Tunazo taarifa rasmi kuwa sasa Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba wanajadili Sura za 1 na 6 za Rasimu ya Katiba.Sura tajwa,zinazungumzia Muundo/Mfumo wa Muungano na idadi ya Serikali zake. Mjadala...
Nimekuwa nikisikia mara kwa mara kwamba muundo wa serekali katika muungano sio kitu kinachohusu mwananchi wa kawaida. Pia jana katika gazeti la mwanachi nikaona mjumbe wa bunge la mabadiliko ya...
Dar es Salaam. Rais Jakaya Kikwete amesema kuwa hakuwa na nia ya kuidhalilisha Tume ya Mabadiliko ya Katiba wakati alipohutubia kulifungua Bunge Maalumu la Katiba, wiki mbili zilizopita.
Rais...
Warioba anajulikana katika kusimamia ukweli, tena ukweli tupu na hana unafiki. JK alilijua hilo fika na ndiyo maana akamwona ni mtu sahihi kumteua. Kikwete alitaka ateue mtu ambaye anaweza...
Mjumbe wa Bunge la Katiba wa kundi la Umoja wa Kutetea Katiba ya Wananchi (Ukawa), Ismail Jussa akionyesha moja ya nukuu za kitabu cha Profesa Issa Shivji wakati wa mkutano na waandishi Dodoma...
Wanabodi,
Baada ya jana Prof. Shivji kuikosoa wazi wazi kipengele cha serikali 3 kWENYE rasimu ya katiba ya Tume ya Warioba alipokuwa akizungumza kwenye kongamano la vijana kuhusu Muungano, leo...
Katika katuni yake ya leo anasema "Hiyo ndege iliyopotea bora ingekuwa imebeba wajumbe wa bunge la Katiba".
Naamini hii ni kulewa sifa na kukosa ubinadamu kabisa. Siku zote napenda katuni zake...
OKTOBA 10, mwaka huu, Waandishi Wetu, walifanya mahojiano na Waziri Mkuu wa zamani, Jaji Joseph Warioba, kuhusu masuala mbalimbali, ikiwamo maadhimisho ya miaka 50 ya Uhuru wa iliyokuwa...
Nakumbuka Siku ya Ijumaa tarehe 28/03/2014 ilipangwa siku ya Jumatatu (jana) wabunge na wajumbe wangeanza kujadili rasimu, sijui nini kimetokea na hata hapa jukwaa la katiba hapajaekwa thired...
Jaji Warioba ni msomi, mzoefu, na mwanasiasa mahiri, Prof Shivji ni msomi nguli, mwalimu, mtunzi na mzoefu wa sheria,siasa na maisha. Raisi Kikwete ni Raisi wa nchi aliyemteuwa jaji Warioba kuwa...
Katika kila matukiomakubwa katika sayari hii kuna watu wanaoibuka mashujaa na wasaliti wakuu.Zanzibar kuna jamaa anaitwa Mansoor Yusuf Himid, huyu jamaa ni shujaa wa haswa,kwa kumuangalia ni...
Msikilize aliekuwa kiongozi wa kundi la G55,bwana Njelu Kasaka akiongea katika kipindi cha Dakika 45 kuhusu swala la muundo wa muungano.
Katika kipindi cha Dakika 45 ITV cha leo saa 3 usiku...
Hii nimeipata kwa jirani, wakuu hebu tuijadili:
TUME YA MABADILIKO YA KATIBA1. Jaji Joseph Sinde Warioba - Mwenyekiti
2. Mheshimiwa Jaji Mkuu Mstaafu Augustino Ramadhani - Makamu Mwenyekiti...
CCM watafanya hila zote katika kuchakachua maoni ya wananchi lkn mwisho wa siku watajikuta wanaangukia pua tu. Ili muundo wowote wa muungano upite,iwe serikali 2 au 3 utahitaji kupigiwa kura. Na...
BAADHI ya wajumbe wa Baraza la Katiba la Wilaya ya Kalambo mkoani Rukwa, wametaka katika katiba ijayo kuwe na muundo wa Serikali moja, huku Zanzibar ikiwa ni moja ya mikoa ya nchi ya Tanzania na...
Binafsi nikiwa mtanzania wa kawaida nisiye na ufahamu mkubwa wa kisheria, kupitia maandishi na maongezi na baadhi ya watu nlijua kuwa mabadiliko ya katiba ya zanzibr ya mwaka 2010 yamevunja katiba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.