Mkazi wa Kijiji cha Itolwa wilayani Chemba Mkoani Dodoma, Juma Juma (34) amelazwa katika kituo cha Afya cha Hamai wilayani Chemba akiwa hoi baada ya kujikata uume wake.
Inadaiwa kuwa Juma...
Habari zenu wana MMU nawasalimu
Nianze kwa kusema ndoa ni rizki, ndoa ni bahati, ndoa ni baraka sasa kuna mila na desturi za ndoa ambazo ni za kishamba katika jamii zetu ambazo bado...
Katika hotuba yake ya Hali ya Taifa hilo ya mwaka 2006, Rais wa Urusi Vladimir Putin alitaja janga la idadi ya watu kuwa ni tatizo la dharura zaidi linaloikabili Urusi na akatangaza jitihada za...
Mke wangu amepata nafasi ya kujiendeleza kimasomo nchini Uingereza ambako sasa ana miezi miwili tangu aondoke.
Alipoondoka alimleta mama yake mzazi kutoka huko kwao, Kaskazini mwa nchi ili aje...
Jumamosi wanandoa wengi husingizia kwenda kuhudhuria sherehe za ndoa Kitchen party na birthday party.
Huko wanakoenda kuhudhuria hujikuta wanafanya mambo ya ajabu na aibu kabisa.
Salam kwa wanajukwaa,.
Kuna kisa kimoja ambacho nimekutana nacho katika kushauri wanandoa wapya ambao ndoa yao ina kama miezi miwili tu tangu walipofunga pingu za maisha...
Mapenzi haramu ni jambo baya kiafya na hata kiimani.
Tukifanya mapenzi kulingana na utaratibu uliowekwa wa kibinadamu basi kuna faida nyingi ikiwemo. Kupata watoto na kujenga familia jambo...
Juzi niliangalia Video ya mdada anayefanya u sugar baby Akihojiwa, anasema yeye anadate na wanaume wenye pesa Nyingi, ili apewe pesa itakayomfanya aishi maisha ya juu.
Anasema aki-interact na...
[emoji117]Wanawake uwe umeolewa au upo katika mahusiano kutongozwa ni kawaida kwa mtoto wa kike coz sio wanaume wote wanajua umeolewa au upo kwenye mahusiano[emoji180]
Makosa mnayofanya baadhi...
Nimewahi tena mara nyingi na bado mawazo hayo hunijia, hali inakuwaga mbaya hadi nafiikiriaga kutumia unga sema hizi coctail za bongo ni kujiongezea matatizo, mwisho naamua kupiga gambe tu.
Ila...
Nawasihi ndugu zangu tunaokunywa pombe kweli bia ni tamu ila ukiwa kama kijana mdogo below 30 unayetaka kuwa na familia Basi jiepushe na pombe kataa kabisa pombe sema hapana kunywa zako juice na...
Wakuu jana nimepata msala mkubwa katika maisha yangu sisi kwetu huwa tuna ka tamaduni ketu ka kufuga nywele sehemu nyeti uwa tunapenda sana kufuga nywele sehemu za siri hata sometime uwa...
Week iliyopita nilikuwa naongea na ofisa mmoja wa serikali, ni rafiki yangu tulikuwa tunajadili suala la hizi condoms, je vipi kama ikitokea umefanya na demu asiyeathirika, ila ukapata mchubuko...
Huyu mwanamke tumejuane nae mara ya kwanza tulionana Arusha yeye akisoma chuo fulani na yeye akisoma chuo fulani hivi
Baada ya kuhitimu kila mtu akaelekea njia yake, tukaja kuonana dar tukawa...
Jana ilikuwa siku ya wanaume duniani. Cha ajabu hakukuwa na mijadala wala post katika mitandao ya kijamii wala hata vyombo vya habari.
Je, hii inamaanisha kuwa jamii kwa sasa haisheherekei uwepo...
Ukiwa uko kwenye mchakato wa kuanzisha mahusiano, na ikatokea mmoja wenu anakuuliza unafanya kazi gani? Moja kwa moja jua huyo anataka uhusiano wenye faida hasa wa kipesa na si mahusiano ya shida...
Wakuu iko hivi katika ukorofi wangu nilitongoza msichana wa 19s akajaa vizuri tu na nikaanza mchakato wa kula tunda japo mtoto alikuwa hataki lakini nilicheza kama Cr7 hatimae nikafanikiwa kula...
Salute bosses...
Mara ya mwisho kupost hapa MMU ilikua miaka miwili iliyopita, bado nilikua chuo enzi hizo - kukimbizana na totoz, kuvaa macheni n.k, lkn sasa tumekuwa hata vitu vinavyozurura...
Mimi sio muhongaji japo ni mtu wa Matumizi sana pale linapokuja swala la umeng'enyaji wa papuchi kutoka kwa mtoto mzuri,
Sina kariba ya kuhudumia mpenzi labda awe ni main na huduma zangu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.