KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Kati ya hotuba zote za ukawa kwenye kamati ipi imekusisimua? Mimi ya Tundu lissu,Jussa,Vicent,mbowe ndo zimenisisimua
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Wana JF nawasalimu kwa heshima tele. Leo nimekuja na swali juu ya jambo muhimu kwa watanganyika wote na wazanzibari pia. Hili jambo ni kuhusu baba wa taifa wa Tanganyika mpya. Kama Tanganyika...
0 Reactions
31 Replies
3K Views
Wakuu kuna tetesi kutoka Lumumba kuwa Benard Membe amepewa amri na wakuu wa kambi yake kuwa awe kimya na asizungumze lolote juu ya muundo wa serikali na katiba kwa ujumla. Inasemekana ni mbinu ya...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Wana JF nafikiri kila mmoja wetu amepata fursa ya kumsikiliza Mwanasheria nguli Ndugu Tundu Lisu katika taarifa yake aliyoiwasilisha bungeni wiki iliyopita kwa kutoa reference mbali mbali, ambapo...
0 Reactions
33 Replies
4K Views
Naomba Ibara moja tu ndani ya Rasimu ya Katiba Mpya itakayoibana Zanzibar na hata Tanganyika zisikiuke Katiba ya Muungano, na endapo zikikiuka Katiba hiyo zitafanywa nini kwa mujibu wa Rasimu...
1 Reactions
45 Replies
3K Views
Watawala-CCM: Watasikia yote na hamna rangi hawataona, lakini hawatabadilika hata wakishikiwa 'bastola kichwani' (Mh.Sitta akimjibu Mh.Mnyika kuhusu Hati ya Muungano alimwambia '...huwezi kuidai...
2 Reactions
15 Replies
3K Views
Swali la Kwanza Tundu A.M.Lissu: Hati ya Muungano ipo? Serikali: (kimatendo) Ipo. Ya kwanza iliwasilishwa Bungeni Dodoma wakati wa majadiliano ya Kamati juu ya Ibara za Kwanza na Sita za...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Tujaalie Rais Kikwete kabakiwa na muhula mmoja katika uongozi wake. Na baada ya kusikia hotuba yake ile, jee angeweza kupata tena kura za Watanganyika walio wengi ? Kwa Zanzibar angepata 5 tu.
0 Reactions
5 Replies
808 Views
Ama kwa hakika kwa wale wanaofuatilia bunge la katiba watakubali ni kama filamu ndefu au tamthilia na episodes zake nyengine zinatamanisha sana kuendelea kufuatilia mfano ni hii Jumatatu ijayo...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Wadau niko naangalia Bunge, nashindwa kuamini kuwa wazanzibar wakiinuka kuchangia wanapingana wao kwa wao. Mmoja ameonesha kwa jinsi gani muungano umesaidia kutatua tatizo la umeme pemba kwa kuwa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Y.Sefue,yuko moja kwa moja akizungumzia masuala mbalimbali yaliyojitokeza katika Bunge Maalum hasa yahusuyo Muungano. Ni vyema mkamtazama na kumsikiliza
0 Reactions
2 Replies
949 Views
Kama ilivyo kwa wazanzibari wanavyopenda kujibainisha kwa uislam wao, ni hisia zangu kuwa endapo kama muungano huu utavunjika ni dhahiri shahiri dini ya kikristo na kuenea kwake kutahatarishwa...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Wassira adai kuwa tayari dola inafanya mpango wa kutengeneza hati ya muungano ndani ya siku mbili na kuiwasilisha bungeni punde.
1 Reactions
30 Replies
3K Views
UKAWA leo wamechanganyikiwa baada ya Ummy Mwalimu, Mwenyekiti wa Kamati Namba Moja kumwaga nondo za kutetea muundo wa serikali Mbili na kuuponda muundo wa Serikali tatu. - Juma Duni Haji...
7 Reactions
832 Replies
60K Views
Walisema unaweza kudanganya watu fulani kwa muda fulani, lakini huwezi kudanganya watu wote kwa muda wote. Muungano haujawahi kuwapo ilikuwa ni AMRI ya Baba wa Taifa.
0 Reactions
0 Replies
979 Views
Mzee Msekwa asubuhi hii ndani ya kipindi cha jambo Tanzania amehojiwa kuhusu zilipo hati za muungano, na ametoa ufafanuzi kuwa aliziona zikisaniwa ila mahali zilipo hawezi kufahamu, ila waulizwe...
1 Reactions
32 Replies
3K Views
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge), William Lukuvi by Danson Kaijage 14/04/2014 SERIKALI imeendelea kuibeza rasimu ya pili ya katiba iliyowasilishwa bungeni na...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Kukifananiza cheti cha ndoa na mkataba wa mungano ni sawa?. Kwenye uislam ata muish miaka mia ikiwa hakuna ushahid wa ndoa munahesabhwa munazin na km muna watoto wote ni wa haram.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
msaada wakuu, radio ya fm inayorusha bunge la katiba na frequency zake.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kwa uwazi kabisa ni pigo kwa waliozoea vya haramu......vya halali hawaviwezi!!!!!!! video attached! (Bunge.Lisu MP3)
0 Reactions
31 Replies
12K Views
Back
Top Bottom