Habari wana JF, bhana nina mpenzi wangu ambaye nampenda sana na nimepanga ajr kuwa mke wangu ila wiki kama tatu zilizopita nilimkosea nikawa nimemuumiza sana....Lakini nimefahamu kosa langu na...
Kuna wale ambao tuliachana na ma-Ex zetu na kuwafanya marafiki na kuishi nao vyema kwa kubadilishana nao Ideas tofauti za maisha
Na kuna wale ambao tuliachana nao kwa Visa, Usaliti, Chuki...
Hakikisha humpi salamu mwanamke au mdada yeyote mwenye sifa zifuatazo kama huna gari:
Asiye msomi, mwenye muonekano usio wa kisomi (wasomi wanaonekana, nimeeleweka)
Asiye na sura ya kuvutia...
Shikamoni, habarini
Poleni na majukumu ya ujenzi wa Taifa na mvua zinazoendelea kunyesha baadhi ya mikoa.
Iko hivi, kuna jamaa yangu tumesoma nae alinipasia namba ya ex wake wa huko Moshi, huyu...
Wife ana shughuli zake za biashara, sasa kutokana na kuwa nami nakuwa busy na mambo yangu, mara nyingi huwa hata siulizi pesa zake anafanyia nini.
Tuna magari mawili. Yeye dogo, mimi kubwa kiasi...
Waungwana natumaini kuwa mu wazima!
Twende kwenye mada, familia nyingi Afrika ziko kwenye mgogoro au kamgogoro, na migogoro hii husababishwa hasa na mambo ya fedha au mapenzi nje ya...
Haiwezekani kati ya Wake za Watu Kumi ( 10 ) unaowabandua (unaolala) nao Tisa ( 9 ) ukiwa nao Vitandani wanalalamika kuwa Waume zao wamekuwa 'Goigoi' kama Wachezaji wa Klabu ya Yanga SC na kwamba...
Dah! Ebwana nimewalatea huu uzi hivi vitu vinatokea eti. Na vimenitokea sana hii ni mara ya pili nakumbuka mara ya kwanza nikiwa na demu wangu alinitambulisha kwa rafiki ake Y, hapo ndipo mambo...
Uwiano katika mahusiano ni kitu kisichoepukika, kama unataka kufurahia mahusiano yako.
Mwanamke mnene anatakiwa awe na mwanaume mwembamba
Mwanamke mwembamba anatakiwa awe na mwanaume mwembamba...
Habari.
Naomba mnisaidie kunijuza kuhusu psychological effects (madhara ya kisaikolojia) anayoyapata mtoto wa kiume au wakike akiwa na tabia ya kupenda kufanya mapenzi na watu wazima. Yaani...
MALAYA NA UMALAYA
Na, Robert Heriel
Leo tuzungumze kidogo kuhusu Malaya na umalaya kwa ujumla wake.
Umalaya ni kitendo cha mtu kutoa huduma ya ngono kwa lengo la kujipatia faida, iwe ni faida...
Kila mtoto ana haki ya kuishi, kuwa salama, kuwa na wazazi/walezi, kusikilizwa, kupata huduma muhimu na kukuwa katika mazingira salama.
Familia ndicho chanzo cha ulinzi wa mtoto. Wazazi au walezi...
Ni hivi jamani mimi ni kijana wa miaka 24 naomba ushauri wa kimahusiano. Mimi mwenzenu nimekuwa mgumu mno wakuwa na mahusiano kwa sababu mbalimbali ambazo mimi nazisimamia akini napata tabu sana...
Paukwa....!
Ikawa asubuhi, ikawa jioni....
Hii ya jana mchana, bado ya moto kabisa ....
Basi bwana, jana mchana nilipita mgahawa mmoja jijini Daslamu kupata mlo wa mchana. Nilikuwa mwenyewe...
Kiukweli nimekuwa msomaji mzuri wa hili jukwaa na najifunza mengi Sana.
Kuna sehemu humu JF niliwahi kusoma eti mwanamke alietoboa masikio ZAIDI ya TUNDU MOJA ana tabia ambazo sio nzuri.
Je...
Aisee! Hivi nyie mnawezaje kudate na vibinti vya under 23 yrs? Aisee ni visumbufu sana mpaka kero aiseee nimenyoosha mikono.
Kuna kabinti nilikaotea mjini hapa anasoma chuo mjin hapa kana 22 yrs...
Mimi mchaga wa Marangu ,ila nimezaliwa Dar kukulia dar mpaka Leo naishi Dar,Kazini nimepata kasafari Ka kuja Arusha Mimi nahisi nitagongwa na Magari
Vijana wa huku kama Mablack America flani...
Hawapost hovyo wala hawaweki status kwenye mitandao Mara kwa Mara na hawaangalii status za watu na wako online anytime je haya yana ukweli wanajiheshimu/wanadharau? Na watu kama hawa...
Nazungumzia sisi wajuba ambao tunaishi na wanawake kwao hatujulikani wala hatujatoa hata kumi na bado tunaishi na wanawake hao mwaka ama mwaka miwili ama mitatu na watoto wametuzali. ,Je, tuwaite...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.