Ongera Tundu Lissu Ongera Ismail Jussa;
Kwa kazi ya leo hakika mnastahili pongezi ;
Sitta pole sana huyo ndio Lissu,,Jussa.
Kwa somo la leo basi jipime tena kama unastahili kuitwa wa mzee...
Wakuu,
Sheria ziko wazi za kuanzisha na kusajili vikundi mbali mbali katika nchi yetu! Hivi karibuni kimejitokeza kikundi kinachojiita UKAWA (Umoja wa Katiba ya Wananchi) ambacho kilijipanga hata...
Ndugu wanajamvi,
Yanayotokea sasa huko Dodoma yaliweza kutabirika tokea mwanzoni huu mchakato wa katiba mpya ulipoanza. Sheria ya mabadiliko ya katiba iliandikwa na kwa uwazi kabisa ikitengeneza...
Toka hili bunge lianze limeonesha udhaifu mkubwa, kwa uchache ni kama vile kushindwa kuheshimu ratiba/muda wa shughuli zake , kuvunja kanuni walizojiwekea wenyewe, kutaka kuchakachua/kubadilisha...
Moja ya hatari ya dhana ya ushirikishwaji, ni kutumika kwa watu kuhalalisha uamuzi uliokwishaamuliwa kabla. Ndivyo ilivyodhihirika sasa katika bunge maalumu la katiba kuwa linatumika kuhalalisha...
Bunge Maalum la Katika Limekutana Jioni Hii kuendelea na Shuguli zake Lakini Mvutano Mkubwa Umejitokeza Hali iliyosababisha Vurugu Kubwa Iliyoambatana na Kuzomea Zomea,Mvutano Huo Uliibuka Pale...
Comrades salaam,
Nahuzunishwa sana ninaposikia hoja za Utanganyika,
Zina niudhi zaidi kwa unafiki wake, watu hawa hutumia pretex kwamba ATI wanatetea " maoni ya Wananchi" ilihali ndani...
Sitta pamoja na ccm kesho jtano wamepanga kuwasilisha bungeni mabadiliko ya kanuni zaidi ya kumi hivi. Nazitaja chache....
Kanuni ya 85 inayohusu kutengua kanuni. Mabadiliko yatakayowasilishwa...
Kwa yanayoendelea bungeni kwa sasa ni wazi kabisa kuwa wananchi tumeliwa.
Kila siku wanasoma dua,wakimaliza wanabishana halafu,Mwenyekiti anahairisha bunge.
Jamani leo hii wiki ya sita...
Wadau kinachoendelea Bungeni (BLMKT), ni wazi ushauri huu wa Ndg Wacko unahitaji kutafakariwa.
Niliwahi kuleta uzi hapa kwamba CCM hawajawahi, na hawana na hawatakaa wawe na haja ya katiba mpya...
Na Maggid Mjengwa,
IMETOLEWA hoja bungeni. Mtoa hoja ni Julius Mtatiro, anasema; "Kwa sababu Rais alikaribishwa tu kwa heshima kwenye bunge hili kuja kufungua na sasa akaanza kujibu ile...
Ndugu zangu,
Kila kunapokucha, na kila ninavyotafakari kinachowasilishwa kwetu kupitia media kuhusiana na mchakato wa Katiba, nakiona kilichoandikwa kwenye vitabu vitakatifu, kuwa inawezekana...
Ccm hoyeeeeeeeee!!!
Baadhi ya wajumbe wa bunge maalum la katiba wamefikia hatua ya kutamani kujitoa kwenye bunge hilo baada hotuba ya rais mwishoni mwa wiki iliyopita. Wengi wanasema kuwa hotuba...
Wenyeviti wa kamati za bunge waliochaguliwa leo hawa hapa:
1. Hamad Rashid
2: Christopher ole sendeka
3: Shamsi vuai nahodha
4: Anna Abdallah
5: Job Ndugai
6: Anna Kilango malecela
=========...
Wanajamvi
Ni kiri tangu wamchague, hakuna cha KASI wala VIWANGO; kwani mpaka sasa kazi iliyowapeleka Dodoma haijaanza.
Kwa wazo la kurekebisha tena kanuni kama 85,14,nk. Na sio 37na38 ambazo...
Kwa kuwa wawakilishi wetu wameamua kubaka mchakato wa katiba, na hawataki kuiona Tanganyika ikirudi, wanataka iendelee kuitwa jina la ubatizo, Jina la TANZANIA BARA yaani Tanganyika Zanzibar bara...
Kuhusu muundo wa serikali, CCM ina wakati mgumu kuliko vyama vingine. Sababu ni hizi hapa
Waliwaachia sana wazanzibar kujifanyia mambo yanayokiuka katiba ya Muungano.
Wanapaswa kumsimamisha...
Kila siku zinapokwenda mbele imejionyesha ustawi wa bunge maalum la katiba unarudi nyuma huku ikichangiwa na sitofahamu juu ya umuhimu wa kikao hicho. Yote kwa yote mambo yafuatayo yanatia doa...
Ndugu wanabodi.
Kufuatia hali iliyopo bungeni ni ushahidi tosha hakuna katiba mpya kabla ya 2015 na badala yake itakuwa baada ya 2015 kwa sababu zifuatazo.
1. Kutokana na mapendekezo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.