Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Habari za mida hii ndugu zangu Nmekuja nipate ushauri maana naona kila ninalotaka kuliweka mezani napangua. Nimekuwa na mahusiano na kijana mmoja kama miezi miwili hivi au mitatu. Alinikuta sina...
28 Reactions
245 Replies
17K Views
Wadau nikiwa na ushuhuda nimepitia Changamoto ya kuishi na Mwanamke mpenda ushirikina (Nguvu za Giza) IL nilikaza na kuvumilia mengi. Ishu ni kwamba bado Nina kiu ya kutaka kujua Nitajuaje...
1 Reactions
22 Replies
2K Views
Mnaosimamishaga pisi njiani na kuomba namba na mkapewa nisaidieni mwenzenu. Nimezoea wa restaurant na bar ambao nawakutaga wamekaa hapo kidogo inakuwaga rahisi mno. Lakini hisi za barabarani eti...
1 Reactions
7 Replies
532 Views
Mwaka 2013 niwazi nilikua nipo kwenye level ya juu kabisa ya mapenzi na nlipitia mahusiano yaliyovunja moyo wangu,nilikosa Furaha, sikuwahi kuhisi kuumia kama kipindi kile, nililia kama mtoto...
4 Reactions
69 Replies
8K Views
Hili suala nilipolianza wengi hawakunielewa. walidhanni labda nafanya masikhara. na wengine wakaenda mbali sana kunirushia matope ashakum si matusi matope ambayo walikulia katika hayo...
20 Reactions
110 Replies
9K Views
Habarini wana jamvi Siku kadhaa zilizopita nilileta malalamiko humu kuhusiana na dhulma niliyofanyiwa na kutapeliwa ardhi yangu. Naomba nilete feedback na kutoa shukrani kwa wote walionishauri...
39 Reactions
62 Replies
6K Views
Natumai wote ni wazima Juzi nilipanga kuonana na mpenzi wangu tutoke out weekend tukale bata ndogondogo za hapa mjini baada ya mihangaiko ya wiki nzima. Sijui ananipenda kiasi gani ila mimi...
1 Reactions
66 Replies
10K Views
Kuna Mwalimu fulani anamfundisha mwanangu shule niliyomuhamishia baada ya Mimi kuhamishwa kikazi. Ili kumfanya awe karibu na mwanangu nikawa nampa hela Mara kwa mara kumbe mwenzangu amevutiwa na...
18 Reactions
362 Replies
24K Views
Habari za jion wapendwa Wakuu kuna mwanamke nimempata takribani tuko kwenye mahusiano miezi 8 amegoma kutoaa papuchi kabisaaa nimeongea maneno yooote bado haelewi somo Ananiambia mpaka nimuoe...
7 Reactions
224 Replies
23K Views
Ndugu zangu tangu naanza uchumba na mke wangu adi Sasa tuna miaka 3 kwenye ndoa na mtoto mmoja,,sijawahi kusherekea nae siku yake ya kuzaliwa Kama ilivo apo juu. Mara nyingi amekuwa akituunga...
2 Reactions
26 Replies
2K Views
Kuna mwanamke kwenye mwaka 2011 nilikuwa namtaka na nilimpenda sana, viela vyangu vidogo dogo alikula sana, wacha mahitaji mengine, kipindi hiko yeye ana umri wa 21yrs, nilimpenda aswaaaa...
19 Reactions
116 Replies
10K Views
Habari zenu, Mimi binti wa miaka23, naomba mnipe ABC ndg zangu, jinsi ya kumsahau mtu aliye kuacha. Nilikuwa kwenye mahusiano na mkaka kwa zaidi ya miaka 5 , ikafika muda akataka aende home...
14 Reactions
113 Replies
7K Views
Habari wana JF I hope wote wazm wa afya naomb kuomba ushaur kuhusu hii issue. Kuna ndugu yangu aliwahi kuwa n mwanamke wake na walipendana n walifanikiwa kuwa pamoja kwa mda mrefu kidogo more...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Wana JF, kama title hapo juu inavyosema Yaani kiukweli, sijui tatizo hili ni kwa sababu ya ugumu wa maisha au ni aina ya mapenzi ya sasa, yaani sielewi nimekuwa nipo single kwa muda sasa...
6 Reactions
32 Replies
3K Views
Kuna wakati nakosa majibu lakini pia kuna wakati kuna huwa ninawashangaa unakuta mtu kaachwa lakini bado analazimisha urafiki Ex wake ambaye amemuumiza na kumkosesha raha lakini bado anamfuatilia...
8 Reactions
102 Replies
12K Views
Wanawake wana kisasi sana. Anakupa mbunye ukimfurahisha, anakunyima ukimuudhi au ukimkosea na pia atampa yoyote hata asiye mpenda ili tu kukukomoa. Usiombe mwanamke akukomoe, anaweza hata...
27 Reactions
177 Replies
18K Views
Nakumbuka enzi hizo nilijenga yrafiki na binti mkali acha tu, ilikuwa ni mtandao wa facebook, tulikuwa marafiki, alafu tukaja kupeana namba, hapo ndipo nilitupia ndoano na ndipo tukaingia rasmi...
13 Reactions
129 Replies
12K Views
Nimeamini wanawake wakiwa na Mimba huwa wanakuwa na visa sana, Alinizoesha yeye mwenyewe kunipa haki yangu kila siku baada tu ya kumpa mimba iliyopelekea tukae pamoja tena kwa nguvu ya Dola...
2 Reactions
10 Replies
3K Views
Mawasalimu kwa jina la JMT. Nalishuhudia hili jambo. Kumbuka ewe baba umri unaenda itafika kipindi hauna nguvu za kufanya kazi, utakuwa umestaafu na utakuta haukujenga ukaribu na wanao. Watoto ni...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Tupe na Experience alizingua nini?[emoji23] Mimi niliiba simu yake nikazama kwenye Messages. Kufanya upembuzi nikakuta anachati na mwamba anamsifia eti ni mtamu! [emoji23][emoji23] Nikamuuliza...
17 Reactions
191 Replies
17K Views
Back
Top Bottom