KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Wanajamvi Mhe. Mwenyekiti Samweli Sita amejibu muongozo wa mhe Mtatiro kuwa amepokea pia maandishi toka kwa wengine juu ya Hotuba ya Rais dhidi ya Hotuba ya Mkiti wa tume Mhe. Jaji Warioba...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Kada maarufu wa CCM, Peter Kisumo, amemtupia lawama jaji Warioba na kumtuhumu kwamba yeye ndiye chanzo cha serikali tatu-- hoja ambayo imeingizwa kwenye rasimu ya mwisho ya katiba ili ikajadiliwe...
5 Reactions
109 Replies
11K Views
Katika hali ya kawaida, mtu mzima tena mwenye akili zilizotimia, hawezi kutishwa na kivuli chake mwenyewe. Ni zezeta au mtu mwenye kichaa cha mbwa anayeweza kutishwa na kivuli chake. Nayasema...
0 Reactions
22 Replies
2K Views
Watanganyika tuna ugonjwa mbaya sana wa kupuuzia tahadhari za msingi wakati zinapotolewa na kusahau haraka kiasi kwamba tunashindwa kukumbuka hata baada ya madhira kutufika> Tunakuwa utadhani...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) imeshauriwa kufanya marekebisho ya Katiba kabla ya Uchaguzi Mkuu Mwaka 2015 ili kuondoa vifungu vinavyogongana na Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania...
2 Reactions
16 Replies
2K Views
Wanajamvi Heshima kwenu. Kwa kuwa Wanajamvi wako kila mahali. Tunawaomba walioko kumbi zinakofanyikia chaguzi kama vile St. Gasper, Hazina, Royal Village na Utawala wa kanuni na uandishi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wataalam na wajuzi wa mambo nijuzeni,ni kwa sababu gani serikali ya Tanganyika inaogopwa,hususani na watawala waliopo madarakani? Kwa kifupi Tume ya Jaji Francis Nyalali ilipendekeza serikali...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Nina wasiwasi huyu Mheshimiwa alitoswa asome yale maandishi yaliyovuruga kila kitu yahusianayo na Katiba mpya ambayo bunge lake litavunjika muda si mrefu. Mengi ya aliyoyasema hayaingii akilini...
0 Reactions
2 Replies
753 Views
Wapendwa watanzania wenzangu...... naamni kwa sisi wachambuzi wa masuala ya KISIASA tumekata tamaaa na jinsi mchakato wa katiba unavyo endeshwa....amin nakwambia katika siku 40 na kitu zilizo...
0 Reactions
4 Replies
783 Views
Kama si uroho wa hizo 300000 mnasubiri nini bungeni wakati katiba ni ya CCM.
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Dodoma. Bunge Maalumu la Katiba sasa lipo katika hati hati ya kuendelea kutokana na viongozi wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), kutangaza kuwa hawatakuwa tayari kujadili rasimu tofauti na...
1 Reactions
18 Replies
2K Views
Kuna watu wanachangia kuhusu hotuba ya mh kikwete hasa kuhusu watu wanaotaka serikali tatu,kuwa ni watu kidogo sana,ni asilimia 61 ya wale waliozungumzia muungano ambao ni watu 27000,na waliotoa...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Mazee bila shaka mnakumbuka jinsi jk alivyoponda kwa sana taarifa ya tume ya walioba, na zaidi hasa kwa kuponda suala la waliotoa maoni, mimi ninaomba tujadili haya; 1. mara baada ya tume...
0 Reactions
1 Replies
781 Views
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) imeshauriwa kufanya marekebisho ya Katiba kabla ya Uchaguzi Mkuu Mwaka 2015 ili kuondoa vifungu vinavyogongana na Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania...
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Kwanza mtuombe radhi watanzania kwa kukubali kupindisha kanuni, ili bwana mkubwa ajekuhutubia bunge la katiba baada ya mwenyekiti wa tume ya katiba bwana joseph sinde warioba, kuwasilisha rasimu...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Sikutegemea kama rais ataongea kauli zile.hali hiyo imenisababishia dipression. Warioba alipendekeza muungano utakaoleta mshikamano zaidi namshangaa kikwete kuendelea kuenda muungano wenye ubaguzi...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Weka Jina na picha
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Wasaalam, Rais anasema asilimia iliyotoa mapendekezo kuhusu Nchi 3 ni wachache sana hivyo hayapaswi kuwa mambo ya Watanzania wote. Ok imenipa mawazo kuhusu asilimia na Uhalali wa hilo jambo...
4 Reactions
24 Replies
2K Views
Kikwete kachaguliwa pande mbili za muungano yeye ni rais wa muungano, kasema atakaa nma shein kujadili yeye atajadiliana naye kama nani?rais wa tanzania au tanganyika? Hapa kuna mgongano wa...
1 Reactions
13 Replies
1K Views
23 Machi 2014 TAMKO LA WAJUMBE WA BUNGE LA KATIBA WA KUNDI LA "TANZANIA KWANZA Sisi Wajumbe Wa Bunge Maalum la Katiba tunaotoka makundi mbalimbali na pia tunaoamini katika kauli mbiu isemayo...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Back
Top Bottom