KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Published on 21 Mar 2014 KUMRADHI: Utanisamehe sikuwahi Kuipata kuanzia Mwanzo. Hii ni Hotuba Ya Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. Jakaya Mrisho Kikwete, Akihutubia Bunge...
0 Reactions
17 Replies
8K Views
Katika hotuba ya Kikwete hakuna hata sehemu moja ameisifia rasimu. Kila kipengele kadai kina matatizo. Kwa nini rrasimu isitupwe basi tuanze upya? km maoni yake yatafuatwa maana yake tlazima...
2 Reactions
49 Replies
5K Views
Tazama body language yake wakati wa uzinduzi wa BMK kwenye kipengele cha ukomo wa ubunge. Eneo hasa ni jumla na rejareja
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Nimejaribu kuwasikiliza viongozi wetu kuhusu swala la muungano lakini nimeguswa na mantiki za hoja zao katika kutafuta ufumbuzi wa matatizo ya muungano. Tume ya Jaji Warioba ilifikia makubaliano...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Wanabodi, Wakati mjadala wa muundo wa muungano ukiendelea, na haswa ukinzani kati ya mapendekezo ya Tume ya Warioba ya kupendekeza muundo wa serikali tatu, huku msimamo wa Chama cha Mapinduzi...
0 Reactions
41 Replies
4K Views
Chama kilichokuwa cha siasa mwishoni mwa karne 21, ambacho sasa ni kikundi cha uharamia, ugaidi na ujangili kiitwacho Chama cha Mapinduzi yani ccm, kimejinasibu rasmi kuwa chenyewe kinaishi...
1 Reactions
35 Replies
3K Views
"...Waasisi walituachia muungano wa nchi moja yenye serikali mbili na siyo nchi mbili zenye serikali mbili..." - Jaji Warioba Hapa CCM hata wafanyeje, hawaamki !. Hoja hii ya Warioba, haiwezi...
12 Reactions
34 Replies
4K Views
Huyu mzee amekua anapoteza mvuto as time went on,ana leta propaganda katika kipindi chake,atafulia mwache
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Utaifa ni janga ukiukosa, bora kama itashindikana kupanga mikakati vipi tunaweza kuishi kama ndugu kama zamani haitowezekana lakini tubaki tuwe kama Taifa la Zanzibar litakalokua na maamuzi yake...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Imewekwa Thursday, June 6 2013 at 22:05 Dodoma na Dar es Salaam. Baadhi ya viongozi wa vyama vya upinzani wamedai kuwa muungano unaweza kuvunjika kutokana na pendekezo la kuundwa kwa Serikali...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Mapinduzi ya zanzibar ilikuwa tarehe 12 january 1964 na baada hapo wakataka kumwngusha karume walikuwa wadundane pemba na unguja karume akaomba jeshi 300 kwa nyerere ili kumlinda karume na...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba,Jaji Joseph Warioba. Na Waandishi wetu 21st March 2014 Baadhi ya Wajumbe wa Bunge la katiba kutoka Chama Cha Mapinduzi (CCM), wameipongeza hotuba...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Hakika , kuna baadhi ya wajumbe hususani wabunge ,ndio watakua chanzo kikubwa cha kupatikana kwa katiba mbovu . Kutokana na sababu zifuatazo; . 1. Ujuaji walio nao wabunge, mjumbe ataona bora...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kwa hakika hakuna mtanzania anayeilewa na kusoma katiba iliyopo na mwenye mapenzi mema na Nji hii anayepinga KATIBA MPYA. Kwa busara na hekima ya wanaoisoma Katiba yetu naomba tuainishe...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
  • Closed
Habari zilizotufikia hivi punde ni kuwa kuna taarifa za kiintelejensia zinasema KUNA KUNDI KUBWA LA WAJUMBE WA BUNGE LA KATIBA wamejipanga kumshangilia mheshimiwa mtukufu rais wa jamhuri hii ya...
1 Reactions
17 Replies
3K Views
Umoja wa wapinzani bungeni ambaye julius mtatiro ni katibu wake ndio tatizo kubwa pale bungeni dodoma. Hawa watu wadhibitiwe ipasavyo. Hili kundi linaratibiwa na akina lema vinara wa vurugu na...
1 Reactions
51 Replies
4K Views
Wanabodi, Naangalia hapa kipindi cha mahojiano TBC yanayoendeshwa na Shabani Kissu, waalikwa wake ni Mwanasiasa Mkongwe, Mhe. Kingunge Ngombale Mwiru na Spika wa Baraza Wawakilishi Zanzibar...
4 Reactions
49 Replies
4K Views
Kwa kweli nimeamini warioba hafiki bei, yaani ccm njia yao ya kuhonga imegonga mwamba,yule mzee alikaraa burungutu la pesa ambalo Mwigulu alimpelekea , alikataa kata kata akasema yeye atasimamia...
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Warioba alidanganywa, akavimba kichwa, akatoa maoni yake badala ya maoni ya watanzania. Hajatutendea haki wananchi wanyonge. Ni mtu wa kutafuta umaarufu usiomstahili. Hii ni hatari sana na anaweza...
1 Reactions
65 Replies
4K Views
Back
Top Bottom