KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
1.Mhe. Jaji Joseph Sinde WARIOBA- Mwenyekiti 2.Mhe. Jaji Mkuu Mstaafu, Augustino RAMADHANI - Makamu Mwenyekiti WAJUMBE KUTOKA TANZANIA - BARA 1.Prof. Mwesiga L. BAREGU 2.Nd. Riziki Shahari...
0 Reactions
57 Replies
4K Views
Ukweli ni kwamba hakutakuwa na mshindi kati ya makundi yanayotaka serikali mbili au tatu. Serikali mbili au moja zote zitakuwa na matokeo ya kuuharibu umoja wetu na hata kutishia amani iliyopo...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Kwa haraka unaweza ukadhani kwamba kamati ya maridhiano ni nzuri na hasa kwa kuangalia wingi wa wajumbe wenyewe (600+) ambao kwa kweli ni vigumu kupata makubaliano. Binafsi sikuipenda kabisa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kwanza pole na majukumu ya kazi nzito uliyopewa na Mheshimiwa Rais kwa niaba ya wananchi kuandika rasimu ya katiba. Mara baada ya kuwasilisha rasimu ya katiba bungeni kulikuwa na muendelezo wa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
  • Closed
Zitto Kabwe ANASEMA:- Serikali 2 zitaendeleza hisia za Utanganyika kwa kasi Mkuu wa Nchi kamaliza kuhutubia Bunge la Katiba. Kimsingi kaegemea upande wa msimamo wa Serikali 2 ambao ndio...
3 Reactions
52 Replies
7K Views
Kwa muda mtefu nimekua nikijiuliza maswali ya fuatayo kuhusu nchi yangu ya Tanzania: (1) Je,jina lililochukua nafasi ya nchi ya Tanganyika ni Tanzania bara au ni Tanzania? (2)Mimi kwa ufahamu...
0 Reactions
0 Replies
933 Views
katika kufanya mwafaka wa serikali mbili, kikwete hakuonekana kuguswa na kero za watanganyika wanapoingia ardhi ya znz.Kikwete alijikita kutatua kero za waznz. madai ya serikali tatu yalilenga...
1 Reactions
16 Replies
1K Views
Watuw anaweza shangaa ila huo ndio ukweli..Hii si mwanzo ktk dunia mataifa kununua vipande vya ardhi,kununua visiwa etc.na kuwapa wakazi wake waishi ila liwe chini ya nchi iliyonunua. Hii ni...
6 Reactions
273 Replies
16K Views
Mwalimu wangu wa dissertation aliwahi nifundisha ivi; unapotaka kutatua kero flani katika jamii flani njia mahususi ni kufanya utafiti yaani research kwa kizungu. Katika kufanya huo utafiti...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Huo ndio ukweli. Inaonekana rais wetu amechoka na sasa suala la katiba mpya kwake imekuwa ni mzigo mzito sana.Wengi wetu tuliona dhamira njema pale awali lakini sasa inaonekana kaelemewa.kwa...
2 Reactions
12 Replies
1K Views
Wanabodi, Jee wajua kuwa Rais Jakaya Kikwete, hakulizundua rasmi Bunge Maalum la Katiba, bali amelihutubia tuu bila kulizindua rasmi?!. Rais Jakaya Kikwete, alialikwa Bungeni ili "kulizindua"...
6 Reactions
10 Replies
2K Views
Maoni ya baadhi ya watu na hasa wanasiasa na hasa hasa wana UWAKA bungeni yananikumbusha jinsi ambavyo Paul Kagame wa Rwanda alivyochomwa na maneno ambayo Rais JAKAYA KIKWETE aliyatoa kwa Dikteta...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Katika hali isyokuwa ya kawaida leo Kikwete amekwepa kabisa kuzungumzia swala zito la zanzibar kuvunja katiba ya JMT. Huu ulegevu na kuficha ficha kuambina ukweli ndio muungano unaotetewa? Km...
17 Reactions
122 Replies
10K Views
Wadau, Natumai kuwa hamjambo na mnaendelea vema na majukumu ya kila siku. Wale wenzangu ambao wapo kwenye viwanja vya burudani, starehe na michezo, niwatakie kila la Kheri. Kama kawaida yangu...
0 Reactions
31 Replies
3K Views
Maoni ya baadhi ya watu na hasa wanasiasa na hasa hasa wana UWAKA bungeni yananikumbusha jinsi ambavyo Paul Kagame wa Rwanda alivyochomwa na maneno ambayo Rais JAKAYA KIKWETE aliyatoa kwa Dikteta...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Akizungumza katika kipindi cha asubuhi kupitia TBC1 mkongwe wa siasa nchini Mhe. Steven Wasira amesema rasimu iliyotolewa imeipa majukumu makubwa sana serikali ya muungano ambayo haina madaraka ya...
0 Reactions
0 Replies
850 Views
WANAMWAGA UBWABWA! TUNAMWAGA MCHUZI! * Sasa wazanzibari tunarudi katika dai la asili, Muungano wa Mkataba. * Hakuna alietaka serikali 3 Zanzibar. * Asilimia 66 walitaka Muungano wa...
1 Reactions
19 Replies
2K Views
(1) Mara tu baada ya Mkapa kuingia madarakani, alikabidhi kuongoza tume ya kuchunguza rushwa. Waryoba na tume yake wakafanya kazi kwa uadilifu wa hali ya juu na kutoa ripoti kamili isyokuwa na...
1 Reactions
13 Replies
1K Views
Nashindwa kuelewa kabisa maana rais wa nchi kusema ccm 2nasema hiv na wakati yuko pale kama mkuu wa nchi inasikitisha
0 Reactions
0 Replies
877 Views
Back
Top Bottom