Wakuu,
Kwa heshima na taadhima, nawapongeza JK na Jaji Warioba kwa Hotuba zao maridadi zilizoleta changamoto kubwa katika mchakato wa kupata Katiba Mpya!
Suala lililojitokeza ni uhalali wa...
Nyinyi ni wababaishaji na huo umoja wenu wa UKAWA ni kiini macho tu.
Mlishindwa nini kuunganisha nguvu za wapinzani ktk chaguzi zilizopita msimamishe mgombea mmoja alie imara ili muweze...
Jamani kwa wale waliofuatilia upigaji kura,hakuna kura ya siri pale,wajumbe walikuwa wanakuja mbele,kwenye meza,hakuna shading yoyote,hata sisi tunaoangalia kwenye TV tuliweza kuona wajumbe waki...
nlishangaa sana siku zile nlisikia ataenda kuzindua bunge la katiba ila ALIENDA KUONGELEA SERIKALI 2 NA KUMPINGA JAJI WARIOBA....VIONGOZI WA CCM WANAJITAHIDI KULINDA MUUNGANO WA SERIKALI 2 SIJUI...
Dodoma/Dar. Wakati Bunge Maalumu la Katiba linatarajia kuanza kujadili Rasimu ya Katiba kesho, baadhi ya wajumbe wa Bunge hilo wameanza kuondoka bungeni, kupinga mwenendo wa Bunge hilo.
Hatua...
Wanaofuatilia mijadala ndani ya Bunge la katiba na sisi tulioko hapa Dodoma kuna baadhi ya vituko na kauli vinafanywa na baadhi ya mawaziri wa Kikwete nje na ndani ya bunge na kujenga maswali...
kama unafuatilia taarifa za habari za ITV, utakubaliana nami kuwa Makonda na Bulembo wanahojiwa kila siku kuhusu yanayojiri bungeni. swali la kujiuliza ni je, hakuna watu wengine wakuwahoji mpaka...
Ivi jamani kuna watanzania wamepungukiwa akili au ni namna tu ya kujitafutia umaarufu usiokuwa wa maana,au ni kuiga.
Mtu anadiriki kusema swala la ushoga ! ( homesexual ..) ni swala dogo sana...
Baraza kuu la waislam limesema lina unga mkono katiba ya wananchi iliyo tokana na maoni ya wananchi ikiwa pamoja na mabadiliko katika mfumo wa muungano ili kuleta umoja na kuumarisha uchumi wa...
Hawa ni baadhi ya wananchi wa Zanzibar wakiwatisha wabunge wao juu ya maamuzi watakayofanya kwenye Bunge la Katiba.
Kwa hali kama hii ni dhahiri kabisa kwa kuwalinda wabunge hao kura ya siri...
Kinachoonekana kuendelea katika Bunge Maalumu la Katiba ni mashindano kati ya Umoja wa Katiba ya Wanachi (ukawa) dhiddi ya Umoja wa katiba ya CCM (ukaccm). Lakini tukizingatia kwamba katiba...
MATOKEO YA KURA BUNGENI
1. KURA ZA WAZI ZIMEPIGWA JUMLA 438
A. KURA ZA WAZI ZILIKUWA HIVI:- (1). NDIO 351 (2). HAPANA 87
2. KURA ZA SIRI:- (1). HAPANA 46 (2). NDIO26
2. KURA ZA JUMLA ZA...
Wakati Bunge Maalumu la Katiba linatarajia kuanza kujadili Rasimu ya Katiba kesho, baadhi ya wajumbe wa Bunge hilo wameanza kuondoka bungeni, kupinga mwenendo wa Bunge hilo.
Hatua hiyo ya wabunge...
Sasa ni dhahiri kuwa katika kuhutubia bunge maalumu kama kamati ya NEC ya CCM, Kikwete alitumia mawazo ya Prof. Shivji. Ili kuthibitisha hili fuatilia mawazo yake aliyoyatoa katika mkutano wa...
Akihutubia wana- CCM wa Mkoa wa Dar-Es-Salaam katika mkutano wa kuipongeza na kuunga mkono hotuba ya Rais Kikwete katika uzinduzi wa BKM, KATIBU mkuu wa CCM Ndg Kinana ameituhumu tume ya...
Haikuwa kwenye Ilani wala sera za CCM kwa uchaguzi 2010.
Katiba Mpya haikuwepo kwenye ahadi zozote ulizozitoa wakati wa Kampeni 2010.
Katiba mpya ilijengewa msimamo na wasaidizi na washauri wako...
Kwanza nianze kukipongeza chama cha mapinduzi kuleta dhana ya uwazi, chama tawala kimekubali kipenge cha rasimu ya katiba kinachopendeza uwazi serekalini kwa maana hiyo kuanzia mwaka wa bajeti...
Wakuu,
Mimi nashangaa sana,baadhi ya vyama vimekuja na misimamo yao ya katiba mpya,mwisho wa siku maamuzi ya kuikubali au kuikataa ni kwa wananchi kama watatuletea rasimu...
- Adai ni wajibu wake kama Rais kuwaeleza ukweli wananchi
- Mziray apinga UKAWA na Tanzania Kwanza!
JK alitoa kauli hii wakati akijibu risala ya wazee wa Wilaya ya Muheza mkoani Tanga waliofanya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.