Usiku wa jana tumeshuhudia ndoa ya jirani ikivunjika kutokana na masimulizi ya ma-x walokua wakisimuliana....
Alianza mwanaume then akafuata mwanamke akimwambia mumewe, x wangu alikua akipiga...
Unaweza ukamuonesha hisia zako zote umpendae lakini yeye akashindwa kukupenda vile inavyotakikana!. Kupenda sio kosa lakini kupenda pasipo sahihi ni Kama kumeza kaa la moto!.. linakuunguza...
Nimeamia Sinza Africa Sana hivyo basi kutokana na kukaa sinza huku kituo changu cha kupata moja moto moja baridi ni KONA BAR
umaarufu wa bar hii nadhani kila mtu anaujua sasa tokea niamie huku na...
Wakuu najua mko poa,
Ubachela raha sana,ila usiniinge kabisa.
Kwanza hakuna kubanwa kama ambao wako kwenye ndoa
Unafanya mambo yako kwa kujiamini sana
Upangiwi cha kufanya
Unarudi kwako mda...
Habari wazalendo,
Mimi sipendi kuzungushwa na hawa watu wanaojiita pisi kali, yaani unamtafuta anakuzungunsha wakati ndio atakula pesa yako yaani nitafute pesa kwa shida halafu nikubebeleze uje...
Imagine nimetoka job hapa nimekuja na maocho ocho.
Mtu kaanza kupika muda si mrefu nikasema ngoja wakati anapika nitoke niende dukani kidogo nikachukue kinywaji flani ambacho kinaendana na hiyo...
Haya maisha bana najihisi nina nyota ya kuwa peke yangu tu, tangu kuzaliwa nimezaliwa peke yangu sina kaka wala dada yaani peke yangu.
Nimeishi mpka sasa nina miaka 27 yaani peke yangu peke yangu...
Habari wana JF,
Mimi ni msichana wa miaka 24, nilikuwa na mpenzi wangu ambaye tumedumu kwa miaka mitatu, bahati mbaya mwenzangu akawa ananichit kwa kuanzisha uhusiano na ex wake, na mpaka...
Habari wana JF
Hapa nimebakia njia panda muda huu leo baada ya kumpigia mpenzi wangu simu! Ambaye tulipendana saaana, siku za nyuma hapo tulikosana lakini tukapatana tena maisha yakasonga leo...
Habari zenu? Poleni na majukumu ya kila siku, dada yangu kapata mtoto wa kiume sasa tunatafuta jina zuri tunaomba mtushauri lipi zuri kati ya haya maana tumependekeza haya sasa tumekosa msimamo...
BILL GATES AFAFANUA KWANINI BINTI YAKE HATAOLEWA NA MASIKINI:
Mwandishi mmoja wa habari katika kikao kilichofanyika Marekani alimuuliza Bill Gates.
Je, angekubali binti yake kuolewa na masikini...
Binafsi kifo cha Mpauko kimenipa funzo sana. Nimepitia nyuzi zote na comment Mungu naomba tu unisamehe kwa mawazo niliyokua nayo.
Binafsi nilizaa 2014 mume akafariki ghafla kwa ajali nikabaki na...
Wana MMU nawasalimu wote.
Niende kwenye mada ambayo nikikumbuka sometimes huwa nacheka na saa nyingine nahuzunika pia tuanze na vya kuchekesha;
Baada ya kuhitimu masomo yangu niliamua kuondoka...
Mimi Zee Korofi nina dada yangu, aliolewa na jamaa mmoja aliekuwa anamuhudumia vizuri tu na sometimes alikuwa anahudumia home katika special occasions za isaues fulani fulani.
Sasa alipata bwana...
Hii ni maada ususani kwa kwa wanaume hasa vijana ambao wapo kwenye harakati za kusaka wake au Wanataka kuachana na hao wanawake.
Wewe Kama mwanaume unatakiwa uishi kimalengo na kimikakati huwezi...
Mambo ni mengi, maisha yanazidi kwenda kasi sana, mfumuko wa bei, Tanzania ya viwanda vya mikopo tunazidi kusukuma gurudumu.
Niende kwenye mada, Wanaume sisi ni viumbe wenye uthubutu sana...
Wanawake / Mabinti baadhi wamekuwa watumiaji wazuri wa limbwata kama sehemu ya kuongeza chachu ktk mahusiano yao ya mapenzi.
Zifuatazo ni baadhi ya teknolojia maarufu ama niseme pendwa za...
BABY HAKUNA CHA KUTUTENGANISHA, MIMI NI WAKO, TRUST ME.
Niliyavaa mapenzi nikiwa sekondari, sikuwa hodari wa kutongoza mabinti, nililelewa na kukulia kwenye familia iliyojitoa wakfu kumtumikia...
Habari za kazi waungwana
Mie nina swali fikirishi kwa walio oa au kuolewa. Swali lenyewe liko hivi: Pale mzazi wa mke wako au mme wako anahitaji kutolewa figo, kwa kuwa figo zake zimefeli. Sasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.