Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Hi kwa members wote wa Jf. I hope mko na afya njema tu, if not so m/Mungu awape wepesi na kuwaponya. Back to the topic, hivi karibuni kametokea ka 'atmosphere' ka ovyo mno kwenye relationship...
10 Reactions
102 Replies
8K Views
Napita maeneo ya shule ya msingi Tandale Magharibi, foleni ni ndefu na magari hayatembei, barabara imejaa kundi la kina mama wakiongozwa na kundi la matarumbeta eti wanaenda kumsuta mwanamke mmoja...
2 Reactions
51 Replies
8K Views
Unakereka na nini ukifanyiwa wakati wa kufanya mapenzi? Mie kunilamba Sikio. Kuna wapenzi wangu flani hivi wenyewe wapo kama Nyau wanapenda kunilamba masikio mpaka wanaboa, Nilishawaambia mimi...
15 Reactions
274 Replies
51K Views
Kwa manufaa ya baadae Mtu kama ujazaliwa nae hutakiwi kumuita kaka au dada. Kwanza mtu usiezaliwa nae unanzaje kumwita kaka, dada 🤔 ndo mana baadae mkikwama mnaishia kujilaumu ati mtu mwenyewe...
13 Reactions
77 Replies
4K Views
Kuna wakati hutokea, hasa kwa wanaume, ukiwa single unahangaika sana kupata mwenza wa kuanza nae mahusiano. Cha kushangaza ukibahatika ukaingia humo, Wanawake wanaanza kujitokeza wengi na nafasi...
9 Reactions
45 Replies
5K Views
Habari wana JamiForums? Kiukweli wanaume wenye umri kuanzia miaka 32 na kuendelea wanajua kupenda mwanamke asikwambie mtu. Wanaume hawa wakiamua kumpenda mwanamke jaman wanampenda haswa. Kwanza...
28 Reactions
270 Replies
19K Views
Kuna mdada mmoja nilikuwa nampenda sana hapa mtaani kwetu, one day niliamua kumchana live ila alinikataa! Basi nikaamua kupita hiv!. Rafiki yangu akamtongoza akakubaliwa, akala, akanilingishia...
1 Reactions
52 Replies
5K Views
Naogopa Sana Iko hivi jana tulikua namaongezi na mzee sebulen mpaka saa 6 usiku sababu toka nimetoka nyumban kujifungua ni kama ananikwepa hivi. Akitoka kazini anipita uwanjan kwenye mazoez...
27 Reactions
146 Replies
12K Views
Kama kichwa cha uzi kinavyosema, shere na sisi jinsi ulivyopigwa tukio kwenye mapenzi Mimi demu wangu wa kuanzia form one , tulipomaliza form four yeye akaenda chuo cha Ualimu, mi nkaenda advance...
4 Reactions
40 Replies
6K Views
Wana JF habari za majukumu, Naombeni ushauri kwa huyu mpenzi wangu niliye naye, kuna siku tulikosana nikamrushia maneno makali sana nikamwambia yaani wewe mimi kukuoa itakuwa ngumu sana. Basi...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Wakuu poleni na miangaiko ya hapa na pale, kiukweli katika maisha hakuna kitu kikubwa sana kama talent ukiwa na talent yoyote ile unaweza kufanya kila kitu utakacho kupitia talent wengi wameweza...
6 Reactions
38 Replies
4K Views
Jamani huyu binti ukimwangalia ni tofauti kabisa na nilivyodhani, Nilimtongoza kakubali lakini nilipomuomba game alikataa na kusema hataki mtu wa kuchezea usichana wake, Baada ya kusumbuana nae...
4 Reactions
15 Replies
5K Views
Wanawake ni binaadamu wa ajabu sana katika uso huu wa dunia yaani hawa watu ni next level,kuwaelewa ni ishu iliyowashinda hata wana falsafa,Newton na uwezo wake wote Alishindwa kuwaelewa,mtume...
5 Reactions
7 Replies
4K Views
Habari zenu ma bidada na wamama kuna hichi kitu wanaume tunataka mtutoe tongotongo Eti hivi ni kweli sisi wanaume kuna watu wenye mihogo iliyochangamka inapomezwa na mbususu? Maana nimeshasikia...
1 Reactions
85 Replies
5K Views
Hivi utajisikiaje siku ukimsikia mpenzi wako anajuta kukufahamu na anazungumza hivyo baada ya kuona hamna malewano mazuri au mmegombana au kuna vitu mmeshidwa kuelewana. Je upande wako utajisikiaje
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Mchepuko umepagawa na huduma. Kutokana na ninavyomjali; , chuo, matibabu n.k sasa hivi amechanganyikiwa kabisa. Ananiuliza 'nilikuwa wapi siku zote hadi nikaolewa na yule mbulula'. Mbaya zaidi...
9 Reactions
74 Replies
6K Views
Samahanini Nina tatzo moja naomba mnisaidie, Yaani Mimi katika harakati zangu za kutongoza, nikijibiwa "Nina mtu" au "nina mpenzi tayari" Sina ujanja na huwa sijui maneno gani Tena ya kusema na...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Mwenzenu nina binamu yangu mmoja hivi tunalingana umri kidogo na mimi ni mtu wa kuondoka na kurudi kisomo baada ya kumaliza chuo nilirudi Baada ya kurudi hom nikapewa pande la kusimamia duka sio...
6 Reactions
156 Replies
16K Views
Habarini za wakati huu wakuu naomba nisiende mbali niingie kwenye mada moja kwa moja kama kichwa kinavyojieleza Wakuu siku hizi nimekuwa mtu wa ajabu kweli, yaani nimekuwa na wivu usio na maana...
2 Reactions
10 Replies
1K Views
Kama ilivyo kwetu wanaume Mara zote tunatumia mbinu nyingi nyingi ili tu tuweze kula mbususu za wadada wa watu. Katika njia hizo zipo njia salama na zipo za hatari ...Basi Leo katika utafiti...
7 Reactions
117 Replies
8K Views
Back
Top Bottom