KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Wana jamvi mwalimu alikiri hakujuwa jina la tanganyika lilipotokea,na ni imani yangu jina hili kwa mujibu wa rasimu ya katiba ya wananchi jina hili tutaanaza kulitumia baada ya kupata katiba...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Ndugu zanguni, Mimi nimekubali kabisa tena kwa moyo mkunjufu serikali mbili. Napendekeza hizo serikali mbili ziwe kama ifuatavyo SERIKALI YA TANGANYIKA SERIKALI YA MAPINDUZI ZANZIBAR Nadhani...
8 Reactions
25 Replies
2K Views
Wana Ukumbi, Pamoja na kwamba kuna madhara mengi yatakayo ibuka kama Watanzania tutaruhusu ujio wa Tanganyika, lakini imeonekana bado wapo baadhi ya watu wameendelea kushabikia ujio huo...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Sasa ni wazi kwamba serikali mbili zimeonyeshwa taa za kijani baada ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kukamata uongozi wa Bunge Maalumu la Katiba. Jana kamati 14 za Bunge hilo ziliwachagua viongozi...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Tanganyika hata uipake rangi nyeusi ti haifutiki
0 Reactions
0 Replies
964 Views
Binafsi naamini Chadema, Cuf na Nccr wamepambana kiukweli wakati wa kupitisha sheria ya mabadiliko ya Katiba mpaka wakasababisha sheria hiyo kurudishwa bungeni mara mbili baada ya kusainiwa na...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
KWA WALE WAZALENDO WA TANGANYIKA HURU TUNAKUSANYA MAONI KUJUA NI WANGAPI WANAHITAJI NA WANGAPI HAWAHITAJI TANGANYIKA HURU. ANDIKA NENO a)NDIYO~TANGANYIKA HURU IRUDI. b)HAPANA~TANGANYIKA HURU...
12 Reactions
290 Replies
22K Views
Sasa ni dhahiri kua serikali 2 zimewashiwa taa ya kijani na haziepukiki kwa wenye viti wote ni wale wanaotetea serikali 2 Matokeo yanaonesha katika kamati 14 basi 12 wameshinda ccm kama...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wanajamvi napenda tusaidiane katika hili, Nilijaribu kusikiliza hotuba ya mh. mkuu wa Tanganyika na Zanzibar kule mjengoni nikashindwa kuelewa zile kelele za wale akinamama na baadhi ya akina...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu Lameck Nchemba Madelu, amekula kiapo batili kwa kutamka jina ambalo siyo la kwake. Jana asubuhi kundi la wabunge ambao walikuwa hawajala kiapo wakifanya hivyo...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Katika kuonesha Namna Hotuba ya Warioba jana ilikuwa mwiba mkali kwa CCM, mikakati imeanza, Sasa Nawaona Wazee Kingunge Ngombale Mwiru na Pandu Kificho Wapo TBC 1 kipindi cha Jambo Na wao eti...
0 Reactions
128 Replies
13K Views
Channel 10 wamerudia tena semina elekezi kwa wajumbe wa Bunge la Katiba.
0 Reactions
11 Replies
1K Views
ndugu wana jf, binafsi kabisa nililidhishwa nakuchaguliwa kwa ndugu 6, katika nafsi aliyonayo ya uwenyekiti wa bunge la katiba. lakini sjiui................nimepoteza kabisa matumaini ya kupata...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
KWA MAWAZO YALEYALE SIIONI TENA KATIBA MPYA YA HAKI NA KWELI KWA WATU WOTE Nimetazama majina ya viongozi waliopatikana kwenye kamati za bunge maalumu la katiba nkaona kuwa ni watu...
0 Reactions
0 Replies
811 Views
TUME YA WARIOBA,WAJUMBE WA BUNGE LA KATIBA,RAIS MWISHO NI WANANCHI WENYEWE Katika mchakato mzima wa kuipata katiba mpya,ni dhahiri tume ya katiba ikiongozwa na jaji Warioba...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
KUNA JAMAA KATIKA FACEBOOK KAANDIKA HIVI; Mzanzibar mmoja aliniuliza kuwa nchi yenu iko wapi , coz nchi yetu ni zanzibar na nchi ya Tanzania ni ya wote. nilibanwa na haja ghafla nikakimbia. JK...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Haya wanaJF kwa wale wanaotaka kujua ukweli juu ya maswala ya kiuchumi baina ya Zanzibar na Tanganyika, kabla na baada ya Muungano huu ndio wakati wenu kuwasikia wadau wa upande wa pili wa...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wana JF wote mnakaribishwa hapa kutunga wimbo wa taifa wa Tanganyika. Nyote karibuni na mistari yenu iliyotukuka kuenzi Tanganyika yetu.
0 Reactions
24 Replies
4K Views
Bunge Maalumu la Katiba sasa lipo katika hati hati ya kuendelea kutokana na viongozi wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), kutangaza kuwa hawatakuwa tayari kujadili rasimu tofauti na...
2 Reactions
18 Replies
2K Views
Baadhi ya magazeti ya jana yaliandika ya kwamba wajumbe 400 wa bunge maalum la katiba wanaiunga hotuba ya JK aliyoitoa wakati wa ufunguzi wa bunge maalum la katiba, kama gazeti la Mtanzania la...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Back
Top Bottom