KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Tuna maiti ya Muungano bila kujua - Ndi Na Ndimara “Ndi” Tegambwage — WAJUMBE wa Bunge Maalum la Katiba, juzi Jumamosi jijini Dodoma, walishuhudia Chama Cha Mapinduzi kikishinikiza matakwa yake...
3 Reactions
9 Replies
1K Views
Nlikuwa natafakaribu kura ya wazi au siri ktk bunge limependekeza mifumo yote itatumika.Sasa nlishangaa waheshiwa wengine ktk kuipigia kura hoja hiyo walipiga kura ya hapana,yani hawataki kura ya...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Nimeangalia utaratibu unaoendelea bungeni jioni hii ambapo kila mbunge anaulizwa kama anaonga mkono hoja au hapana, utaratibu naona umedoda ile mbaya yaani hauna mvuto na unatumia muda mrefu mno...
0 Reactions
4 Replies
917 Views
Kinacho endelelea bungeni ni usanii
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Alipokuwa spika wa bunge la 9,alitupa mwamko wa kufuatilia vikao vya bunge.Hasa pale aliporuhusu uundwaji wa kamati ya Mwakyembe iliyochunguza dili la richmond na hatimaye kupelekea kumwagika kwa...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Wadau. Leo asubuhi katika pita pita yangu ya Kikazi nilihudhuria kikao cha viongozi wote wa Moja ya Dayosisi mojawapo kubwa za KKKT zilizoko nyanda juu kusini (jina kamili kapuni). Kwa desturi...
2 Reactions
86 Replies
7K Views
Hivi kuna siri gani kubwa iliyopo kuhusu kura ya wazi na siri wakati wa kufanya maamuzi ktk mchakato wa kutengeneza katiba mpya?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kwa vile tume ya katiba ikiongozwa na jaji Warioba inaonekana kama imechakachua maoni ya wananchi. Basi hakuna mantiki yoyote kuendelea na bunge la katiba. Bunge livunjwe, na kura za maoni zipigwe...
0 Reactions
1 Replies
959 Views
Habari wadau, Naomba mjiandae kisaikolojia kupokea katiba ya CCM kwani wao ndio wengi na hata kile kinachoitwa maridhiano siku zote hunufaisha CCM na kupitia hayo maridhiano "fake"...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Sijui nitauliwa kama mwangosi au mvungi au watanitesa kama dr.ulimboka au nitakufa kiuongo kama balali lakini msimamo wangu ni serikali tatu,sijui wewe ni mfuasi wa serikali ngapi?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
  • Closed
Hatujapata kuwa na waziri wa ajababu kama Mwigulu. Bado anayo mawazo ya kufikiri anaweza kuisaidia serikali kwa kuwadharirisha watu wengine. Kitendo cha kuwatuhumu wajumbe wenzake kwamba wanayo...
1 Reactions
191 Replies
22K Views
Ivona kutoka mwanza anauliza; Karume akizungumzia muungano aliwahi kusema koti likikubana ni sharti ulivue, hii ilitokana na matatizo ya muungano kuto kushughulikiwa. Pius msekwa anasema kwanza...
0 Reactions
29 Replies
3K Views
Makamu II wa Rais wa Znz Seif Idd amemuonya Makamu wa kwanza wa Rais wa Znz Maalim Seif kuacha kuwaongelea Wananchi wa Znz kuwa wanataka Serikali tatu au Muungano wa mkataba wakati hakuna mahali...
0 Reactions
49 Replies
6K Views
Wananchi wanawapenda sana wakati wanapowachagua.Wananchi huwauliza maswali nanyi hujibu maswai yao wakati huo wa kampeni. Majibu yenu huzaa matumaini makubwa kwa wananchi wenu kwakuwa maswali...
0 Reactions
4 Replies
916 Views
Wananchi na umma kwaujumla tuliowekeza matumaini yetu kwa UMOJA WA KATIBA YA WANANCHI tusimame imara kuzuia hatari iliyombele yetu, Wiki moja sasa tangu kuibuka kwa nguvu ya wajumbe wakatiba...
4 Reactions
66 Replies
6K Views
kwanza hongereni kwa kupata fursa ya kushirki kwenye jambo kubwa kama hilo kitaifa la uandaaji wa katiba ya nchi hii, ambayo itatuongoza kwa takribani miaka 50 mingine au hata 100. Naomba...
0 Reactions
1 Replies
812 Views
Maduka mengi jijini Dar es Salaam, hasa yale yanayomilikiwa na jamii ya kihindi yamefungwa. Matangazo yaliyowekwa nje ya maduka yao hayaelezi sababu zipi au kuna tukio gani limesababisha kufunga...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
UTANGULIZI Wahemga walinena, Mficha maradhi kifo humuumbua…Kuendelea Kujaza Maji kwenye ndoo iliyotoboka huku ukifahamua kuwa hayatajaa ni ujinga. Mungu ametupa akili na ufahamu, na hii...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Japokuwa mimi ni muumini wa serikali 1, sasa hivi ni wakati wa muundo wa serikali 3, na hauepukiki. Hii ni kutokana na kero za Muungano amabazo zimetokana na udhaifu wa muundo wa sasa wa serikali...
0 Reactions
0 Replies
737 Views
Sikupenda ule ushabiki wa hoja aliounyesha Wenje, jinsi alivyofoka na kufurahia hisia za unyonge waliopata baadhi ya wabunge wateule. Sikupenda, LAKINI Wenje alikuwa na ujumbe MZITO SANA. Madai...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Back
Top Bottom