KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Mbunge CCM amponda rais BAADHI ya wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba wameipinga hotuba ya Rais Kikwete kwa madai kuwa imejaa vitisho na kujibu hotuba ya Mwenyekiti wa Tume ya Katiba Jaji Joseph...
1 Reactions
27 Replies
3K Views
---- uwezekano mkubwa rais mstaafu alijua ni kitu gani mwenzie atazungumza na kwa ajili ya kulinda heshima yake hakuhudhuria ili tu asionekane kama yupo pamoja nae katika kile ambacho alizungumza...
0 Reactions
28 Replies
3K Views
Swala la nini hasa iwe muundo wa muungano wa Tanganyika na Zanziba ni kizungumkuti. Wengine muundo wa serikali 3,wengine 1,wengine 2 wakati mmoja nani mfungaji?nani anaweza kuibuka mshindi hasa...
0 Reactions
1 Replies
687 Views
Sijawahi kujisikia mtanganyika kama nilivyojisikia leo hii wakati nikisikiliza hotuba ya rais Kikwete. Ni hotuba iliyoibua hisia za utanganyika zaidi kuliko ilivyokuwa awali. Hotuba yake...
5 Reactions
29 Replies
3K Views
Ndugu zanguni, Najua wengi mtaniita kigeugeu, msaliti, mwoga na sina msimamo. Hotuba aliyoitoa Rais Kikwete jana imenibadili kabisa msimamo wangu kuhusu muungano na ninakubaliana nae kuwa dawa...
4 Reactions
26 Replies
2K Views
Johnson Mbwambo Muhariri wetu Johnson Mbwambo raia mwema Ilistahili ajiuzulu uwaziri baada ya kuchaguliwa WIKI iliyopita niliandika kuhusu muundo na mwenendo wa Bunge letu la Katiba...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Huyu mzee taifa lilimuamini matokeo yake ameisaliti nchi na kuamua kuvunja muungano kwa njia za panya, pale anaposema kwenye katiba eti serikali ya jamhuri (TANZANIA) itakuwa na mamlaka na vyombo...
4 Reactions
105 Replies
8K Views
Uvccm wametakiwa wauenzi muungano wa serikali 2 akihutubia dr shein amewaambie vijana hao leo
0 Reactions
0 Replies
782 Views
SURA YA KWANZA ZANZIBAR Sehemu ya Kwanza Zanzibar 1. Zanzibar ni Nchi ambayo eneo la mipaka yake ni eneo lote la Visiwa vya Unguja na Pemba pamoja na Visiwa vidogo vilivyoizunguka na bahari yake...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nilikuwa naangalia kwa umakini juu ya wageni wakitaifa walioingia kwenye uzinduzi wa Bunge maalumu la Katiba nilijiuliza maswali mawili 1) Rais mstaafu B W .Mkapa hakuwepo na wakati yupo nchini na...
0 Reactions
0 Replies
956 Views
Naona mijadala imekuwa mikali sana kujadili Muungano. Je hili ni Bunge Maalumu la Katiba au Bunge maalumu la Kujadili Muungano? Tusipoteze muda kujadili Muungano, Kuna mambo mengi sana yanatakiwa...
0 Reactions
3 Replies
983 Views
Wakuu, jana ilinikuta safarini hivyo sikupata nafasi ya kumsikiliaza mh. rais wakati akijibu hoja za watanzania (na si Warioba). Katika pitia yangu ya magazeti leo nimeona gazeti la Mwananchi...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Nakaa nikifikiria ya kuwa Ikiwa Rasimu imeweza kutekwa nyara na kupondwa na kupondwa na kuifanya si lolote wala si chochote. Lilobaki tunajipa moyo kujikomboa na hatari inayotukabili kwa kupiga...
0 Reactions
1 Replies
652 Views
Ili kukata mzizi wa Fitina kati ya Tanganyika na Zanzibar...nawashauri wajumbe wa Bunge maalumu la Katiba wapitishe Kuundwa kwa serikali 1 nchi 1. Hapo ndiyo Muungano wa Kweli utaonekana. Kuwepo...
0 Reactions
0 Replies
916 Views
SERIKALI TATU INAWEZEKANA, INATEKELEZEKA..... SEHEMU YA KWANZA: Tuanze na dua ambayo ninapendekeza kwa kila mjumbe kaika bunge la katiba kuikariri na kuisoma binafsi au katika kikundi asubuhi...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Dodoma. Wenyeviti wa vyama vya Upinzani vya Chadema, Chama cha Wananchi (CUF) na Chama cha NCCR-Mageuzi, jana usiku walikutana ili kutoa kauli ya pamoja, kutokana na hotuba ya ufunguzi wa Bunge...
1 Reactions
32 Replies
4K Views
katika gazeti hilo la leo limetoa maneno hayo,kwamba mjadala umekua mgumu kuanzia jumatatu maana hotuba ya jana imetoa uelekeo mpya kwa wajumbe
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Hivi msicho kielewa katka hotuba ya kikwete ni nini? Yeye amezungumzia faida na hasara za serikali tatu den akawaachia kazi wajumbe wa katiba
0 Reactions
1 Replies
643 Views
Wadau wa jf. salamu kwenu. awali ya yote niwashukuru kwa kujadili mada muhimu kwa mustakabali wa taifa letu. Katika kuhakikisha tunapata katiba nzuri nitoe ushauri kwa wabunge kuwa wao waendelee...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Rais ni kiongozi wa nchi ambaye amepewadhamana hiyo na wananchi. Pia ni ukweli kuwa Rais ametokea kwenye chama anachokiongoza. Huu nimfumo wa ki-dunia kwani kila nchi hasa zenye mfumo wa vyama...
0 Reactions
1 Replies
833 Views
Back
Top Bottom