Baada ya kufuatilia mambo yanavyoendelea kule Dodoma, nimejuliza ili jambo , kuwa huu ni mpango wa ccm kuakikisha katiba mpya haipatikani?
Unaweza kujiuliza kuwa ccm na serikali yake waliamua...
FRIDAY, 28 MARCH 2014
James Mapalala (kulia) akiwa na Rais Jakaya Kikwete
Mwanasiasa mwenye historia ya kipekee nchini, James Mapalala amesema ufafanuzi wa Rasimu ya Katiba uliotolewa na Tume...
Ina mana ccm washaandaa katiba ndio mana weng wamesema wanataka kura ya wazi...ole wenu wapinzani mtakaoshiriki huu mchakato feki wa katiba ya ccm alafu badae mje kutuomba kura mtatamani...
Samwel John Sitta, je kuna haja ya kumjua kwa undani zaidi?
Wengi wa watu humu hawaijui historia ya Samwel John Sitta kabla ya kuchaguliwa kuwa Spika wa Bunge (2005 - 2010). Je ni wangapi...
Tayari alama za nyakati alizosema Kakobe katika waraka wake wa wazi kwa rais jk kuhusu mpasuko ccm yamedhihirika kwa sasa ccm hawaaminiani kabisa ndani ya chama njia iliyobaki kuhakikisha msimamo...
201 kwenye majumba ya watu saa 7 za usiku mnafuata nini wakati Katiba inajadiliwa Bungeni?Nani kawatuma mkatafune vyakula vya watu?Mtavilipaje?
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
Prof. Shivji ni kati ya Watu wa mwanzo kabisa waliosaidia hatua za mwanzoni kabisa katika mchakato huu wa Katiba. Ambacho sikielewi ni kwanini katika hatua hizi muhimu; hapa katikati-sheria ya...
Ninavyojua mwakilishi ni mtu uliyeridhia kumtuma kwa moyo wako akufikishie mawazo yako sehemu husika.
Je wale 201 wamechaguliwa na nani?kutuwakilisha?mbona tuliowataka hawakuchaguliwa?
Pia hawa...
Habari za jioni wana wa bwana.Mimi nilisikitika sana Mh.Kikwete alipokuja kuhutubia bunge la katiba na badala ya kuhutubia wajumbe alikuja na Kuvaa koti la mwenyekiti wa NEC ya ccm kwa kuonyesha...
Nimemsikia mbunge wangu Wa ccm akisema Ndiooooooo Kwa nguvu akitaka kura ya wazi. Mimi binafsi kama mpiga kura wake sikubaliani naye. Kwangu naona maslahi yameharibu kila kitu.
Mwanadada Mjumbe wa bunge maalum la Katiba amesema makundi mengine hayatendewi haki pale inapoonekana ni dhambi kwa kukaribishwa chakula, wakati huo huo siyo dhambi kwa kundi lingine kufanyiwa...
Mimi siungu mkono ''process'' nzima ya upatikanaji wa katiba mpya, lakini baada ya kuona watu wanavyohangaika na jambo dogo kama hili nawashauri watumie njia hii: Kwa kuwa eneo lenye mgogoro wa...
Akihojiwa na Sauti ya Ujerumani Mbowe ambaye pia ni mwenyekiti wa UKAWA amekiri kwamba ni kweli mpango wa kujitoa upo na kwamba wamekubaliana kuvumilia kwa muda kuwapa Ccm muda wa kufikiria mara...
Dodoma. Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) sasa upo hatarini kufutwa kutokana na kutuhumiwa kutumika kuwachochea wajumbe kufanya vurugu katika Bunge la Katiba.
Mwenyekiti wa Bunge hilo, Samuel...
Sitta amesema hotuba ya jk ichapishwe pamoja na ile ya uwasilishaji ya rasimu ya katiba ya Joseph s.Warioba ili ziwe kama hadidu za rejea katika kujadili rasimu ya katiba.
Swali langu ni kwamba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.