"Pwani ya Tanganyika na Zanzibar ya sasa zilikuwa pamoja kwa muda mrefu sana kabla ya kutengwa na Wakoloni Waingereza na Wajerumani. Kama zingebaki zimetengana, kwa "wazalendo" hao hiyo ingekuwa...
Dodoma. Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba amewasilisha Rasimu ya Pili ya Mabadiliko ya Katiba katika Bunge la Katiba Machi 18, mwaka huu. Katika hotuba yake, Jaji...
Wadai hotuba ya Rais Jk imetangaza kuvunjika kwa Muungano
Wasema hawako tayari kuona mawazo ya wananchi yakichakachuliwa
Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), unaoundwa na wajumbe wa vyama vya...
Wapemba, tunamtaka Mh Raisi Jakanya Mrisho Kikwete atuombe Razi Wapemba kwa Hutuba yake ya Kibaguzi Zidi yetu siku yakufungua Bunge la Katiba Dodoma Juzi..Maneno ya Mwalimu Nyerere
Nyerere na...
Baada ya Rais Kikwete kulihutubia Bunge Maalum la katiba hivi karibuni na kutoa maoni yake kuhusu swala serekali 2 au 3 mbunge wa africa mashariki shy rose bhanji amesema yeye anaunga mukono...
Rais Jakaya Mrisho Kikwete, Rais wa Zanzibar Dkt Mohamed Ali Shein, -Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba Mhe Samuel Sitta-na Makamu -Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba Mhe. Suluhu Samia Hassan...
SIKU moja baada ya Rais Jakaya Kikwete kulifungua Bunge Maalumu la Katiba mjini Dodoma, hotuba hiyo imebezwa na viongozi wa vyama vya wafanyakazi, wakidai amepuuza maoni ya Watanzania.
Walisema...
Wapendwa wadau wenzangu ,nimekuwa na wasiwasi mkubwa baada ya kusikia sitta akichomekea kwenye hotuba ya raisi ya kupinga rasimu bila woga, kitu ambacho siyo chakawaida cha kuingilia na...
Baadhi ya wadau wa shera na wapenda maadiliko wamedokeza wazi kusudio la kutaka mvurugano mkubwa aliousababisha Jk ktk 'kuzindua' Bunge la Katiba ambayo hakuifanya na kinyume chake wanasema...
Hapa mjiji Dodoma, Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) ambao unajumuisha wajumbe wa bunge la katiba wenye maslahi ya taifa mbele, leo umefanya mkutano uliokuwa na agenda moja ya kuijadili hotuba...
Wadau Angalieni Star TV kuhusu Mjadala wa muundo wa serikali , labda uenda baada ya kipindi tukaendelea kupata majibu yatakayotutoa njia panda baada ya hotuba ya Mzee warioba na MH; JK. FUATILIA
Uhalali wa Hotuba na Uzito wa Hoja ya Rais
Ni jambo la muhimu kutenganisha haya masuala mawili. Mosi, uhalali wa hotuba ya Rais Kikwete ya kuzindua Bunge Maalum la Katiba. Pili, uzito wa hoja...
Dodoma. Siku moja baada ya Rais Jakaya Kikwete kuzindua Bunge na kuponda ripoti ya Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Mwenyekiti wa Tume hiyo Jaji Joseph Warioba amesema jukumu walilopewa kwa mujibu wa...
Mimi nataka serikali mbili sababu ni zile alizozitoa rais wetu. Je wewe unayo sababu unayokufanya utake serikali tatu? Je unahisi uwepo wa serikali tatu si hatari kwa muungano?
Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Muadhama Polycarp Kardinali Pengo akiwaonesha waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, nakala ya gazeti la Mwanachi lililoandika...
Awali ya yote ninapenda kumpongeza Mhe. Rais kwa maelezo aliyotoa wakati wa uzinduzi wa Bunge Maalum la Katiba. Pamoja na mazuri yote ambayo yalikuwemo katika hotuba yake ninapenda kueleza baadhi...
Naangalia TBC 1 sasa kuna msomi mmoja wa UDSM(Bashiru) anatoa povu sana kutetea serikali 2!Swali ninalouliza,alikuwa wapi wakati Wazanzibar wanavunja katiba na kuunda nchi yao?Kwa nini hakutoa...
Kwakua Zanzibar ina bunge lake, linalojadili mambo yasio husu muungano, basi kuhakikisha hakuna "confusion" kwenye mfumo wa muungano, wabunge wote kutoka Zanzibar walio kwenye bunge la Jamhuri ya...
Ukawa tuko pamoja nanyi piganeni kadiri ya uwezo wenu mpaka katiba mpya ya watanzania ipatikane. Lingine swala la kuamua maamuzi ni kura gani itumike, tunawaomba kama mlivyosimama mwanzo iwe kura...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.