Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Hivi ni vituko sana kwani hao wauza bidhaa hawatajua mshahara umeongezeka hawana ndugu wafanyakaz
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habarini wadau! Natumai mu wazima wa afya. Hakika sijabahatika kuwa na furaha katika hizi anga za mapenzi, kila napogusa naishia kutokuwa na furaha katika mapenzi. Kila niliyekuwa naye tunaishia...
0 Reactions
2 Replies
859 Views
Wapendwa, Natafuta mwanamke wa kuanzisha naye mahusiano. Lengo ni urafiki ambao natamani uende hadi katika ndoa. Hata hivyo kama hautafikia ndoa basi nitaelewa tu. Lakini mimi niko tayari kuoa...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari zenu, Naishi Dar es salaam, natafuta rafiki wa kike ambaye baadae anaweza kuwa mke wangu. WASIFU WANGU -Nina umri wa miaka 29. -Nina shahada ya uongozi wa Mauzo na Masoko kutoka C.B.E...
0 Reactions
29 Replies
3K Views
Mambo, Habari zenu wanafamilia, naitwa Colins, mkaka umri wa miaka 33, mjasiliamali na muajiriwa. Ninapendelea kusafiri, kutembea, mazoezi, mpira wa miguu, kuogelea, volleyball na kusafiri. Pia...
1 Reactions
16 Replies
1K Views
vigezo kwa mwanamke miaka 22 to 27 awe dini yoyote rangi yoyote asiwe tegemezi kupitiliza elimu form four kuendelea
0 Reactions
0 Replies
851 Views
Mambo zenu? Mimi ninahitaji kutulia sana. nasema kutulizwa sio kuumizwa kama unajijua wewe ni unajua kujali Naumetulia unahitaji kupendwa nakuishi na mtu mwaminifu bila stress basi huu uzi...
6 Reactions
211 Replies
14K Views
SIFA ZANGU - Miaka 32 - Mkristo - Nimeajiriwa serikalini - Sijaoa [emoji174] -Naishi mbeya -Nina kibamia [emoji6] SIFA ZAKE -Mwenye upendo wa dhati[emoji180] - Mkristo -Umri 20-25 -Kimo cha kati...
0 Reactions
2 Replies
750 Views
NAENDA KUOA PEMBA. Naenda kuoa Pemba, msichana wa Kojani Yule anaejipamba, kwa mitandio kitwani Aongea kwa kutamba, na lafudhi ya kipwani Naenda kuoa Pemba, alo na njema tabia. Kojani nikimkosa...
2 Reactions
5 Replies
1K Views
habarini wana JF natafuta mpenzi amabaye atakuja kuwa mke mbeleni, awe tayari kupima ukimwi, awe black au weupe asilia na si wakununua dukani, awe chini ya miaka 30, awe na elimu mwisho ya form...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Mimi umri wangu27,Group langu la damu ni A-ve, nahitaji rafiki wa kweli mwenye Rhesus negative mwenzangu tuweze kushare mawazo pindi nipatapo shida ana uwezo wa kunisaidia am serious kwa hili kama...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
KWANINI WANAWAKE WENGI WANAOTAFUTA WACHUMBA JAMII FORUM HAWAWEKI PICHA ZAO?
1 Reactions
51 Replies
6K Views
Naitwa Luqman kutoka Kenya nko na 28yrs na natafuta mchumba umri wake uwe chini ya 28yrs, awe atleast amefika secondary kidato cha sita Tanzania. Rangi na kimo chochote sichagui wala dini pia. Mi...
1 Reactions
11 Replies
3K Views
Natumai wote tu wazima. Naitaji rafiki naomba nieleweke wazi rafiki jinsia ya kike umri kuanzia miaka 40 and above ambaye yupo stressed kwa ajili ya kubadilisha mawazo, ushauri, miongozo n.k...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Natumai wote wazima na poleni pia kwa majukumu yenu. Nimejitokeza rasmi kutangaza Kwenu kuwa natafuta Rafiki wa Kike ambaye tukiridhiana basi atakuja kuwa Mchumba na Mke wangu rasmi. Wasifu...
2 Reactions
7 Replies
1K Views
Awe anatokea Arusha. Umri kuanzia 27 to 30, awe handsome na of corse awe stable kipesa pia awe anajua mapenzi mambo ya kuchafuana ctaki mie.
2 Reactions
75 Replies
8K Views
Mimi ni mwanaume, mwenye umri 33,mkristu,nina elimu Ya kawaida, nina Kazi tyr, muonekano Wangu ni wakawaida. Natafuta mwanamke wakuoa mwenye umri 20-28 ,anaye jitambua, na mwenye nia ya Kweli...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Nimempatia mtaani kwetu sio Jf...ana miaka 23yrs....maelezo mengi nimepunguza maana watu wasiojielewa wameanza kunitukana na kunipa majungu kisa tu nimebahatika kuwa na demu bikra....muandamne bac...
3 Reactions
30 Replies
3K Views
Habarini ndugu, mimi ni mwanamke ambaye hivi karibuni mwanaume wangu anataka akajitambulishe kwetu pamoja na kunivisha pete. Sasa tatizo ni kwamba ananiambia anipe hela nikanunue mwenyewe na mimi...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Habari wana jf natafuta marafiki wakubadilishana mwazo jinsia zote. Mimi ni mwanaume naishi dar umri wangu ni miaka 32 Kwa anayetaka aje pm
0 Reactions
57 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…