Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Boy introducing his 95th girlfriend to his boys HIS BOYs: hatujui hata umempa nini broh wetu hatujawahi muona akiwa kwenye love like this Alafu Girl nae Anajibu: ' ni mapenzi tu' 😅😅😅
4 Reactions
23 Replies
2K Views
Maisha ya mjini kila mmoja anapambana kwa kila njia ili aweze kutimiza malengo yake. Mbaya zaidi baadhi ya dada zetu, wanatumia uhusiano kama fursa ya kutimiza ndoto zao. Unakuta mzee wa watu...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Sitasahau mwanaume Mimi nilivosutwa na yule Dada, Nakumbuka tulikua tunafanya kazi taasisi flani ivi tuliajiriwa kama kumi ivi kwenye intake moja wanawake 6 na wanaume 4 Mimi kiroka nikashibana...
11 Reactions
15 Replies
2K Views
Heshima kwenu wakuu. Usipite bila kushauri. Kuna issue ya kimahusiano inaleta utata kwenye familia. Tuna kaka yetu mkubwa ameo mwaka wa Saba sasa na hawajabahatika na mkewe kupata mtoto. Familia...
10 Reactions
74 Replies
4K Views
Nina binti yangu ana miaka 12 na ningependa abobee kwenye 'animation' kwa sababu lengo langu ni kuanzisha kitu kinachoitwa 'Home of Animation'. Nimependa fani hiyo kutokana na fursa nilizoziona...
0 Reactions
9 Replies
504 Views
Habari wandugu Seriously nimeshuhudia jamaa analalamika mke wake amesitisha kutoa chakula Cha usiku sababu hawana uhakika kuoga, ndani kunakuwa joto sababu fen haifanyi kazi jamaa anafikiria Leo...
2 Reactions
16 Replies
1K Views
Mwanamke au mwanaume yeyote anapokuwa mwenye akili timamu zilizo tulia katika mahusiano mapya kuna vitu ni lazima utavigundua kama huyu mpenzi wangu ananikubali au hapa nilipo nalazimisha huu...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
In any kind of relationship, a breakup doesn’t happen suddenly! If you’ve been going through a hard time with your partner, agonizing about whether to stay or not, just take some time alone and...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Habari wakuu Niende moja kwa moja kwenye mada, mwaka 2017 nikiwa form 2 nilikuwa kwenye mahusiano na demu mmoja ambaye tulipendana mno, mapenzi ya kishule shule yale. kidume nilizama mno kiasi...
5 Reactions
53 Replies
4K Views
Habari wakuu Kiukweli kabisa kama kuna mdau yupo humu zaidi ya mwaka na bado anateswa na mapenzi basi huyo ni zuzu, Maana humu kuna mbinu zote za kila changamoto ya kimahusiano yawe ya kawaida...
4 Reactions
15 Replies
2K Views
1. Zamu ya kulea mtoto. 2. Makelele ya mama kwa watoto. 3. Kufokewa kwa binti wa kazi mda wote. 4. Kupekuliwa simu. 5. Kudaiwa pesa za matumizi mara kwa mara. Ongeza sababu zingine. Kama zipo
14 Reactions
87 Replies
9K Views
Jana nilikuwa na PC yangu mapambano apa Board Room, tukapiga bia tam kadhaa nikaona simuelewi elewi nikamwambia oya, sina mipango leo ningekufyatua chap chap. Akasema ulijuajee, hatamimi nilikuwa...
9 Reactions
169 Replies
9K Views
Mahusiano mengi huvunjika kutokana na kutokujua sababu iliyompelekea mwanaume/mwanamke kuwa kwenye mahusiano. Wapo walioanzisha uhusiano kwa malengo yafuatayo,na wengi wao uhusiano wao huwa...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Habarini za humu JamiiForums ....Kwanza kabisa nitoe angalizo sihitaji matusi au kejeli... Ipo hivi mimi ni kijana umri wangu miaka 25 ni mhitimu katika chuo Kimoja hapa hapa Dar es Salaam...
2 Reactions
92 Replies
7K Views
Mchepuko umenizalia ka 'beautifu girl' Kutokana na uzuri wa mtoto, najikuta nahudumia tu bila kuchoka ila nilichojifunza, wengine wanatelekeza uzao wao kutokana na changamoto za kutoa 'product'...
6 Reactions
82 Replies
6K Views
Habari, nahisi naweza kupiga mtu huku nielekeako, mke wangu tuki-sex hunitukana matusi ya nguoni na kama haitoshi humtukana mpaka baba yangu matusi ya nguoni. Nikimuambia anasema huwa anazidiwa na...
29 Reactions
89 Replies
9K Views
Habari wanaMMU.., Kuna msichana tupo katika dating sasa tumefikia makubaliano ya kufunga ndoa tujenge familia ya watoto kadhaa changamoto iliyokuwepo ni huyu mwenzangu anataka tuishi tu hivihivi...
2 Reactions
62 Replies
10K Views
Annastazia. The woman I truly loved but due to some reasons we parted our ways she deeply hurt me after cheating on me and later got married to another man. I got traumatized for years and tried...
11 Reactions
52 Replies
4K Views
Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Juzi nilikuwa club na rafiki zangu tunapata beer mbili tatu. Mke wangu ni mjamzito wa miezi 6, kwa bahati mbaya nilichelewa kurudi, nilirudi...
5 Reactions
18 Replies
2K Views
Hope wote ni wazima, tuendelee kuchukua tahadhari kujikinga na janga la covid-19 kwa kunawa mikono kwa maji tiririka, kuvaa barakoa, kutumia vipukusi pale ambano si rahisi kunawa na ku-keep social...
6 Reactions
37 Replies
4K Views
Back
Top Bottom