Mjumbe wa Bunge la Katiba, Mchungaji Christopher Mtikila.
Mjumbe wa Bunge la Katiba, Mchungaji Christopher Mtikila amesema madai yake ya zaidi ya miaka 20 kuhusu Serikali ya Tanganyika...
BAADA ya mjumbe wa Bunge Maalumu la Katiba kupitia kundi la vyama vya siasa, Mchungaji Christopher Mtikila, kutishia kufungua kesi katika mahakama ya kimataifa kuzuia vikao vya Bunge hilo...
Dodoma. Rais mstaafu, Benjamin Mkapa na mawaziri wakuu wastaafu, Frederick Sumaye na Cleopa Msuya, jana hawakuhudhuria uzinduzi wa Bunge la Maalumu la Katiba kama ambavyo ilitangazwa na Katibu wa...
Baada ya kusikiliza kwa makini hotuba ya JK jana na kulinganisha facts za JK Vs Walioba, kwa upeo wangu nadhani JK yupo sahihi zaidi kwa wazo la serikali 2
Kupitia ukurasa wake wa facebook Zitto Kabwe ameandiki hivi;Serikali 2 zitaendeleza hisia za Utanganyika kwa kasi Mkuu wa Nchi kamaliza kuhutubia Bunge la Katiba. Kimsingi kaegemea upande wa...
Tanganyika na Zanzibar zilikuwa nchi mbili
tofauti hadi 1964, zilipoungana na kuwa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Hapo
kiongozi wa Tanganyika Mwalimu Julius
Kambarage Nyerere alipata kuwa Rais...
Watatnzania tusidanganyike,pale bungeni hatujapeleka wawakilishi .,tumepeleka wapigania vyama ...hakuna hata mmoja anayesimamia maslahi ya nchi katika swala zima la muungano .,bali wote wameenda...
Moderators tafadhali msiunganishe sred Hii..
Tokea dalili Za awali Za kufanyia marekebisho katiba Yetu
Hatimae Azimio la Kuunda katiba mpya tumeongelea sana sana suala hili Na kadiri siku...
Hili jambo halijaanza leo hata Kikwete mwenyewe kalitambua lakini naye amejitahidi kulizima kama walivyofanya watangulizi wake. Kwa sasa ataona amewanyamazisha watanzania wanaodai serikali tatu...
Dodoma. Wenyeviti wa vyama vya Upinzani vya Chadema, Chama cha Wananchi (CUF) na Chama cha NCCR-Mageuzi, jana usiku walikutana ili kutoa kauli ya pamoja, kutokana na hotuba ya ufunguzi wa Bunge...
Naona jambo ambalo wengi hatulijui kuhusu Muungano wa Zanziba na Tanganyika
Na wanaojua siri hiyo yawezekana wameambiana wao kwa wao na kula amini kutoitoa kwa mtu mwingine
Kwanini Watanganyika...
Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba amewasilisha Rasimu ya Pili ya Mabadiliko ya Katiba katika Bunge la Katiba Machi 18, mwaka huu. Katika hotuba yake, Jaji Warioba...
Suala la upatikanaji wa Katiba siyo tatizo kabisa kwa kuwa mambo yote yaliyowahi kufanyika na nayanayofanyika Duniani ni zao la Wazo,Imani na utekelezaji.
Nimetafakari sana nikagundua kuwa tatizo...
Nimekaa kimya kuwasikiliza watu wakimsifia Rais lakini mimi naona yeye ndio chanzo cha tatizo kwa hoja zifuatazo:
1.Rais alikuwa wapi kuwaambia Zanzibar kuwa wamevunja katiba kwa mabadiliko yao...
Watu waliojaliwa uwezo na uelewa na Mwenyezi Mungu, wanajukumu kubwa la kuhakikisha uwezo, vipaji, karama, elimu na uelewa wao unatumika kusaidiwa wengi ambao kwa namna moja au nyingine hali ya...
Nichukue fursa hii kueleza yangu moyoni, Watanzania kweli tulikuwa tunahitaji katiba bora na si bora katiba kilichopendekezwa kwa jaji warioba na wananchi ni maoni yatokanayo na deficiency ya...
Haya ni Maoni yangu sawia baada ya kuona michakato mbalimbali yakifanywa kutokana na kukosa upeo wa kufikiri! Ikimaaniasha asilimia kubwa ya viongozi walikuwa na akili za wasitani tu ama vilaza...
Kwa jinsi mambo yanavyoenda huko bungeni,sioni dalili ya kupatikana kwa katiba mpya,siioni hata kwa mbali.
Nilianza kuingiwa na mashaka haya tangu mwanzoni mwa bunge hili la katiba,nilitilia...
Wana jamvi kutokana na yaliyosemwa bungeni jana,sasa najiandaa kwenda mahakamani kuidai tanganyika huru,nitaungana na mchungaji mtikila,hivyo naomba wale wote walio tayari tuungane hapa,tumeni...
Rais Jakaya Kikwete jana alibadili upepo wa mchakato mzima wa Katiba baada ya kutoa maoni yake binafsi, akitaka muundo wa Serikali mbili badala ya tatu zilizopendekezwa na Tume ya Mabadiliko ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.