KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe

JF Prefixes:

Muakilishi wa Taasisi na Jumuia za Kiislamu amewataka Waislamu wote Nchini kupiga kura ya HAPANA katika kura ya Maoni ya kuidhinisha katiba Iliopendekezwa na CCM. Kiongozi huyo, ameyasema hayo...
3 Reactions
68 Replies
19K Views
POLICE WAKAMATA WANACHAMA WA ACT WAZALENDO MASASI Ziara ya mwenyekiti wa ACT WAZALENDO ndugu Maalim Seifu Sharifu Hamad leo alifika Masasi na kufanya kikao cha ndani mara baada ya kuondoka...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Hussein Mwinyi, raia mwenye bahati ya kupata kuwa mbunge kupitia majimbo ya Tanganyika na Jamhuri ya Watu wa Zanzibar na Pemba, alisema Bungeni kuwa kuondolewa kwa “kero” za Muungano ni kwa...
2 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari na poleni na majukumu, Kama kichwa cha habari kinavyo jieleza kua hatuwezi kurudia makosa ya Mwalimu Nyerere ya kuminya haki ya Watanzania wengi na kufanya maamuzi yake ambayo yanataka...
1 Reactions
5 Replies
3K Views
Shekhe Hamid Jongo ambaye ni Mjumbe wa Baraza la Maulamaa na Imamu wa Msikiti wa Manyema, Kariakoo Dar es Salaam, amewageukia wanaokataa kura ya wazi akisema ni wanafiki na waoga, huku akiwatupia...
0 Reactions
23 Replies
5K Views
Wakuu siku hizi maji ya kunywa na zile icream (rambaramba)za bhakresa zimeadimika sana wakati wa mchana ,ni kama sizioni kabisa kwenye folen barabarani hapa Dar.kulikoni? au ndiyo mambo ya mfungo...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Sitaki kumumunya maneno naweka wazi kabisa hawa wabunge wa Chadema wamekumbwa na kihoro. Hii ni kwa sababu 96% hawatarudi bungeni. Walitaka kutuaminisha kuwa hali ni mbaya sana ya maabukizi ya...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Naomba kufahamu muundo wa muungano wetu na mambo yapi ni ya muungano na yapi si ya muungano kwa sababu naona wakt mwngne zanzibar wanatoa updates za wagonjwa wa corona wkt hku bara tupo kimya wkt...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwa jinsi rasimu ilivyo nahisi JMT inatakiwa kuwa Taifa lakini tusaidiane maana rasimu inasema ni nchi na shirikisho lenye mamlaka kamili ambalo limetokana na Muungano wa nchi mbili, Jamhuri ya...
1 Reactions
11 Replies
5K Views
Madaraka ya rais wa jamhuri ya muungano(ibara ya 85 :1-6) kutangaza hali ya hatari ni moja ya safari ya mafahari wa Tanganyika na Zanzibar watakapomgomea rais wa jamhuri ya muungano kwa maana...
2 Reactions
250 Replies
20K Views
Ndugu wanajamvi, Katika hotuba yake ndani ya Bunge la Katiba mjini Dodoma hivi karibuni, Rais Kikwete, pamoja na mengineyo, alinukuliwa akisema kwamba – muungano wa serikali tatu uliopendekezwa...
18 Reactions
288 Replies
23K Views
Kampeni ya CCM mwaka 2020 itakuwa rahisi iwapo watanzania watapa Katiba Mpya,,,watanzania wengi wana kiu ya kupata katiba mpya.
1 Reactions
21 Replies
3K Views
Ulipoharibiwa mchakato wa katiba mpya na kikwete, niliandika yafuatayo: Kheri tungekuwa na kundi moja la bunge maalum la katiba. Kheri tungekuwa na Tanzania kwanza, makundi ya CCM na UKAWA...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wadau, Nimepitia uzi wenye jina "Utumwa wa Tume ya Uchaguzi Tanzania" na kupenda mjadala ule ambao mpaka sasa umeshirikisha watu 9000. Pia nimepitia mabandiko mengine yenye kujadili mada hii...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Ndugu wanabodi nimetafakari jinsi tulivyouziwa mbuzi kwenye gunia tukampata kiongozi wa sasa ambaye mambo mengi anayofanya si tu yanakiuka manifesto ya chama chake lakini pia wananchi hatukupata...
0 Reactions
0 Replies
864 Views
Zipo siri nyingi zimefichika katika nchi hii na hakuna anayethubutu kuzisema hadharani kwa kujiamini pengine kwa sababu hazikidhi vigezo vya kisayansi lakini zinaathiri sana baadhi ya maamuzi ya...
1 Reactions
6 Replies
4K Views
I hope I am wrong lakini naona kuna possibility kubwa sana ya Bunge hili la katiba kusambaratika kabla ya kumaliza kazi. Unaweza kuliona hili kwa kuipitia kwa makini misimamo ya makundi katika...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Imenishangaza mpaka sasa hasa wapinzani hawajadai tume huru ya uchaguzi. Hii haitakuwa nzuri kwa taifa tujiandae muhula wa pili kuwa mgumu kwa Magu. Kwanza kwasababu ya kutokuwa na tume huru...
1 Reactions
23 Replies
4K Views
Tanzania nchini ya mfumo wa vyama vingi tunahitaji tuwe na mahakama ya katiba itakayosimamia utekelezaji wa katiba nchini. Siku hizi ni kawaida sana kila viongozi kujiamulia jambo lolote...
0 Reactions
0 Replies
953 Views
Ibara ya 81.-(1): Endapo mtu yeyote aliyeshiriki kama mgombea katika nafasi ya Madaraka ya Rais katika Uchaguzi wa Rais hakuridhika na matokeo ya uchaguzi huo, anaweza kuwasilisha malalamiko...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Back
Top Bottom