Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Sifa Awe mtanzania Umri 26-28 Dini yoyote kikubwa awe na hofu ya MUNGU kupitia dini yake anayo iamini Kuhusu kazi so ishu sana kwa upande tutapanga tukiwa pamoja ni namna gan tuishi...
1 Reactions
3 Replies
406 Views
Maisha ni safari na ni siri ndefu na kila mmoja ya kwake, kuoa ni sifa ambayo mwanaume anapaswa kujivunia; Natafuta mke wa kuishi nae sasa mpaka milele. Sifa zangu:- Ni mkristo Ninaumri wa miaka...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Naitwa Richard 35 Mkristo naishi DAR Nina Familia Ila hitaji langu NIPATE rafiki mwanamke MTU mzima 30+ mpaka 50+ lengo ni kuwa namtu wa karibu zaidi na mwenye tija katika maisha ya kila siku...
1 Reactions
13 Replies
936 Views
Ninatafuta Mwanamke Mtu mzima wa kuwa naye Rafiki na kushauriana mambo mbali mbali ya Maisha. Mimi n kijana wa Miaka 40, Mrefu, Mweusi Mcheshi. Nipo Dar es salaam Tabata. Nitafute kwa kwa 0693...
2 Reactions
14 Replies
1K Views
Nina umri wa miaka 29 now, ninahitaji mwanamke wa kuoa ambaye yupo tayari na ataridhishwa na maumbile yangu( kibamia). Uume wangu una urefu wa nchi 3.6 ukiwa umesimama na wembamba kiasi. Kwa...
2 Reactions
61 Replies
7K Views
?
0 Reactions
8 Replies
819 Views
Nimeanza maisha , sina mwenza wa kuishi nae , uwezo wa kugharamia ninao , ila tu nataka mwanamke ambae anaweza kupika na kufua nguo vizuri ... nikifanikiwa kumpata nitamsaidia kwa hali na mali ...
5 Reactions
66 Replies
4K Views
Habari za majukumu, Naamini nyote mpo salama, natafuta tafiki wa kiume mwenye hofu ya Mungu, anayejua na kujali thamani ya mtu asiwe mlevi wa pombe wala sigara wala wanawake, awe mkristo. Mwenye...
21 Reactions
76 Replies
15K Views
Kama wewe ni mwanamke na hutaki kuzaa basi njoo tuzungumze, yawezekana tukaishia kufunga ndoa mi nawe. Mimi sihitaji mtoto kabisa. Mimi naishi Dar es salaam. Dini yangu ni mkristo. Kwa upande...
6 Reactions
57 Replies
5K Views
Mke anatafutwa wa kupanga nae maisha Age: 18- 28 -Education ata list ajue maesabu ya pesa + na - awe anaweza kuwa business idea -Aweze kujishughurisha kwa kazi ata kama amesoma sio ategemee...
0 Reactions
16 Replies
1K Views
Jamani naitwa shukran nina miaka 19 natafuta rafiki jinsia yakike nataman tuwe marafiki wakuaminiana natulio ivaana asante
0 Reactions
12 Replies
896 Views
Habari za uzima wapendwa natumai ni wazima wa Afya Rejea mada husika hapo juu mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 26 nahitaji mwanamke wa kuwa nae kwa ajili ya kusex tuu no serious relationship...
5 Reactions
33 Replies
3K Views
Kama mahaba mzigo, nitwike usinituwe, Lau ni pande la gogo, liache silipasuwe, Kama mahaba kipigo, niradhi kinisumbue, Nipe japo kidogo, mwenzio nijilimbuwe
6 Reactions
58 Replies
3K Views
Kumekuwa na mvutano wa nafsi kati yetu wanaume, wengine kuoa kwa kufuata mkumbo, wengine kuoa kwa kuwa ana kipato kizuri, wengine kuoa kwa kuwa anaona umri unakimbia na mwengine kuoa kwa kuwa...
2 Reactions
26 Replies
2K Views
Helloo.. jamii friendszone. This week natua Makao makuu ya nchi(Dodoma) nikitokea DSM, ningependa kupata mwenyeji au rafiki atakayekuwa mwenyeji wangu na atakeyenipa company pindi nitakapokuwa...
2 Reactions
10 Replies
777 Views
Habari za jukwaani, NIMEKUJA hapa kuomba love partner Kwa msichana / mwanamke aliye mpweke au asiye na furaha katika mahusiano, Mimi Nina miaka 33+ lakini sichagui umri, dini, kabila wa...
1 Reactions
8 Replies
772 Views
Habari zenu ndugu, Mimi mwanaume wa miaka 33 natafuta mwanamke wa kuoa . Sifa za mwanamke/ mchumba nimtakaye Awe muislam na mwenye hofu ya Mungu Awe na miaka kuanzia 20 na kuendelea hadi miaka...
5 Reactions
25 Replies
4K Views
Kama kawaida sijapata mchumba ambaye siku moja atakuwa mke kiukweli nakuhitaji uje tujenge maisha sifa zangumimi 1)Mtumishi wa serikali na hapo mama kesha fanya jambo hapo lake 2)mrefu kiasi...
3 Reactions
9 Replies
2K Views
Habari! Mimi ni mwanamke mwenye miaka 38, mkristo, nina mtoto mmoja. Natafuta mwanamume aliyetayari kwa ndoa mwenye sifa zifuatazo, 1. Awe na umri kati ya miaka 40 mpaka 50. 2. Awe mkristo 3...
18 Reactions
230 Replies
15K Views
Mimi nipo dar natafuta mchumba yaani rafiki wakike awe mkorea au mzungu ila awe na pesa sitaki wazungu wa kariakoo please na awe tayari kuolewa welcome pm
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Back
Top Bottom