Kenyan News and Politics

Serious discussions on Kenyan Politics and Latest news from Kenya

JF Prefixes:

Azimio la Umoja – One Kenya Alliance presidential candidate Raila Odinga will accept defeat if he loses in the August general elections. Speaking during a joint media interview on Tuesday, Raila...
0 Reactions
2 Replies
825 Views
Mbona huu uchaguzi wa Kenya walianza vizuri, watu tukajua ndani ya siku Moja mbili tutamjua Rais , lakini sasa ni takribani siku ya nne mambo bado, kunani tena?
6 Reactions
134 Replies
11K Views
Ukumbimi hali ni shwari na Ulinzi umeimarishwa zaidi. Unafanyika usafi pale katikati palipokuwa panafanyika zoezi la uhakiki Watu wote wametulia wakisubiri matokeo Kenya ni moja Tukio liko...
5 Reactions
132 Replies
9K Views
MATOKEO KENYA: MSAFARA WA NAIBU RAIS RUTO NA MKEWE KUELEKEA BOMAS MUDA HUU Naibu Rais William Ruto na mkewe Rachael Ruto wameondoka nyumbani kwao Karen kuelekea eneo la Bomas ambapo Tume ya...
3 Reactions
7 Replies
1K Views
1. Mwenyekiti wa Tume wa Huru ya Uchaguzi, IEBC anatakiwa kumkabidhi Rais Mteule Cheti (Mshindi wa Urais lazima ajitokeze kupokea Cheti) 2. Mwenyekiti lazima awasilishe kwa maandishi taarifa ya...
2 Reactions
1 Replies
584 Views
Tume ya Taifa Maridhiano, NCIC imetoa wito kwa Mgombea yeyote wa kiti cha Urais atakayeshindwa baaada ya Matokeo kutangazwa, kukubali na kawasiliana na Mshindi ili kupata amani Mwenyekiti wa...
1 Reactions
1 Replies
770 Views
Uchaguzi ulienda vizuri kwa amani na kwa wakati nchi nzima,sasa sijui nini kilitokea kukatokea sintofahamu. Ghafla wakasimamisha utangazaji na kuanza zoezi kuhakiki !mara wazungukie huku mara...
0 Reactions
13 Replies
1K Views
William Ruto, ushindi wake una mambo mengi sana na kubwa kuliko yote ni kuwastafisha siasa Moi Family Odinga Famiily na Kenyata Fammily. Endapo Odinga angeshinda alitaka afufue tena BBI ili...
6 Reactions
29 Replies
2K Views
William Ruto (UDA) 50.49% 7,176,121 Votes Raila Odinga (AZIMIO) 48.85% 6,942,930 Votes George Wajackoyah (RPK) 0.44% 61,969 Votes David Waihiga (AGANO) 0.23% 31,987 Votes ==============...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wajackoyah: We're Confident We'll Win Presidential Election Roots Party presidential candidate Prof. George Wajackoyah during his manifesto launch at KICC. PHOTO | COURTESY Preliminary results...
1 Reactions
5 Replies
720 Views
All data suggest Azimio coalition has majority control in parliament. If Dr. William Ruto wins the presidency how will he manage to push his agenda in parliament, if Azimio stands on a zero...
1 Reactions
7 Replies
788 Views
Naona MaCCM humu yamechachamaa kufungua nyuzi ili kutafuta mbinu za kupaka tope uchaguzi uliofanyika Kenya, yanajaribu kutumia hizo mbinu kuficha aibu ya dhuluma zao kwao huko Tanzania. Ifahamike...
34 Reactions
58 Replies
4K Views
Picha zimetrend Leo asubuhi wagombea wakiwa kwenye nyumba ya ibada. Tumegundua nini hapo?
0 Reactions
6 Replies
549 Views
Ubalozi wa Marekani jijini Nairobi umekanusha taarifa inayodai Rais wa Marekani Joe Biden alimpongeza Mgombea wa Azimio La Umoja, Raila Odinga kwa kuchaguliwa kuwa Rais wa 5. Taarifa hiyo pia...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Uchaguzi Mkuu wa Kenya umefanya nijue umuhimu wa utawala wa sheria na Katiba hasa kwenye masuala muhimu ya kusimamia haki za msingi za wananchi. 1. Hakuna Kupita bila Kupingwa Kenya imeonesha...
8 Reactions
14 Replies
1K Views
Ni David Mwaure Walhiga mgombea Urais wa Kenya akiri kushindwa hata hivyo amewataka IEBC kukamilisha haraka zoezi la uhakiki na hatimaye watangaze mshindi Source Citizen tv
0 Reactions
1 Replies
545 Views
Wakenya wameonesha wasiwasi wao wanaposubiri Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) kutangaza mshindi wa Kura za Urais huku wakieleza kutoridhishwa na mchakato wa uhakiki tangu ulipoanza Baadhi...
0 Reactions
3 Replies
584 Views
Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka, IEBC imetoa ufafanuzi kuhusu sababu za kuchelewa kutoa Matokeo pamoja masuala mengine yanayolalamikiwa na hatua inazochukua Tume imesema kwasasa inafanyia kazi...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Baraza Kuu la Maaskofu wa Katoliki Kenya (KCCB) limeitaka Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) kuharakisha kujumlisha Kura za Urais ili kuepusha hisia mbaya zinazoweza kuzua migogoro. Katika...
0 Reactions
1 Replies
546 Views
Toka juzi vyombo vya habari nchini Kenya viliweza kurusha matokeo ya urais. Leo asubuhi wameacha kuonyesha. Hii ni kwa vyombo vyote, Kilichobaki tu ni kuonyesha matokeo ya kila Kaunti. Nashindwa...
3 Reactions
45 Replies
5K Views
Back
Top Bottom