Naanza Kuona mwanga kwamba huenda hawa vijana wenzetu wakawa ndio watakasaidia kupata katiba au kukwamua hawa wana "Tanzania Kwanza" na "WanaUkawa".
-Zitto,
-Kigwangwala
-Maria
-Halima, etc ...
Habari wadau wote wa JamiiForums. Naamini kwamba hamjambo na Mwenyezi Mungu, muweza wa kila kitu amewajaalia kuamka salama. Kwa wale ambao kwa bahati mbaya siku ya leo wameamka vibaya kutokana na...
Nawashauri ukawa wakubali muundo wa sasa wa kupiga kura kwa sababu moja kubwa.
Wanawatetea wana ccm wa zanzibar ambao hawaoneshi kijitetea
Wawakilishi wa ccm znz wana akili timamu. kama hawataki...
Mjumbe wa Bunge la Katiba, Ezekiah Olouch amewasilisha kwa Katibu wa Bunge, hoja ya kutaka, Bunge lianze kujadili hoja ya Muundo wa Muungano kabla ya mambo mengine ili kupata mwafaka.
Oluoch...
Kama wabunge wa bunge maalumu la katiba ni wale wale waliokuwa wabunge wa bunge la Muungano na wawakilishi wa baraza la wawakilishi na hao wanaoitwa wateule wa rais. Kuna uhalali kweli kusema kuwa...
Dodoma/Dar. Hatima ya wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, ambao ni wanachama wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kuendelea kushiriki vikao vya Bunge au kutoendelea inatarajiwa kujulikana leo...
ni maandano ya kupinga bunge la katiba na kutaka raisi alivunje kwani hatuoni faida yake toka limeanza zaidi ya mwezi wakati katiba kikwete na chama chake wameshaandaa....mapinduzi yote duniani...
Huenda taarifa ya JF jana usiku kuhusu kanuni kumi ambazo zilipangwa kurekebishwa leo imechangia hali iliyojitokeza leo bungeni. Lakini sasa nawaletea makubaliano mapya ya kamati ya kanuni juu ya...
Nimekuwa najiuliza sana kufuatia kitendo cha rais KIKWETE kuelezea msimo wa chama chake CCM badala ya kuzindua bunge maalum la katiba kama mkuu wa nchi. Je, alijisahau kuwa amesimama kama rais au...
Hotuba ya Mwalimu Nyerere kwa waandishi wa habari mwaka 1995 hasa kuhusu mustakabali wa muungano
Watu wamezungumza Uzanzibari, baadhi ni viongozi wetu wanajivunia Uzanzibari. Nadhani wengine...
Wadau, amani iwe nanyi.
Leo sina longolongo nyingi. Nimekuja kuwatonya jambo moja tu ambalo nimetonywa na mtonyaji wangu ndani ya UKAWA. Ni kwamba, kama mnavyojua jana mwenyekiti wa Bunge Maalum...
Wajumbe wa Bunge la Katiba walioshinda nafasi ya uenyekiti na kuteuliwa katika Kamati ya Uongozi wa Bunge hilo, wamewatoa hofu Watanzania na wajumbe wenzao kwa kueleza kuwa watatetea masilahi ya...
MWANASIASA mkongwe nchini, Dk. Chrisant Mzindakaya, amewataka wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba kutambua kwamba wanatunga katiba ya Watanzania na si watawala.
Sambamba na hiyo, amepongeza...
Ofisi ya Bunge la Katiba imeweka maofisa usalama katika kumbi zote zinazotumika kufanya vikao vya kamati.
Gazeti hili lilishuhudia maofisa usalama wapatao wanne wakilinda katika kumbi zilizoko...
Jamani swali langu ni moja na fupi tu kama Akili yangu , Hivi Kwa nini Tusiachane na Muungano ? Mbona kama Bara Tunanyanyasika sana kwa kujipendekeza Pasipo Jipendekezeka ? Mbona tunahaha sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.