Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Habarini wandugu Kabla ya yote naomba nitangulize shukrani zangu kwa ukarimu upendo na undugu uliopo baina yetu japo wengi wetu hatufahamiani lakini tumekuwa tukisaidiana hususan kwa ushauri...
16 Reactions
213 Replies
17K Views
ninawazia sana wanangu wa kike. Je niwalee kwa misingi ipi. Niwaambie nini wapigane na tamaa za maisha? Nitaweza? Nitawezaje? Inamaana nikishindwa na wanangu wataomba pesa kwa wanaume kumi Vipi...
13 Reactions
54 Replies
4K Views
Napenda sana slim girls (English figure), nilipokutana nae alikuwa mwembamba sasa ananenepa, sipendi mwanamke mwenye mahipsi hipsi na mwili sana, I like models but inaonekana ana asili ya mwili...
13 Reactions
122 Replies
11K Views
Wazima wa afya? Natumai ni wazima, wakubwa zangu shikamoni, najua kuna wazee wa heshima humu. Katika kutoka kimapenzi na wasichana, na siku hizi vibinti vinakuwa vinahamasisha kuliko hata watu...
6 Reactions
38 Replies
4K Views
Kama hujawahi kupata demu Badoo, Fb, Instagram, Sexchat, Jf, Telegram basi wewe una matatizo na sio kidume kamili ila kama ni fala unaweza ukapunyuliwa vipesa vyako na papuchi usipewe ila kwa sisi...
3 Reactions
109 Replies
17K Views
Amani iwe nanyi. Siku kadhaa hivi nilikuwa na safari, nikatumia usafiri pendwa wa ndugu zetu Waha. Nimefika station nasubir gariMoshi hatiMae likawasili, nikaingia kwenye behewa langu pamoja na...
6 Reactions
50 Replies
4K Views
Habarini, shikamoni na poleni kwa majukumu. Refer the heading above, naanza na visa viwili au vitatu kulingana na mada tajwa hapo juu. Kisa Cha kwanza. Kipindi Niko advance nilifahamiana na dada...
1 Reactions
18 Replies
1K Views
Habari zenu wana jf? Ndoa za sisi vijana wa siku hizi tatizo nini? Embu twende moja kwa moja kwenye mada. Nina rafiki yangu sana tumekuwa kama ndugu, amefunga ndoa na mchumba wake wa muda kidogo...
14 Reactions
105 Replies
11K Views
Ndugu zangu Wanaume Wapambanaji, huu uzi ni kwaajili yetu sote. Hivi wale wanawake au wadada ambao walikua akija gheto anafanya usafi wa maana yaani atafua nguo zote, atapika, ataosha vyombo...
26 Reactions
146 Replies
8K Views
Kama ilivyo ada ni swala la kawaida kwa karne ya 21 watu kutongozana msela au mtoto mzuri anakufata na kukuambia anakupenda anahitaji kuwa muwe wapenzi, Pale ikitokea mtu ambae unamtaka muwe...
2 Reactions
76 Replies
6K Views
Habari za weekend kakaz na dadaz? Anyways ngoja niende kwenye swali Ndugu zangu nilikuwa naomba ufafanuzi hivi ni kwanini wanawake inakuwa rahisi sana kwao tena wanaona kawaida kuwa na urafiki na...
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Wakuu poleni na majukumu ya siku nzima, Asilimia kubwa ya wanawake hawalipi Kodi, hawalipi ada za watoto wala bili ya aina yeyote ile japo kazi wanafanya. Mbali na mahitaji muhimu ya nyumbani...
8 Reactions
72 Replies
7K Views
Kwa bahati nzuri kila mwanamke anapenda uzuri, na sifa ya wanaume ni kupenda wanawake wazuri,na uzuri wa kuwa mzuri ni uzuri wa kusifiwa kwa maneno mazuri kutoka kwa wanaume wazuri yakwamba wewe...
1 Reactions
28 Replies
3K Views
Kujiuza ni kutoa penzi kwa malipo. Haijalishi unakuitaje, kufanga, kuchuna, gold digging n.k kote ni kujiuza. 1. Jane Mkenya ni mfanyabiashara mkubwa, mwenye pesa ya uhakika. Pamoja na pesa zake...
39 Reactions
75 Replies
9K Views
Wasalaam wapendwa wa MMU. Kumezuka na msemo maarufu wa vijana haswa wa kike 'unataka kuwajua maEX wangu, unataka kuwanunulia gari?' Huu msemo una nia ya kupotosha. Zaidi, kuwatia watu katika...
3 Reactions
8 Replies
1K Views
Nimekuwa nikifuatilia mada za watu wenye changamoto katika mahusiano wakihitaji ushauri. Cha ajabu majibu mengi hayana uhalisia utasikia",piga chini","mrudishe kwao""muolee mke wa pili"etc,hayo...
20 Reactions
41 Replies
4K Views
Jaman wazee wa JF, Nyie wapenda zinaa kila kona hamna kidume kimeacha kusema nakujisifia wanavyoichakata mbunye mara mbususu chai zao wakileta wamejaza tangawiz kbao yaan na limao wanaweka jins...
11 Reactions
85 Replies
6K Views
USIJILAUMU KWA JAMBO AMBALO HAUWEZI KUBADILI MATOKEO YAKE. Maisha ni safari ndefu,na katikati ya safari mwanadamu anafanya makosa mengi sana kupitia mawazo yake,meneno ya kinywa chake na hata...
0 Reactions
1 Replies
839 Views
Head's Up: Maneno nitakayoandika hapa haimaanishi kua nina dharau Uweza na Uumbaji/ Status ya-wa mwanamke katika Jamii. Kwanza kabisa mimi ni mpenzi wa Superhero based content, hasa content...
17 Reactions
55 Replies
6K Views
Nani hajawahi kupata hasira kwa mwenza wake? hakuna mtu, Si ndio? ni katika sehemu yoyote ya mahusiano, lakini tumekuwa tukiamini kwamba Hasira ni mbaya, na kwa sababu hio hatutakiwi kuwa na...
1 Reactions
9 Replies
3K Views
Back
Top Bottom