Tunaamini kuwa tutaipata Tanganyika yetu mwaka huu. Tunaamini kuwa Zanzibar yenu itaimarika na kuwa dola kamili. Tunaamini kuwa mapambano yenu yanalenga pia kutusaidia kuipata Tanganyika yetu...
Akiongea katika kipindi cha tuongee asubuhi kinachorushwa na Stat tv,mada ikihusu swala la katiba mpya,mh. Tundu Lissu amekanusha madai ya mjumbe mwenzake, mh.Said Mkumba kuwa wametumwa na...
Wanyamwezi wana msemo ambao unajulikana dunia nzima, kwamba "MZIGO MZITO MPE MNYAMWEZI''.
Usemi huu ni wa siku nyingi tangu enzi za mababu nahata Waarabu na Wakoloni walioitawala Tanganyika...
Barua ya wazi kwenu JULIUS MTATILO, TUNDU LISSU, ISMAIL JUSSA NA FREEMAN MBOWE.
Nimewataja ninyi kati wa wajumbe zaidi ya 500 ndani ya bunge la katiba hii sio kwa sababu ninyi ni wapinzani la...
BUNGE MAALUMU LA KATIBA KUSITISHWA HADI MWAKANI,IKIWA..
Kama mwenendo wa Bunge Maalumu la Katiba utaendelea kama linavyokwenda, uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliotarajiwa kufanyika mwishoni mwa...
Inaudhi tena inaleta kechefuchefu, Bunge lilitumia muda mrefu sana kutunga kanuni hadi baadhi yetu tukawa tunalalamika. Inashangaza leo kabla ya hizo kanuni kabla hazijaanza kutumika kamati ya...
Watu wanasema kuwa baada ya baba kuona amrithishe mwana mikoba, kitendo cha wananchi kutaka mawaziri wasiwe wabunge kimemkera sana mkuu.
Kinatoa uncertainty kwenye siasa za kubebana kwani wakati...
KATIBA MPYA INAVIZINGITI SANAAA
Nimeikuta hii kitu sehemu nikashituka sanaa nikaona ni bora kuileta hapa tuitafakari wote kwa usalama wa nchi yetu sote Tanzania, tukiangalia ugumu wa kupatikana...
Tundu lissu na Said Mkumba wanajadili kuhusu ukiukwaji wa kanuni. Lkn Mkumba analalamika hana hoja anajikanyuaga tu. Tundu anajadili hoja na kuchangia mada kwa mujibu wa kanuni tofauti na Mkumba...
Ninachowaza: Sijui nimefyatuka tu au nini; nimeamka na kutaka kuona kuwa CCM kwenye Bunge lao la Katiba wanasimamia kanuni zao na maslahi yao... nataka nione wakitumia wingi wao kupitisha...
Leo katika kipindi cha tuongee asubuhi nimemwona mbunge wa Sikonge bwana Said Nkumba akijibu hoja,amesema eti wanataka kura ya wazi ili wananchi waliowatuma waone wamechagua nini.
Swali la...
Barua ya wazi kwenu JULIUS MTATILO, TUNDU LISSU, ISMAIL JUSSA NA FREEMAN MBOWE.
Nimewataja ninyi kati wa wajumbe zaidi ya 500 ndani ya bunge la katiba hii sio kwa sababu ninyi ni wapinzani la...
Sitta anaongea na waandishi wa habari..kuhusu kinachoendelea bungeni.
updates
Tumekuwa tukipata taarifa ya
vikao vya wana UKAWA ambao
wao wamejikita katika
kukwamisha...
Sitta ni Janga la kitaifa kutokana uwezo wake mdogo wa kiutendaji katika bunge maalum la katiba.Kusema kweli walompa kura kwa kishindo yamegeuka majuto kutokana na kushindwa kuwa fair katika...
Tanganyika imeendelea kuwa shamba la bibi yaani hata viongozi tulionao hawaoni kama ipo haja ya kulinda maslahi ya mtanganyika. Sana sana tunashikilia mapokeo ya mababu.!!Huyu mkoloni*(serikali ya...
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe amesema Rais Jakaya Kikwete amefanya makosa kuhutubia Bunge kama mkutano wa CCM na kuipinga hadharani Rasimu ya Katiba iliyowasilishwa na mwenyekiti wa Tume...
Akihojiwa Mjini Dodoma, Mh. Pinda amesema siku za Bunge la Katiba huenda zisitoshe na kuna shughuli nyingi za msingi na kitaifa ikiwemo Bunge la Bajeti; Hivyo kuna uwezekano Bunge hilo kuahirishwa...
Kwenye kipindi cha TBC nimemsikia mbunge Stela Manyanya akongea kwa uchungu kuwa ni vizuri wabunge walipwe kwa masaa wanayokuwa bungeni wakichapa kazi badala ya utaratibu wa sasa wa kuwalipa...
Yaani tunavyozidi kuzijua kero za Muungano naanza kuona na kuamini kuwa Nyerere alikurupuka na kumrubuni Karume tuungane na Zanzibar, inaonekana kabisa Wazanzibar hawakuwa tayari kufanywa nyumba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.