Kenyan News and Politics

Serious discussions on Kenyan Politics and Latest news from Kenya

JF Prefixes:

Ni wazi Raia Odinga 'Baba' atashinda uchaguzi mkuu utakaofanyika huko Kenya hivi karibuni. Raila amepigana hiyo vita toka enzi za baba yake Oginga Odinga, na sasa inafika hitimisho. Nampongeza na...
6 Reactions
16 Replies
1K Views
Hii tume ya Uchaguzi ya kenya haina mlinganisho, NEC ni pure CCM na kama NEC ndo itaendelea kwa muundo huu wa sasa bora wakashiriki CCM wenyewe, kwa kifupi hatuna tume tuna branch ya CCM inayo...
9 Reactions
47 Replies
5K Views
Prana ni neno la Kihindi,maana yake 'pumzi'. Raila amefanya kampeni kwa bidii na anechoka sana. Hatujawahi kumuona Raila anechoka namna Ile. Lakini sasa kampeni imekwisha nadhani he will get his...
2 Reactions
6 Replies
1K Views
Uhuru Turaireta mweimeti Meru.. Turaireta mweimeti Taraka Nyiti..
3 Reactions
95 Replies
8K Views
Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) nchini Kenya imeahirisha uchaguzi wa gavana wa Mombasa na Kakamega pamoja wabunge wa Kacheliba na Pokot Kusini baada ya karatasi za kupigia kura kuonekana...
0 Reactions
1 Replies
744 Views
Kinyang'anyiro cha kuwania urais katika uchaguzi mkuu wa Kenya unaotarajiwa Agosti 9, mwaka huu, kilivutia takriban wawaniaji hamsini. Lakini ilipowadia muda wa wagombea hao kuwasilisha maombi...
1 Reactions
0 Replies
925 Views
Tume ya Uchaguzi na Mipaka, IEBC imesitisha Uchaguzi wa Ugavana katika Kaunti za Kakamega na Mombasa, kutokana na makosa ya uchapishaji kwenye karatasi za kupigia kura Pia, Uchaguzi wa Wabunge...
1 Reactions
1 Replies
706 Views
Wasimamizi 4 wa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) wamefukuzwa kwa madai ya kukutana na Mgombea nyumbani kwa mgombea huyo huko Ndhiwa, Kaunti ya Homa Bay Maafisa hao wanadaiwa walikuwa katika...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kampeni za uchaguzi Kenya zimemalizika rasmi jana lakini wataalamu wa siasa wanahofia juu ya hatari kutokana na taarifa potofu zinazochapishwa mitandaoni na wafuasi wa wagombea wakuu. Benedict...
0 Reactions
1 Replies
631 Views
Akizungumza mjini Meru katika siku ya mwisho ya ziara yake ya Mlima Kenya Mashariki, Makamu wa Rais Ruto amesema wakati Mahakama kuu, ilipoamuru uchaguzi wa marudio mnamo 2017, Rais Kenyatta...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Viwanda za Western zitarudishwa. I learned from my late brother @MagufuliJP that sometimes you just show up unexpected. My impromptu visit to Mumias Sugar today confirms that industries will be...
4 Reactions
34 Replies
3K Views
Zaidi ya waangalizi 18,000 na mamia ya waandishi wa habari wa kimataifa wamewasili Nchini Kenya kufuatilia Uchaguzi huo, idadi hiyo imetajwa kama kiashiria cha namna Uchaguzi huo unavyotazamwa...
0 Reactions
0 Replies
723 Views
Jamii ya Washona nchini Kenya watapiga kura kwa mara ya kwanza katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Agosti 9, 2022. Kundi la kwanza la jamii hii liliwasili Kenya kutoka Zimbabwe miaka sitini...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Huyu jamaa kumbe anajua Kenya ni nchi muhimu ukanda huu. Aitakia Kenya uchaguzi mwema.
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Mgombeaji wa urais wa chama cha Roots George Wajackoya amekana madai kwamba amemuidhinisha mgombea wa muungano wa Azimio la Umoja Raila Odinga. Kupitia taarifa ,Wajackoya amedai kwamba video...
0 Reactions
2 Replies
635 Views
Rais mstaafu Dr Kikwete ataongoza kundi la Waangalizi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki kwenye Uchaguzi Mkuu wa Kenya Chanzo: ITV -------- Jakaya Kikwete is head of mission to Kenya Source: KTN...
10 Reactions
56 Replies
5K Views
Nchi ya Kenya inatarajia kufanya uchaguzi wa Rais wa awamu ya 5 mapema mwezi Agosti 2022. Duru za uchaguzi zinaonesha kumpa nafasi zaidi Bwana Raila Odinga ambaye aliwahi kuwa Waziri Mkuu wa nchi...
3 Reactions
36 Replies
3K Views
MY TAKE; Hahahaha sababu GDP ya Kenya ni kubwa kuliko GDP zote duniani. Tony254 dyfre Don YF Nicxie Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
3 Reactions
13 Replies
1K Views
RAILA ODINGA AWAJIBU WANAODAI HAWEZI KUONGOZA NCHI KUDAI HAJATAHIRIWA "Baadhi ya watu wanasema siwezi kuwa Rais sababu sijatahiriwa. Ninajiuliza Walijuaje kuwa sijatahiriwa?” Raila Odinga"...
2 Reactions
38 Replies
3K Views
Back
Top Bottom