Kenyan News and Politics

Serious discussions on Kenyan Politics and Latest news from Kenya

JF Prefixes:

Asifia utendaji wa polisi walivyohakikisha usalama bila kuingilia zoezi, pia asifia tume ilivyo onyesha uwazi na kuhakikisha matokeo ambayo hayakuchakachuliwa. Mataifa ya Afrika mna mengi ya...
3 Reactions
35 Replies
3K Views
Nilikuwa Kenya wakati ule, kulikuwa na kampeni na mimi nilikuwa Nairobi, nadhani just for a day and a night. Kulikuwa na some complaints kuhusu Raila, complaints in the media,na mimi nilikuwa very...
2 Reactions
3 Replies
937 Views
Pale kituoni kura zikihesabiwa na kujazwa kwenye form (34A), kila wakala anaipiga pcha na kuwarushia watu wake, anapata hard copy kisha hiyo form inakuwa uploaded kwenye mfumo wa tume ya uchaguzi...
1 Reactions
16 Replies
1K Views
Salaam Wakuu, Jioni ya leo, Mgombea Urais wa Kenya Ruto, ameonekana mwenye tabasamu muda wote. Ni baada ya kukutana na Waangalizi wa Uchaguzi Mkuu wa Kenya kutoka Jumuiya ya Afrika Mashariki...
6 Reactions
18 Replies
2K Views
Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) imewatoa hofu wananchi juu ya uwepo taarifa kwamba mifumo yake ya Kura imedukuliwa. Mkurugenzi Mtendaji wa IEBC, Marjan Hussein Marjan amesema taarifa...
1 Reactions
1 Replies
600 Views
Rais mstaafu mzee Kikwete amefurahishwa na Ushindi wa baadhi ya wagombea binafsi wa nafasi za juu katika Uchaguzi wa Kenya Vyama vya siasa vinaweza kuwanyima fursa watu wanaohitajika na kupendwa...
5 Reactions
12 Replies
1K Views
1. Hakuna mgombea aliyezuiliwa kuchukua fomu za uchaguzi kama katimiza vigezo. 2. Hakuna mgombea aliyekosea kujaza fomu. 3. Hakuna Afisa uchaguzi aliejifungia ndani au kukimbia na kutelekeza...
33 Reactions
36 Replies
2K Views
Esokon Bernard, John Nabian na Ekori waliokuwa wasimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Laisamis katika Kaunti ya Marsabit, wameshtakiwa kwa kutelekeza vifaa vya uchaguzi baada ya kufungwa kwa zoezi la...
0 Reactions
0 Replies
508 Views
Aliyekuwa Diwani wa Wadi ya Sirikwa (MCA) Alfred Mutai amenyakua kiti cha ubunge cha Kuresoi Kaskazini katika uchaguzi uliofanyika Jumanne, Agosti 9. Mutai, ambaye alikuwa akiwania Ubunge kwa...
0 Reactions
0 Replies
492 Views
Utaratibu wa upatikinaji wa Viti maalum Ubunge vya Wanawake Kenya upoje? Wadau, Katiba ya Kenya na sheria ya uchaguzi imeweka utaratibu upi wa upatikanaji wa wagombea wa viti maalum wanawake.
0 Reactions
3 Replies
627 Views
Kuna maeneo kadhaa Uchaguzi umeahirishwa kutokana na makosa ya Tume Huru ya Uchaguzi ikiwemo Uchaguzi wa Gavana wa Mombasa Maeneo kadhaa vituo vilichelewa sana kufunguliwa Udhaifu ninaoushuhudia...
9 Reactions
57 Replies
4K Views
Kwa matokeo ambayo yametangazwa hadi kufikia leo, Mgombea wa Azimio la Umoja, Raila Odinga amepata Wabunge 134 ambapo 88 wanatoka chama chake ODM. Kwa upande wa Dr. Ruto wa United Democratic...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari wakuu! Najua kwa siku mbili tatu baadhii yetu tumekuwa tukifuatilia kile kinachoendelea katika uchaguzi wa Majirani zetu Kenya. Kwa tathmini fupi utabaini kwamba watu wengi nchini kenya...
4 Reactions
94 Replies
7K Views
Wakenya lazima wawe na subira. Hakuna njia nyingine ama sivyo inaweza kutokea vurugu wakiwa impatient. Kuchelewa kutangazwa matokeo does not necessarily mean kwamba kuna mtu anataka kuiba kura...
1 Reactions
4 Replies
630 Views
Didmus Barasa amechaguliwa tena kuwa Mbunge wa Kimilili baada ya kupata kura 26,000 akimshinda mpinzani wake wa DAP-K Brian Khaemba aliyepata kura 9,000. Barasa aliyegombea kupitia UDA, anadaiwa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Uhuru wa kila mtu kutoa matokeo ya uchaguzi umedhihirisha aibu na fedheha kwa wapenda Demokrasia na wachambuzi wa masuala ya Siasa barani Afrika na Duniani kote. Tume ya Uchaguzi ndio inapaswa...
2 Reactions
7 Replies
2K Views
Odinga atapata kura sio zaidi ya milioni 8. William Ruto kura si zaidi ya milioni 6 Ndivyo itakavyotokea. Hata kwa akina Magufuli vs Lowassa ilitokea hivi. Lets wait and see!
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Mgombea Urais kupitia UDA, William Ruto anaongoza kwa idadi ya Kura dhidi ya Mgombea wa Azimio, Raila Odinga kwa mujibu wa takwimu za Nation Media. Hadi kufikia saa 12:00 jioni leo, Ruto alikua na...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta amemjia juu Naibu wake, William Ruto kuelekea Uchaguzi Mkuu akisema kama ameshindwa kufanya akiwa na nafasi ya juu Serikalini ataweza vipi kwa mara nyingine anapoomba...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Nilichojifunza uchaguzi wa Kenya wakikuyu wanahusudu sana ufisadi na ni wakabila wakubwa. Licha ya mgombea mwenza wa Ruto kuwa ana shutuma ya ufisadi na Ruto mwenyewe kuwa na shutuma za ufisadi...
1 Reactions
4 Replies
886 Views
Back
Top Bottom