Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Habari, Jana jirani yangu katorokwa na mkewe naona jamaa kakusanya virago anamfuata kwao je ni sahihi?
1 Reactions
18 Replies
896 Views
Usitongoze mwanamke kwa kuangalia picha alizoweka kwenye mitandao; utajuta! Wengi wamezipiga nyuso zao 'plasta' pamoja na 'kuziskimu' kabla ya kuziweka kwenye mitandao.
20 Reactions
172 Replies
10K Views
Siku zote natamani sana sana nchi yetu ingekua na vitengo vya wanasihi, sio kila kitu kinahitaji polisi na kutumia nguvu. Mfaano mzuri ni huyu kijana ambaye kwa majibu wake ni kwamba Baba mkwe...
8 Reactions
85 Replies
7K Views
Natanguliza shukran
2 Reactions
46 Replies
5K Views
Mungu atuondolee moyo wa ubinafsi na ule wa kuwatamkia wenzetu mabaya pale wanapotuudhi "Kwa maana Bwana ameumba jambo jipya duniani; mwanamke atamlinda mwanamume." Kwa ibada, maombi, heshma...
12 Reactions
29 Replies
2K Views
Mkuu wa mkoa wa Dares salaam Amos Makalla amesema kwenye dawati la jinsia kuna wanaume aliowaita marioo wanakuja kulalamika kunyanyaswa na wanawake wenye fedha kwani huwapatia vitu alafu...
1 Reactions
23 Replies
2K Views
Miongoni mwa mambo yanayopelekea mahusiano mengi ya ndoa kuvunjika ni pamoja na kutoa baadhi ya vitu, maneno au matendo yanayoihusu ndoa yenu kuwapelekea watu wengine ambao si wahusika wa ndoa...
6 Reactions
9 Replies
2K Views
(Ni kweli) Nilibahatika kufanya ziara na kwenda kushiriki na ndugu na jamaa mikoa ya kati. Nilisafiri asubuhi hadi saa moja unusu nikawa nimefika mkoani, ikabidi nitafute sehemu ya kujiegesha...
4 Reactions
31 Replies
3K Views
Habari wakuu, Heshima yenu popote mlipo Naanza kwa kunukuu Wakolosai 3:18-19 "Enyi wake, watiini waume zenu, kwani ndivyo apendavyo Bwana. Nanyi waume, wapendeni wake zenu, na msiwe wakali...
3 Reactions
8 Replies
1K Views
BANDUGU ZANGU LEO NMEKUJA NA HUU UZI ATAKAYEKUOA SIFA ZAKE NI KAMA IFUATAVYO... 1. ANABADILIKA Mwanaume Ambaye Ana Malengo Ya Kuoa Hubadilika Kitabia. Muda Mwingi Hutaka Kuonekana Mtu Mzima Mwenye...
4 Reactions
26 Replies
5K Views
Wajumbe hawajamuacha mtu salama kauli hii ni enzi hizo. Wadau tuchambueni maada hii kwanu nipo njia mbaya sijui chakufanya. Before or after ndio poa.
4 Reactions
53 Replies
6K Views
Siku mwanaume huna pesa, then mpenzi/mke wako kaamua mtoke out kwa treat yake(anagharamia yeye hiyo outing). Muda mfupi kabda ya bill kuletwa anafungua pochi anafumbata kitita cha noti kadhaa...
5 Reactions
32 Replies
2K Views
Kwema wakuu Kuna workmates wangu tunafanya naye kazi ofisi moja ila kitengo tofauti But tunapanda gari moja la ofisini maana tunakaa mtaa mmoja Mwanzoni nilikua namchukulia kama mshikaji wangu...
1 Reactions
32 Replies
2K Views
Zijue sifa za mwanaume kutokana na muonekano wake Wanaume wanaonyoa vipara na kumaliza nywele kichwani huwa wana sifa ya kutokuhonga, na wanapenda sana mambo ya chini, mwanamke akimpatia nafasi...
8 Reactions
28 Replies
5K Views
Nilikua mwajiriwa katika kampuni moja maarufu jijini Dare es salaam, katika kuajiriwa kwangu huko nikawa msaidizi maalumu wa bosi wa kampuni ile, basi siku moja moja nilikuwa naenda kujirusha na...
20 Reactions
95 Replies
25K Views
Wakuu mmebarikiwà Sana na Mungu wa Mbinguni hakuna laana. Aisee Mke wangu wakati wa kunyanduana anapiga Sana kelele mpaka ananiondolea stimu maana nilishafanya tathimini kujua kama sauti...
27 Reactions
124 Replies
14K Views
Salaam wana MMU, Vyeti vya ndoa vinavyotolewa makanisani,misikitini na bomani vyote ni mali ya serikali. Nimejaribu kutafakari jinsi ndoa zinavyokuwa ngumu kila kukicha,kuna watu wanaishi maisha...
2 Reactions
49 Replies
10K Views
Pale wanapopenda. Idea ya kwanza kichwani kwao huwa ni ipi? Ngojea nifafanue: Ikitokea nimemkubali msichana flani, niwaze niwazavyo ila mwisho wa siku ntawaza kusex nae kama main root (sitaki...
1 Reactions
11 Replies
878 Views
Habari wazee ! Mambo yako hivi! Mimi na mtarajiwa wangu ambaye ni mzazi mwenzangu tulibahatika kupata first born wetu, wakati huo akiwa mwaka wa kwanza chuo. So badae alirudi home kujifungua...
2 Reactions
34 Replies
3K Views
Back
Top Bottom