- Jana Rais JK, anahitaji pongezi kubwa sana kwa kutoa hotuba ambayo inakuwa ni ya kwanza ya aina yake infact ninaiona kama hotuba ya The Century. Rais alikuwa makini sana kwa kuongea akitumia...
Kwanza nina-declare interest kwamba mimi si muumini wa serikali mbili au tatu. Mimi ni muumini wa serikali moja na kama hiyo moja imeshindikana basi ninachukizwa na kitendo cha Zanzibar kuwa nchi...
Kosa la kwanza alilofanyarais ni kutojitambua kulihutubia bunge maalumu la katiba kama rais, mwenyekitiwa CCM, mbunge, au mtanzania wa kawaida. Kama mtanzania wa kawaida muda wakukusanya maoni ya...
HOTUBA ya Rais Jakaya Kikwete juzi bungeni imeleta mpasuko mkubwa miongoni mwa Watanzania, na sasa wengine wanamtuhumu kwa kusaliti Tume ya Mabadiliko ya Katiba, wananchi na taifa.
Wapo...
Ndugu zangu wana JF na watanzania wote.
Swala la kutunga katiba ni nyeti na linahitaji tafakuri kubwa.
Yamesemwa mengi na hapa tulipofikia sioni uwezekano wa kupata katiba mpya iliyo bora kwa...
Profesa Mwesiga Baregu
Na Waandishi wetu
23rd March 2014
Kamishna wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Profesa Mwesiga Baregu , amesema Rais Jakaya Kikwete, alitakiwa kuieleza tume kasoro...
Wadau naomba kuuliza swali kam linavo onekana hapo juu katika mada, tumeshuhudia kila mtu akisema Zanzibar imevunja katiba ya muungano kwa kujitangazia inchi katika jamhuri ya muungano wa Tz...
Niwape angalizo wajumbe wa bunge maalumu la katiba ya kuwa,
rasimu hii ya katiba pamoja na kupendekeza serikali tatu, imeandikwa kwa mpanglio na muundo wa serikali tatu ina ibara nyingi...
SIKU moja baada ya Rais Jakaya Kikwete kulifungua Bunge Maalumu la Katiba mjini Dodoma, hotuba hiyo imebezwa na viongozi wa vyama vya wafanyakazi, wakidai amepuuza maoni ya Watanzania.
Walisema...
Kwa namna mchakato wa katiba mpya unavyopelekwa na wajumbe wa BMK, bora tuendelee na katiba ya zamani maana huenda kuna vipengele vitaharibiwa zaidi mfano suala la mawaziri kutotokana na wabunge...
HOTUBA YA MWENYEKITI WA TUME YA MABADILIKO YA KATIBA, MHE. JAJI JOSEPH SINDE WARIOBA, AKIWASILISHA RASIMU YA KATIBA YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA KATIKA BUNGE MAALUM LA KATIBA, MACHI 2014...
Wanajamvi, nimejaribu kutafakari hotuba ya JK wakati wa kulifungua bunge la katiba haswa kuhusu kipengele cha muungano maswali yafuatayo yakajitokeza:
Kama kero za muungano zimeshindikana...
Dodoma. Wenyeviti wa vyama vya Upinzani vya Chadema, Chama cha Wananchi (CUF) na Chama cha NCCR-Mageuzi, jana usiku walikutana ili kutoa kauli ya pamoja, kutokana na hotuba ya ufunguzi wa Bunge...
Ili kulionyesha Taifa kuwa mnapigania maslai ya kweli kwaajili ya watanzania wote inabidi kufunga virago na kurudi makwenu pale ccm itakapolazimisha kura ya wazi. Watanzania hatutawaelewa tena...
Mod naomba msiunganishe na nyingine zinazohusu KATIBA MPYA
Hamjambo wanajukwaa,
Kwanza nianze kwa kusema kuwa ninachokiandika hapa ni mawazo yangu na mengine nitapenda nielekezwe kwa busara...
Kwa mujibu wa JK, "taarifa ya Tume imeonesha kuwa Watanzania waliotoa maoni yao kwa Tume kwa mdomo na maandishi walikuwa 351,664. Kati yao ni wananchi 47,820 au sawa na asilimia 13.6 ndiyo...
JK na wengine waachiwe ukumbu ijumaa km atapiga majungu....au kuleta kejeli kwa warioba...Hapo tutapenda CCM waonje faida ya kura ya wazi kwa wajumbe kutoka nje...km watakuwa tayari kulimeza hilo.
Niulize wana JF kwani tunaandaa katiba gani? ni ya Tanganyika, Zanzibar au Katiba ya jamhuri ya muungano wa tanzania? Kama ktiba ya muungano basi automatic kama kuna Zanzibar basi Tanganyika ipo...
Raisi toka njee uwatake radhi mama maria nyerere na mzee wetu mwinyi kwa usumbufu uliowasababishia bila sababu yeyote ya msingi.
Ndugu wana jf itakumbukwa kuwa jana raisi alitoa hotuba ya ufunguzi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.