Ipo hivii wanaume wenzangu leo nataka tujulishane juu ya hili jambo mwiba kwetu. Maana hii taasisi iitwayo ndoa imegeuka na sio kuwa sehemu ya furaha na amani kwetu... imegeuka kuwa sehemu ya...
HABAR WADAU
Dah hii dunia imejaa vituko hii yaan ni shida tupu yaan duh ngoja tu niwahadithie ili tu mnipe ushaur kuna dada mmoja nimekutana nae mda kidogo yeye ndio alinianza na akawatuma watu...
Ndio kama kichwa kinavyojieleza,
Unaweza kumsamehe mpenzi wako kwa kukuminya kende au kukupiga kofi kwenye kende? Hivi unaweza kuendelea na mahusiano na msichana kama huyo?
Be honesty and tell...
Kwani ni dhambi kula mbususu bila kutoa Huduma? Kazi anayo, pesa anayo ni lazima sana kumpa huduma,
Je ili huwe mwanaume wa kweli lazima utoe huduma ata kama umezidiwa kipato?
Cc Zero IQ
Wakuu poleni na miangaiko ya hapa na pale niaje mazee wakubwa shikamoo, wadada pisi kali mambo vp warembo?
Any way nije kwenye point kuna mademu wawili mapacha nilifahamiana nao instagram...
Story inaanzia hapa.
Nimeingia kwenye basi nina begi langu la mgongoni nimeshikilia risiti mkononi natafuta seat yangu. Nakutana na seat mbili zipo wazi moja ni yangu nikakaa seat ya dirishani...
Wakuu hopefully amjambo ngoja niende kwenye point ..
Nina Kaka yangu ambae ndie first born wafamilia .. nashindwa kumuelewa kabisa .. kila Ela yangu ikipitia mkononi mwake hua airudi Ni Mara kwa...
Yes she is gift,
You only see her natural glowing skin on her hands
Her voice of compassion, smooth like an Arabian serin.
Its very enough to judge if she is so much beutfull, by simply looking...
Nisipoteze muda.
Wanaume wanaongoza kwa kuwa na stamina kubwa kitandani na kuridhisha wapenzi wao wapo sita. Unaweza kuongeza wa kwako. Wanaume hao ni
1. Makuli/Wapagazi: Demu wako au mkeo...
Ni miezi kadhaa tumekuwa na mahusiano. Ni kweli kwamba nilimkuta na vimeo vingi sana ila aliniahidi kuacha lakini tulipokuja swala la kupima alikuwa akiitikia tu na kutumia kila namna tuhairishe...
1. KILA UNAEMUOA AU KUOLEWA NAE ANA UDHAIFU WAKE
Mungu pekee ndio haana udhaifu, Kila ua waridi lina chimbuko lake.
2. KILA UNAEMUOA AU KUOLEWA NAE ANA HISTORIA YAKE MBAYA
Hakuna mtu ambae ni...
How many times has a man examined you from head to toe? I'm pretty sure you stopped counting by now!
While the male gaze sweeping across your body may seem very creepy to you (unless...
Hi JF members,
Mimi ni mvulana nipo mwaka wa mwisho moja ya vyuo vikuu hapa Tz. Nilipokuwa 4m 5 na 6 nilikuwa na mchumba ambaye nilimpenda sana naye alinipenda. Nilipokuwa chuo mwaka wa kwanza...
Wakuu naomba tusaidiane.
Unawezaje kufikisha ujumbe kwa mapenzi wako au mkeo kuwa hakulidhishi?
Je, ni sahii kumwambia direct au Kuna njia ya kufikisha ujumbe huu kwa wepesi?
Je, ni sahii...
Mfano una mke mmeishi nae kwa pamoja na kuvuna Mali kwa pamoja ghafla wewe umetoka kwa safarI siku unarudi unakuta ndanI peupe yaanI kila kitu kimechukuliwa na mke na kutokomea kusikojulikana...
Salams Wana JF wenzangu!
Kama mnavyo jua changamoto za maisha zimetufanya tuwe mbali na familia zetu, hivyo yanapo kuja mambo muhimu ambayo yanahitaji usaidizi wa kifamilia imekuwa shida sana kwa...
Katika semina wanazopeana wanawake huwa na msemo huu, ya kuwa mwanaume ni kama mtoto wakiwa na maana ya kwamba ili umuweze mwanaume inakubidi uishi naye kama unaishi na mtoto yani mambo ya...
Hizi ni baadhi ya dalili zinazoashiria mpezi wako wa kike anataka penzi:-
Ukimuuliza swali anakujibu kwa lugha ya ukali
Akianza kukusemesha yeye ataongea kwa taratibu bila kujiamini
Anaweza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.