
Katika mahojiano ya sauti ya ujeruman na wanasiasa wa Tanzania waliopo bunge la katiba mheshiwa Tindu Lisu. Said mkumba na jusa wa cuf. Said mkumba alishindwa kujua kabisa maana ya sampling...
4 Reactions
24 Replies
3K Views
Mh Njelu Kasaka Na Thobias Mwanakatwe 2nd April 2014 Mbunge wa zamani wa Chunya, Njelu Kasaka. Mbunge wa zamani wa Chunya, Njelu Kasaka, amekosoa mfumo uliopendekezwa na Wajumbe wa Bunge...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Jana kwenye taarifa ya habari ya ITV walionesha moja ya mikutano ya kampeni za mgombea wa CCM na ahadi zake nyingi,ila kilichonifurahisha ni wakati wanaenda kwenye mkutano mwingine magari yao...
2 Reactions
57 Replies
5K Views
Mimi sasa nimekuwa muumini wa Serikali Moja; Moja ya kwao na Moja ya kwetu, tukutane Umoja wa Mataifa kama ndugu wamoja! Undugu haung'ang'aniwi na ndugu akishalalamika kuwa unamzibia ni wakati...
12 Reactions
44 Replies
4K Views
UMOJA wa Katiba ya Watanzania nje ya Bunge Maalumu la Katiba (Ukawa-nje) umekosolewa na kunyooshewa vidole na watu mbalimbali wakiwemo viongozi wa kidini waliosema hatua yake ya kutangaza...
0 Reactions
75 Replies
7K Views
Bunge la Katiba jana lilianza kujadili Rasimu ya Katiba kwa misukosuko kwenye Kamati baada ya kuvamiwa na kundi la wanaharakati waliokuwa na mabango wakidai hati halisi ya Muungano yenye saini za...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kulikuwa na mfalme mmoja dhalimu, ambapo fundi seremala mmoja aliapa kumuumbua ili kulipiza kisasi cha maovu waliyofanyiwa wazee wake na mfalme huyo. Fundi huyu aliahidi kumshonea mfalme vazi la...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Naileta hoja hii kufuatia tabia ya Slaa kuendeleza kiinimacho chake cha kufanya mikutano yake Mwanza kama alivyozea. Leo tarehe 1/4/2014 Slaa ameendeleza uchochezi wake jijini Mwanza kwa...
1 Reactions
41 Replies
4K Views
Dhana na Maana ya Bunge Maalum la Katiba na Prof. Issa Shivji Bunge Maalum la Katiba (constituent assembly) ni chombo mahsusi cha wananchi kutunga katiba yao. Katika falsafa ya kisasa ya...
13 Reactions
101 Replies
16K Views
Kama A=B na B=C basi A=C pia full stop! Mchanganuo: Kama waziri ni wa CCM na CCM inataka serikali 2 basi wajumbe 201 wa bunge maalumu la katiba walioenda kuonana na waziri waliombwa waseme...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Back
Top Bottom