Hivi niwaulize mnyika na lipumba kulikuwa na haja gani ya kupoteza siku nyingi kwa ajili ya suala la kura ya siri/wazi.!!!
Mmepuga kelele weeeeeee
Miongozo kila baada ya dkika 5
Halafu mwisho...
Mufti wa Tanzania,Sheikh Issa Shaaban bin Simba,hakusema alivyoripotiwa. Hakusema kuwa BAKWATA inapinga uwepo wa Serikali tatu. Nikiwa namwona,kumsikia,kumsikiliza na kumwelewa,Mufti Simba...
Wakuu,
Sipendi niweke porojo sana.
Nimeweka kipengele cha Muungano ili GTs waweze kudadavua hatma ya Muungano wetu na uwezekano wa kurejea kwa Tanganyika (wao wameibatiza "Tanzania Bara")...
Serikali ya mapinduzi ya Zanzibar ilichangia gharama za kuendesha serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kwa miaka mitatu tu tangu 1965 - 1967 kwa asilimia kati ya 5 - 11.
Kwa mantiki...
DEMOKRASIA UTAWALA WA KIJINGA UNAPATIKANA KWA WAJINGA.
Hakika maneno haya, aliyasema mwanafalsafa wa kale wa kiyunani, Plato. Alipouona utawala unaotokana na demokrasia kuwa ni utawala wa kijinga...
Nawaomba wabunge mliopo kwenye bunge la katiba kwa kuwa mmepitisha upigaji wa kura ya wazi na ya siri kwa madai kwamba,mnamridhisha kila mtu anavyotaka,hata sisi wananchi wapo wanaotaka kura ya...
Kulingana na hotuba ya Jana ya Jaji Warioba, sijaona mkazo kwenye Tume huru ya Uchaguzi
Pia, Tume huru ya uchaguzi itahitaji kuwa na mjumbe ambaye ni Jaji mkuu wa Tanganyika
Wapinzani wameungana...
Wakati Tunasoma CIVICS shule za msingi, tulisoma Tanzania Bara na Tanzania Visiwani?
Tanzania ndo Jina la nchi ya Muungano, hakuna Tanganyika wala Zanzibar....
Je Raisi wa Tanzania Bara ni Nani...
CCM walitegemea kuletewa asali wanywe, badala yake wameletewa shubiri. Yaani ukiangalia juhudi kubwa wanazotumia ili wasimeze hiyo shubiri, inafuraisha sana.
Mwanasheria mkuu pamoja na waziri wa...
Kwa sasa, uwezekano wa kuipata Tanganyika yetu upo mikononi mwa Wazanzibar na wala si Watanganyika tena.
Ninasema hivi baada ya kugundua kwamba katika kura ya wazi, kila kitakachopitishwa ni...
Mjadara wa kura ya siri bungeni ulileta msuguano sana bungeni.Watu wengi ilionesha wanahitaji kura ya siri,hasa vyama ya upinzani wakiongozwa na kiboko yao CHADEMA.
Lakini hebu angalia upigaji...
UMOJA wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) tangu zama za TANU umechukuliwa kama kiota cha kulea na kutayarisha wanachama na viongozi wa kisiasa na hata wa kiserikali kwa lengo la kujenga siha...
Kuona mjadala unaoendelea kuhusu muundo wa Muungano, nadhani kosa kubwa sana la Tume ya Waryoba ni kuwa walifanya kazi yao wakiamaini kuwa jukumu lao ni Katiba ya Jamhuri ya Muungano tu, na wala...
KAULI ya hivi karibuni ya Rais Jakaya Kikwete juu ya mchakato wa kutafuta Katiba mpya ya Tanzania inaonekana kuwaumiza kichwa watu wengi wa Visiwani na kuwa mada ya mjadala kila pembe ya mji...
Wakuu tangu asubuhi sijaona updates zozote zinazo husiana na kinachoendelea hapo mjengoni kwani kawaida kila siku zenye kikao cha huwa tunakuwa na uzi hapa kwaajili ya kupashana kinacho endelea...
Akihutubia wanaCCM jijini Dar leo,mtoto wa rais wa kwanza wa Serikali ya mapinduzi ya Zanzibar Balozi Ali Karume,amewatangazia wanachama wenzake kuwa CCM haiko tayari kuona nchi inaongozwa na hao...
Wanajamvi yapo madai yaliyozagaa kuwa ndani ya UKAWA kuna kutoaminiana ikidaiwa kuwa Prof Lipumba na James Mbatia wanatumika na ccm kutoa siri ya mipango ya ukawa. Wengine wanaodaiwa kuisaliti...
Kwa muda sasa kumekuwapo mjadala kuhusu Katiba mpya ya Jamhuri ya Muungano. Kati ya watu waliopata kuzungumzia suala hili ni pamoja na mhadhiri maarufu nchini, Profesa Issa Shivji, ambaye mwaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.